

Unamng'ang'ania hadi marehemu! Kisa ulisikia alifia mbeya!! Ndiyo alifia mbeya alikoenda kikazi na hakuzikwa kusini na wala hakuwa mtu wa kusini, ni damu ya Mara hiyo alikuwa mkazi wa ilemela, Mwanza.
Afu mie sijakuuliza kuhusu marehemu Songoro ambaye inabidi tumuache aendelee kupumzika kwa amani, nilisema kuhusu kampuni ya Songoro Marine yenye maskani yake manispaa ya Ilemela ndani ya jiji la Mwanza ambayo inajenga boti, meli, ferry, nk katika nchi za Tanzania, Kenya, Uganda na Msumbiji. Kumbuka inaitwa songoro Marine ya Mwanza, Tanzania, haya sema 'Songoro Marine ya Mwanza Tanzania'
