Inafahamika kusini aka matakoni mwa Tanzania ndo inashika mkia, watumishi wa Umma wakipangiwa kusini wanalaza nyasi, hawataki shida. Wanaojikaza kwenda walishawahi kuombewa posho za mazingira magumu ya kazisijui iliishia wapi, nami nasema wapewe tu kuwafuta machozi.
Kwa hiyo wasukuma waliojazana na kuhamia Mbeya,Iringa Rukwa na Sasa wanakuja kuomba vibaura wanataka shida hao.Maisha ya vijijini Lake zone yameachwa mbali sana na southern Highland Zone mkuu.



