prosper cliff
JF-Expert Member
- Jan 19, 2017
- 662
- 701
kaka linganisha hizi wilayaMbeya ni Mji mkubwa na mkoa wa Mbeya kiujumla ni namba tatu kwa uchumi nchi hii huwezi linganisha na huto tutakataka.
Size ya Kagera ni Rukwa.Mbeya imeizidi Mwanza kwa vyuo vikuu ndio ulinganishe na huto tuvijiji ?
Wanging'ombe(Igwachanya) vs Kyelwa(Kaisho)
Muleba vs Makambako
Njombe vs Bukoba
Kudewa vs Biharamulo
Makete vs Ng'ara
Lwamishenyi vs Njombe vijiji
hapo utangundua kwamba kimapato njombe ni Best kuliko Kagera




