Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Kuna mgodi mkubwa unafunguliwa Sengerema, tayari leseni yenye thamani ya Trillions 2.3 imekwatwa. Ndio utakuwa mgodi mkubwa wa dhahabu kuliko yote nchini na utakuwa Sengerema. Multiplier effects za huu mgodi lazima muite maji mmaaaaWilaya kama Sengerema ni mfano tuu wa Wilaya maskini za kutupwa,ina watu Zaidi ya 600,000 lakini umewahi isikia popote kwenye kuchangia uchumi kama Wilaya za Nyanda za Juu?
Hiyo Kanda ukiwa na akili timamu huwezi ishi
Umeangalia DRC, ujaangalia Uganda.Kwa Takwimu hizi,huwa najiuliza sgr inajengwa kuelekea Mwanza kwa ajili ya nini?
View attachment 1879432




. Bandari ya Mwanza kusini inapokea meli zenye uwezo wa kubeba mabehewa yaani zina rail ndani nani kiunganishi cha reli za Tanzania, Kenya na Uganda kwa njia ya ziwa.Nimekuambia onyesha hospitali unaonyesha mchoro

, angalia jengo la mama na mtoto sekou toure ujenzi unaendelea
Kwa hapa Tanzania hakuna mkoa wenye makazi Bora vijijini Kama kagera hasa hiz wilaya za muleba,misenyi, bukoba na karagwe. Kidogoo Kilimanjaro ndo vijijini kwao Kuna majumba ingawa nao ni vijiji vya wachaga tuSasa hapo kwenye hizi picha kuna nini cha maana wewe umekiona?
Ona basi hata aibu, kama jengo la wazazi hospital ya Kanda lipo hivyo na bado limezidiwa na Jengo la Hospital ya Mkoa (Sekou Toure). Kwa nini tusiseme Mwanza ni zaidi ya kanda nzima ya kusini???!
Hospital ni nyingi sana huku Kusini wewe kima 👇👇Nimekuambia onyesha hospitali unaonyesha mchoro, angalia jengo la mama na mtoto sekou toure ujenzi unaendeleaView attachment 1879720
Stand mbili za maana zinaendelea kujengwa ndani ya jiji la Mwanza, ebu tuonyeshe za kusini ambazo angalau zinakaribia na hiziMatunda adimu kutoka Njombe utavikuta soko la Dunia
View attachment 1879684
View attachment 1879685
View attachment 1879686
Hujaona hapo juu bweni la Rufaa Bugando mnaita hospital ya Kanda? 😆😆😆😆Ona basi hata aibu, kama jengo la wazazi hospital ya Kanda lipo hivyo na bado limezidiwa na Jengo la Hospital ya Mkoa (Sekou Toure). Kwa nini tusiseme Mwanza ni zaidi ya kanda nzima ya kusini???!
Migodi nyumbani kwao ni kanda ya ziwaKusini tunaingia rasmi na kwa kishindo kwenye sekta ya Madini ,watch out kwa sasa tutakuwa na silaha zote ikiwemo madini mliyokuwa mnalingia.
Migodi ya Songwe, Mchuchuma na Liganga on the pipe line
View attachment 1879743
View attachment 1879744
View attachment 1879745
Ndio ujue sasa kwamba na Highlands migodi imeanza kumea,sijui mtaponea wapi nyieMigodi nyumbani kwao ni kanda ya ziwa
Hizo takwimu ni makusanyo tu ambayo yanaenda kujenga dar.Ona hapo Chini Vijiji vyenu mnavyoita miji vinavyotia aibu kwenye mapato.Yaani kakijiji cha Bukoba ni kamepigwa bao hadi na Nanyumbu TC 😀 😀 Tukisema huko kumejaa maskini tunamaamisha hivi![]()
![]()