Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Mixed farming ya migomba 😂😂😆😆 kwamba Kagera inaijua Sana migomba kuliko Tukuyu?Eti Pato ni la msimu.
Kijana unijua mixed farming ya migomba?
Au tukurudishe shule? Hujui hiyo mihogo,magimbi nk hulimwa pamoja na migomba?
Pato la msimu wakati bukoba kuna uvuvi Kuna viwanda vikubwa viwili vya samaki, biashara za mipakani,kilimo Cha miwa kagera sugar, vanilla,
Bado Kuna migodi mikubwa Kama stamico Kule biharamulo .




