New York,Hong Kong na Nairobi kuna misitu jijini sembuse Njombe?Eden ya mapori labda
Hiyo misaada kwa nini haiendi Makambako? Swali la yanakwenda wapi nimekujibu mara nyingi kama hutaki kuelewa ni tatizo lako sio langu.Hilo subiri mwakani tunaangalia maendeleo ya Sasa njombe mnapenda misaada ss mapato yenu yanafanya kazi gani halimashari za wajanja Kama makambako ndo zinafaidi hayo mapato
😄😄😄 Angalio hio miji Ina aina gani ya miti pili pori za njombe huwezi linganisha na hiyo mijiNew York,Hong Kong na Nairobi kuna misitu jijini sembuse Njombe?
Acha ushamba miji yote ya kistaarabu ina imepambwa na mandhari ya misitu sio tuu huko makuu hata hapa Tzn,mfano mzuri ni Arusha,Mbeya, Sumbawanga,Babati na mingine mingi ..wewe hujui kitu ..
Vijiji vya kichuuzi na hovyo hovyo kama Makambako ndio havina mandhari ya uoto na misitu.
Bado mnalelewa 😃😃😃😃Hiyo misaada kwa nini haiendi Makambako? Swali la yanakwenda wapi nimekujibu mara nyingi kama hutaki kuelewa ni tatizo lako sio langu.
Unachafua Uzi wa heavy weights Njombe Vs Kahama.Hahahaha na bado lazima maji useme mma maana dalili za kuishiwa hoja usijaribu kugusa miji ya kibabe kama makambako tafutaga miji ya mashamba Kama wa hko
Labda njombe na nanyamba naona unakupenda kweliUnachafua Uzi wa heavy weights Njombe Vs Kahama.
Wewe anzisha wa kwako Makambako vs Nanyamba TC ndio size yenu.
Unachafua Uzi wa heavy weights Njombe Vs Kahama.
Wewe anzisha wa kwako Makambako TC vs Nanyamba TC ndio size yenu.
Kujitutumua mbele ya Njombe unajichosha bure, Regional HQ is something elseku
Swala makao makuu ni tofauti na maendeleo ya mji mzee 😄😄😄 usijifariji mikoa mingapi inazidiwa na miji iliyo ndani ya mkoa ko usione aibu kuzidiwa ni swala la kawaida hiloUnachafua Uzi wa heavy weights Njombe Vs Kahama.
Wewe anzisha wa kwako Makambako TC vs Nanyamba TC ndio size yenu.
Kujitutumua mbele ya Njombe unajichosha bure, Regional HQ is something else
Umeanza kuwa mpuuzi SasaKo na hili ni godawn maana ramani ni moja na mkandarasi ni mmoja ya n mtu ukiishiwa hoja kaa kimya
😄😄😄😄 Mnatetean hebu angalia comment imeanzia wap afu uji jibu mwenyewe Nan mpuuziUmeanza kuwa mpuuzi Sasa
Labda njombe na nanyamba naona unakupenda kweli



nyie na Namyamba TC ndio mko hadhi moja na mlipandishwa pamoja.Inazidiwa kwa lipi? Kwamba huduma za jamii za Kahama ni bora kuliko Shinyanga?Swala makao makuu ni tofauti na maendeleo ya mji mzeeusijifariji mikoa mingapi inazidiwa na miji iliyo ndani ya mkoa ko usione aibu kuzidiwa ni swala la kawaida hilo
Hivi Kahama unaiona kama periphery? 90% ya huduma unazoweza pata Mwanza jiji Kahama mjini huzikosi...Inazidiwa kwa lipi? Kwamba huduma za jamii za Kahama ni bora kuliko Shinyanga?
Kwamba Makambako ina huduma za jamii bora kuliko Njombe? Uliwahi ona wapi hili? HQ ina heshima yake ndio maana hata Dom inapendelew kwa sababu kama hizo
Jibu hoja yangu ndio uje na habari za MwanzaHivi Kahama unaiona kama periphery? 90% ya huduma unazoweza pata Mwanza jiji Kahama mjini huzikosi...
Huduma za jamii zipi Shinyanga inaizidi Kahama?Jibu hoja yangu ndio uje na habari za Mwanza
Saaa wewe unataka kufananisha Njombe na kahama,Njombe imeshafika mbali iko well planed sio kahama scattered and unorganised town Kama kahamaHuduma za jamii zipi Shinyanga inaizidi Kahama?
Mkoa wote wa Shinyanga unabebwa kimapato na Kahama. Serikali inashindwaje kuwekeza kwenye huduma bora za kijamii sehemu inayochuma pesa??
Uache kulinganisha KAHAMA na vitu vya kijinga...
Barabara nzuri,uhakika wa maji, hospital,shule nkHuduma za jamii zipi Shinyanga inaizidi Kahama?
Mkoa wote wa Shinyanga unabebwa kimapato na Kahama. Serikali inashindwaje kuwekeza kwenye huduma bora za kijamii sehemu inayochuma pesa??
Uache kulinganisha KAHAMA na vitu vya kijinga...