Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Hivi hizi report zilizojaa bias dhidi ya Mwanza huwa mnazitoa wapi, na kama Mwanza ni mji maskini basi hii Tanzania ni tajiri sana.
😂😂😂😂😂mkuu waulize NBS walizitoa wapi.Ukiniuliza Mimi sitakupa jibu maana sijasomea Mambo ya takwimu
 
Hivi hizi report zilizojaa bias dhidi ya Mwanza huwa mnazitoa wapi, na kama Mwanza ni mji maskini basi hii Tanzania ni tajiri sana.
Usichanganye mkoa wa Mwanza na mji wa Mwanza.Ingetazamwa miji basi Tz isingekua na watu wa kipato duni
 
Hivi hizi report zilizojaa bias dhidi ya Mwanza huwa mnazitoa wapi, na kama Mwanza ni mji maskini basi hii Tanzania ni tajiri sana.
Huko kwenu kunanuka umaskini,sehemu yoyote ukiona watu wanazaliana sana jua tuu ni maskini na wajinga,starehe ya maskini ni ngono.
 
Tema mkome kabisa msirudie kulinganisha huko uswekeni kwenu mnakoishi kwenye umande kama manyani na manspaa mpya iliyoko kanda kuu
Ukome usie jua quality ya mji na mtawanyiko wa mji.Kahama ni mtawanyiko wa mji Njombe ni quality town well organised,Mungu akaupatia mazingira asili ya kujisafisha wenyewe.
 
Tatizo huyo Munjombe hajui tofauti ya mji na mkoa. Mijitu ya kusini inavuta bangi toka utoto hayajui kitu. Ni kuyapa pole tu.
Usichanganye mkoa wa Mwanza na mji wa Mwanza.Ingetazamwa miji basi Tz isingekua na watu wa kipato duni
 
Bangi tupu mpaka kwenye mboga. Mijitu ya nyanda za juu meusi mabayaaaa
Uko na Sonona Sana ,😆😆😆😆 kwani weusi ndio ubaya,tufanye sawa ehee nyie weupe sijui wenye mavichwa ya Kona Kona kana burnt bricks ndio wazuri?

Imagine watu kama kina Dialo na wale watangazaji wa Star TV eti ndio wazuri 😆😆😆

Mkuu stress za umaskini zitakuua ,Rudi kwenye hoja,starehe ya maskini ni ngono na hiyo starehe yenu mnaitumia vizuri sana huko lake zone.

Saizi kuna balaa jingine mnalo mercury yaani hamuishi cancer,ualubino na ugonjwa wa miguu.Huko Kanda ya Ziwa kama una akili timamu sio sehemu salama ya kuishi.

Hivi karibuni mgodi mwingine mkubwa zaidi kuliko yote unakuja hapo Sengerema mbona mtakwisha na vile hamna vyanzo vingi vya maji ,subirini mtaona shoo.
 
Tema mkome kabisa msirudie kulinganisha huko uswekeni kwenu mnakoishi kwenye umande kama manyani na manspaa mpya iliyoko kanda kuu
💉💉💉💉 Ukipata picha kama hizi huko migodini Kahama nitag

Sweet Njombe👇👇

Screenshot_20210806-204620.png


Screenshot_20210806-204601.png


Screenshot_20210806-211033.png


Screenshot_20210806-211204.png


Screenshot_20210806-211311.png


Screenshot_20210806-211252.png


Screenshot_20210806-211303.png


Screenshot_20210804-214240.png


Screenshot_20210804-214932.png
 
Tatizo huyo Munjombe hajui tofauti ya mji na mkoa. Mijitu ya kusini inavuta bangi toka utoto hayajui kitu. Ni kuyapa pole tu.
Hapo mjini ndio kuna Nuka zaidi umaskini,wapi mitaa maskini ya Mbeya Jiji unaweza linganisha na mitaa za mabati na hovyo kama mabatini,kirumba,national,Bugando na upuuzi mwingine kama huo unaopatikana Mwanza mjini? Watu mnaishi kama nguruwe afu unaongea nini?

