Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Wakati nyie mnaongelea barabara za mikoa.


Sisi kagera tunaongelea barabara za vijijini.


Barabara ya muhutwe nshamba eneo la kasikoView attachment 1880146View attachment 1880147
Barabara gani zimepauka hivyo afu nyembamba.

Barabara zinafanania kama hivi 👇

Screenshot_20210804-214558.png


Screenshot_20210804-214541.png


Screenshot_20210804-214354.png


Screenshot_20210804-213858.png


Screenshot_20210804-213931.png
 
Wakati Kuna barabara mahususi kutoka kyaka kwenda karagwe ambayo inaunganisha kwa lami bukoba na karagwe via kyaka, njombe nzima hakuna barabara ya lami kutoka mkoani kuunganisha na wilaya ukiachana na wilaya zilizoko barabarani iringa songea na iringa mbeya.
Hapo tu bukoba vijijini.



Kuna barabara za lami kuunganisha vijiji vifuatavyo.

Bukoba to maruku village
Bukoba to bugabo villages
Bukoba to katoma villages
Bukoba to gera villages

Na Sasa lami za vijijini zinasogeswa kutoka katerero mpaka vijiji vya izimbya huko.


Sehemu iliyobaki ni kitwe na itahwa pekee kwa bukoba vijijini.




Halafu Kuna lami.
Muleba to Rubya villages
Muleba to nshamba
Muhutwe to kamachumu villages
Kamachumu to buganguzi.

Na Sasa wanamalizia kipande Cha buganguzi nshamba.


Wilaya ya misenyi ndo wameanza Sasa kuhakikisha vijiji vya kiziba vinakuwa na lami
Screenshot%20(20210725-205032).jpg
2.PNG
 
Njombe ndo nilikozaliwa na ndo ninakoishi kwa xx pia lkn kahama mji wa akina fantom nmeishi kwa miaka 10 tangu 2010-2020 so naifaham vyema hii miji ila bila kumumunya maneno wala upendeleo ni kuishusha hadhi kahama kuifananisha na njombe

1. Mji umepangika
2. Shughul za wakaz ni
i- uchimbaji wa madin
ii- kilimo cha mpunga
iii- biashara yenye mzunguko mkubwa kuliko manispaa( ndio maana ata enzi za boss luge mkoa wa shy ndio uliokua na matukio 2 ya fiesta ndan ya mkoa mmoja yaan 1 shy town na 2 kahama na licha ya ivyo vaib la shy lilikua halfanani na la kahama)
Nb: siku ukifika kahama waombe wenyeji wakupeleke kaliakoo ndio utaamin kua mgod wa bulyang'hulu unatema madini na sio viaz km njombe
3- kuhusu ubora wa majengo ndio usiseme kabisa
4- harakat za utaftaji wa mkate wa cku ni za 24hrs
5-hali ya hewa ni nzur haina joto lililoptiliza la zaid ya 32°C km dar wala bard la kulimia viaz mvirungo la kufkia chin ya 20°C km njombe

Hongeren wale mnaoishi kahama ni maeneo yanayofaa kwa kila ktu ko endeleen ku enjoy life
Mitaa ya makambako iyoo Mambo yamebadilika mkuu wee inaonekana ni mwenyeji wa njombe ilaa hujui Mambo yanayoendelea ktk mkoa wakoo na huijui mitaa yote vizuli, Mambo yamebadilika usiishi kwa kukalili iyoo picha ni mitaa ya magegere saiv ukienda viwanja vishapanda beii

Screenshot_20210805-003147_1.jpg
 
Kuna mtu anakupakata huko Kahama sio bure..Kwamba Kahama imepangika kuliko Njombe?

Kwamba Kahama ina majengo mazuri na mengi kuliko Njombe eti? Una matatizo wewe ,hadi sasa ukifukua huu Uzi utakuta majengo ya Njombe tuu hao jamaa zako umaowasifia wameshindwa ku justify,kama tuu wewe hapa hadithi nyingi hakuna picha.
Uyoo Hamna kitu hajui ka njombe ya sasa sio ka ya zamani saiv ni makao makuu ya mkoa kwaiyoo lazma kila kitu kiendee kwa mipangoo afuu mkoa wa njombe haujui vizuli fursa ziko nyingi Sana tatizo vijana wengi wanapenda mseleleko pesa unaipata bila kutumia nguvuu njombe maeneo yapoo ya kutosha tuuu ni wewe na akiliyako
 
Yani ukiangalia mapato haya kiukwel mkoa wa njombe upo mbali mno mfano halmashuri zinazo unda wilaya ya njombe zimekusanya zaidi ya mapato ya majiji Fulani maana kwa ujumla wilaya ya njombe Ina bln 13 na point kwa mwendo huu miaka ijayo tutegemee jiji la njombe
 
Yani ukiangalia mapato haya kiukwel mkoa wa njombe upo mbali mno mfano halmashuri zinazo unda wilaya ya njombe zimekusanya zaidi ya mapato ya majiji Fulani maana kwa ujumla wilaya ya njombe Ina bln 13 na point kwa mwendo huu miaka ijayo tutegemee jiji la njombe
Tatizo Nini wadau.


