Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Mwanza, tuna makampuni MAKUBWA TU ya Madini, usafiri wa anga/ ujenzi ila kodi inalipwa Ilala
Twiga Minerals, HQ Mwanza
Auric Air, (Ndege 19) HQ Mwanza
Nyanza Road Works, HQ Mwanza
Songoro Marine, HQ Mwanza

Halafu unakuja kulinganisha Mwanza kimapato na Mbeya, Jamaaani??????????
1629367554660.png

1629367167319.png


1629367210632.png

1629367395158.png
1629367461194.png
 
Hujaelewa nini wewe fukara, size ya likijiji ni bukoba make hata kwa ilemela town haligusi, umeelewa sasa wewe fukara na funza zako miguuni?
Fukara wote wanaishi poverty struck City Mwanza ..

Ona kichapo hapo👇

Screenshot_20210819-135139.png
 
Fukara wote wanaishi poverty struck City Mwanza ..

Ona kichapo hapo

View attachment 1897977
Kwa ufukara wako wa akili unadhani dodoma inaizidi kinondoni kwa maendeleo, afu na mafunza yako miguuni unafiri jiji la Mwanza ni Nyamagana tu?! Kama ulikuwa hujui sasa ujue kwamba Mwanza city council inakusanya nyamagana tu wakati jiji la Mwanza linaundwa na ilemela na Nyamagana, Funza ni mbaya
 
Kwa ufukara wako wa akili unadhani dodoma inaizidi kinondoni kwa maendeleo, afu na mafunza yako miguuni unafiri jiji la Mwanza ni Nyamagana tu?! Kama ulikuwa hujui sasa ujue kwamba Mwanza city council inakusanya nyamagana tu wakati jiji la Mwanza linaundwa na ilemela na Nyamagana, Funza ni mbaya
😆😆😆😆 Hatuzungumzi na watu fukara kama nyie,tafuteni size yenu mnaofanana ufukara hadi wa chakula 👇👇

Screenshot_20210819-135654.png
 
Kwa ufukara wako wa akili unadhani dodoma inaizidi kinondoni kwa maendeleo, afu na mafunza yako miguuni unafiri jiji la Mwanza ni Nyamagana tu?! Kama ulikuwa hujui sasa ujue kwamba Mwanza city council inakusanya nyamagana tu wakati jiji la Mwanza linaundwa na ilemela na Nyamagana, Funza ni mbaya
Mwambie tu, kijiographia Jiji la Mwanza ni Nyamagana+Ilemela. Kiutawala ndio kuna Halmashauri mbili Mwanza CC + Ilemela Mc
 
Back
Top Bottom