Wilayani na Vijiji vyake Ndio kabisaa ni ufukara wa kuzidi,watu wanaishi kwenye mazizi ya mbuzi,kondoo,punda na ng'ombe na wanashea hadi maji, Ndio maana una hasira Sana utakufa kwa pressure.Ushenzi kama huo huwezi ukuta kwenye vijiji vyetu.

Afu jengeni kwanza vyoo acheni kunya ziwani nyie washamba wa nchi.
 
Hahahahaaaaa. Pole hunjui, sikujui ungejua unaongea na mtu wa namna gani ungekuwa na adabu kidogo. Kwa kifupi karibu Mwanza rafiki yangu. Uje uone nilivyo na ninavyoishi. Niko tayari kukupa namba yangu in box. Pole sana.
Uko na Sonona Sana , kwani weusi ndio ubaya,tufanye sawa ehee nyie weupe sijui wenye mavichwa ya Kona Kona kana burnt bricks ndio wazuri?

Imagine watu kama kina Dialo na wale watangazaji wa Star TV eti ndio wazuri

Mkuu stress za umaskini zitakuua ,Rudi kwenye hoja,starehe ya maskini ni ngono na hiyo starehe yenu mnaitumia vizuri sana huko lake zone.

Saizi kuna balaa jingine mnalo mercury yaani hamuishi cancer,ualubino na ugonjwa wa miguu.Huko Kanda ya Ziwa kama una akili timamu sio sehemu salama ya kuishi.

Hivi karibuni mgodi mwingine mkubwa zaidi kuliko yote unakuja hapo Sengerema mbona mtakwisha na vile hamna vyanzo vingi vya maji ,subirini mtaona shoo.
 
Huko kwenu kunanuka umaskini,sehemu yoyote ukiona watu wanazaliana sana jua tuu ni maskini na wajinga,starehe ya maskini ni ngono.
Ndiyoo starehe ya masikini ni ngono ndio maana huko Makete mnateketea kwa UKIMWI. Masikini mnapenda sana ngono na makete ndo namba Moja kwa maambukizo ya ukimwi nchini.
 
Hahahahaaaaa. Pole hunjui, sikujui ungejua unaongea na mtu wa namna gani ungekuwa na adabu kidogo. Kwa kifupi karibu Mwanza rafiki yangu. Uje uone nilivyo na ninavyoishi. Niko tayari kukupa namba yangu in box. Pole sana.
Namba yako inbox inisaidie nini? Vile vile sina shida ya kukijua nina shida ya content zako tuu .

Ni hivi ukileta upupu utajibiwa upupu,seems akili huna maana unaleta mambo ya sijui Wazuri mara wabaya ulitaka nikuchekee ? Nyie ndio wale mnaitwa watu wazima hovyo.Rudi kwenye mada kuu usilete habari za wajihi binafsi utashushuliwa.
 
Mtu ukiliangalia Hilo kanisa lako la njombe linavutia kuliko hii cathedral ya bukoba bangi itakuwa imepanda kichwani kabisa



Tanzania nzima Hadi maaskofu wote wanakubali kuwa bukoba cathedral ndo kanisa zuri kuliko yote na ndani yake kazikwa Cardinali wa kwanza mweusi Duniani Kardinali Rugambwa.



Halafu kwenye sekta ya ukatoliki naomba usipatibue utakimbia hapa. Bukoba ni moja ya kitovu Cha ukatoliki nchini.


Hicho ulichopost ni kigango huko bukobaView attachment 1888301View attachment 1888302View attachment 1888303View attachment 1888304View attachment 1888305View attachment 1888306View attachment 1888307View attachment 1888308View attachment 1888309View attachment 1888310View attachment 1888311View attachment 1888313View attachment 1888312
Hata mimi nalikubali sana hili kanisani japo naliona kwa nje nikiwa naingia au toka Bukoba Airport. Lile la Njombe nimesali zaidi ya mara 5 ni la kawaida sana mithiri ya parokia iliyochangamka tu.
 
Back
Top Bottom