Mnakusanya mapato lakini shule ziko hiv?



Mngeelimika kwanza Kama walivyofanya kagera ( wahaya) then mkakusanya mapato
Huko muleba Kuna kata zinashule za msingi tano na ni kawaida kuwa na Kijiji kuwa na shule mbili ndo maana muleba ni wilaya ya pili nchini kwa shule vijijini baada ya Moshi


Anyway Kama ulikua hujui kagera na Kilimanjaro Kuna shule za msingi nyingi kuliko dar kagera kuna shule zaidi ya 600 na sekondari zaidi ya 200
Bukoba pekee Ina advanced shule zaidi ya 40
FB_IMG_16281496350735479.jpg
 
Yani ww unaishi kwa kukalili data za zaman saizi mkoa wa njombe unashule nyingi sana
Tatizo Nini wadau.


Mnakusanya mapato lakini shule ziko hiv?



Mngeelimika kwanza Kama walivyofanya kagera ( wahaya) then mkakusanya mapato
Huko muleba Kuna kata zinashule za msingi tano na ni kawaida kuwa na Kijiji kuwa na shule mbili ndo maana muleba ni wilaya ya pili nchini kwa shule vijijini baada ya Moshi


Anyway Kama ulikua hujui kagera na Kilimanjaro Kuna shule za msingi nyingi kuliko dar kagera kuna shule zaidi ya 600 na sekondari zaidi ya 200
Bukoba pekee Ina advanced sh
 
leo na waletea latest Arial view ya Njombe Town
Maneno mengi huku kamji kenyewe akawezi kukaa ligi moja na mji wa tarime wenda kidogo sirari japo sirari ligi yake tunduma na mkubwa wenu huko mbeya chamtoto tu ukiondoa population hana chochote mbele ya musoma, kyerwa apewe butiama, makambako mjini size yake bunda na uyole linganisha na mugumu mjini, mafinga vs shirati kama unabisha tulete evidence mezani.
 
Wala sijasema ukubwa wa miji hata kidogo.


Bukoba ni kamanispaa kadogo ilo nakubaliana na wew sema kanajitosheleza .

Kana airport, barabara za lami,bandari,starehe,masoko,maji,umeme na Hadi viwanja vya mpira. Ambazo miji ya kusinni huwezi kukuta mji una Mambo yote hayo katika sehemu Kama ilivyo bukoba.



Lakin ukitembelea vijjiji vya kagera ndo utaona faida ya elimu aisee. Huko Kuna majengo na majengo na majumba.


Shida ya mikoa mingi bongo unakuta miji imeendelea Sana na mikubwa ( Kama ilivyo kusini) lakin haijitoshelezi na ukienda vijijini Sasa ndo majanga matupu.
Lakin hii ni tofauti kwa mkoa wa kagera . Wilaya ya muleba kwa mfano haina mji wowote ule zaidi ya Vicenter vidogo lakin vijijini huko Kuna majumba,maji ,umeme barabara,chakula ndo maana Ina population density ya juu.



Mkuu nikuulze swali. Hiv ni Lazima ukiwa na pesa uwekeze mjini?


Binafsi naona wahaya wako sahihi kuwekeza vijijini kwao ndo maana na serikali inawafata kwa kuwajengea barabara,umeme,maji nk.


Wilaya ya muleba ni barabara mbili tu ambazo hazina lami na hakuna Kijiji kisichokuwa na umeme

Nakubaliana na wewe pia kuhusu Bukoba vijijini
 
Mbeya ni Mji mkubwa na mkoa wa Mbeya kiujumla ni namba tatu kwa uchumi nchi hii huwezi linganisha na huto tutakataka.

Size ya Kagera ni Rukwa.Mbeya imeizidi Mwanza kwa vyuo vikuu ndio ulinganishe na huto tuvijiji ?
Chuo gani kipo Mbeya Mwanza hakipo? Zaidi ya MUST na Mwanza kuna CUHAS ambayo Mbeya haipo.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Mbeya ni Mji mkubwa na mkoa wa Mbeya kiujumla ni namba tatu kwa uchumi nchi hii huwezi linganisha na huto tutakataka.

Size ya Kagera ni Rukwa.Mbeya imeizidi Mwanza kwa vyuo vikuu ndio ulinganishe na huto tuvijiji ?
Mikoa kumi inayoongoza kwa kuchangia pato la Taifa. Kanda ya ziwa imeingiza Mikoa mitatu, Nyanda za juu kusini mmeingiza mikoa miwili, na hamuoni aibu??? Wavivu sana nyie...
JamiiForums-403779262.jpg


Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom