Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Kimepiga Jiji la maskini kwa mapato 😆😆😆😆Kijiji kikuuubwa!
Kimepiga Jiji la maskini kwa mapato 😆😆😆😆Kijiji kikuuubwa!
Hakuna kitu hapo hata ukijumlisha,na sisi tukijumlisha Mbalizi jeJiji la Mwanza ni Nyamagana na ilemela, jumlisha hizo halmashauri mbili uone kama kama inazidiwa
Tangu lini kijiji kikazidi jijiKimepiga Jiji la maskini kwa mapato![]()


Ebu jumlisha uone, afu mbalizi sio sehemu ya Kijiji kikubwa cha mbeya unajua hilo au ndo nimekufundisha hapaHakuna kitu hapo hata ukijumlisha,na sisi tukijumlisha Mbalizi je


Masikini tuu nyie mko milioni afu mnachozalisha ni sifuri tuu.Ebu jumlisha uone, afu mbalizi sio sehemu ya Kijiji kikubwa cha mbeya unajua hilo au ndo nimekufundisha hapa![]()
Masikini ni nyie wanakijiji wa likijiji likuuubwaMaskini tuu nyie mko milioni afu mnachozalisha ni sifuri tuu
Tushawapiga bao saizi mnasunili kuzaa hamna kitu hapo Mwanza slum cityMasikini ni nyie wanakijiji wa likijiji likuuubwa
Tushawapiga bao saizi mnasunili kuzaa hamna kitu hapo Mwanza slum city


Likijiji likuubwa linazidi na ilemela tena mbaali mno. Saiz ya likijiji lenu ni bukoba.Umeandika nini hapo wewe mtu wa poverty stricked City😆😆😆Likijiji likuubwa linazidi na ilemela tena mbaali mno. Saiz ya likijiji lenu ni bukoba.
Siku zenu za kuishi zinahesabikaMwanza, tuna makampuni MAKUBWA TU ya Madini, usafiri wa anga/ ujenzi ila kodi inalipwa Ilala
Twiga Minerals, HQ Mwanza
Auric Air, HQ Mwanza
Nyanza Road Works, HQ Mwanza
Songoro Marine, HQ Mwanza
Halafu unakuja kulinganisha Mwanza kimapato na Mbeya, Jamaaani??????????
View attachment 1897911
View attachment 1897900
View attachment 1897905
View attachment 1897907View attachment 1897908
Hujaelewa nini wewe fukara, size ya likijiji ni bukoba make hata kwa ilemela town haligusi, umeelewa sasa wewe fukara na funza zako miguuni?Umeandika nini hapo wewe mtu wa poverty stricked City![]()
Siku zenu za kuishi zinahesabika



Hiyo MSCL inayomiliki hizo meli zenu za Mbeya HQ Mwanza, taasisi ya serikali iliyo na Makao Makuu nje Dodoma na DarFukara wote wanaishi poverty struck City Mwanza ..Hujaelewa nini wewe fukara, size ya likijiji ni bukoba make hata kwa ilemela town haligusi, umeelewa sasa wewe fukara na funza zako miguuni?
Mna siku chache Sana za kuishi duniani ,zebaki zitawamaliza nyie wakazi wa poverty zoneHiyo MSCL inayomiliki hizo meli zenu za Mbeya HQ Mwanza, taasisi ya serikali iliyo na Makao Makuu nje Dodoma na Dar
Tunaongeza Mgodi mwingine Sengerema, mjiandae tu.Mna siku chache Sana za kuishi duniani ,zebaki zitawamaliza nyie wakazi wa poverty zone
Hiyo hiyo migodi ndio imewafikisha hapa 👇Tunaongeza Mgodi mwingine Sengerema, mjiandae tu.
Kwa ufukara wako wa akili unadhani dodoma inaizidi kinondoni kwa maendeleo, afu na mafunza yako miguuni unafiri jiji la Mwanza ni Nyamagana tu?! Kama ulikuwa hujui sasa ujue kwamba Mwanza city council inakusanya nyamagana tu wakati jiji la Mwanza linaundwa na ilemela na Nyamagana, Funza ni mbaya
😆😆😆😆 Hatuzungumzi na watu fukara kama nyie,tafuteni size yenu mnaofanana ufukara hadi wa chakula 👇👇Kwa ufukara wako wa akili unadhani dodoma inaizidi kinondoni kwa maendeleo, afu na mafunza yako miguuni unafiri jiji la Mwanza ni Nyamagana tu?! Kama ulikuwa hujui sasa ujue kwamba Mwanza city council inakusanya nyamagana tu wakati jiji la Mwanza linaundwa na ilemela na Nyamagana, Funza ni mbaya
Mwambie tu, kijiographia Jiji la Mwanza ni Nyamagana+Ilemela. Kiutawala ndio kuna Halmashauri mbili Mwanza CC + Ilemela McKwa ufukara wako wa akili unadhani dodoma inaizidi kinondoni kwa maendeleo, afu na mafunza yako miguuni unafiri jiji la Mwanza ni Nyamagana tu?! Kama ulikuwa hujui sasa ujue kwamba Mwanza city council inakusanya nyamagana tu wakati jiji la Mwanza linaundwa na ilemela na Nyamagana, Funza ni mbaya