Kahama VS Njombe/Mafinga

Hivi idadi ya matawi ya Bank zilizoko Kahama unaweza linganisha na ubaridini (Njombe)?
Kahama mabenki yapo mengi kuliko njombe. ACB, AZANIA, NBC, CRDB, NMB, TPB, hapo hujawaweka akina FINCA na wadogo zake. Kwa hilo tu, Njombe inaachwa mbali. Kimapato, mgodi wa Buzwagi unatema njulu za kutosha. Pia Kahama ni center kubwa inayohudumia wafanyabiashara kutoka Rwanda, Burundi na Uganda, Mwanza, Shinyanga, Kigoma, Katoro, Nzega, Geita, Simiyu na Ushirombo.
 
Apoo benki zenye mvunguko mkubwa ni NMB, CRDB na NBC izoo kila Kona zipoo na ukiona sehemu Hamna izoo benk izoo tatu Basi apoo Hamna kitu
 
Apoo benki zenye mvunguko mkubwa ni NMB, CRDB na NBC izoo kila Kona zipoo na ukiona sehemu Hamna izoo benk izoo tatu Basi apoo Hamna kitu
Benki zenye umuhimu izoo tuu tatu izoo zingine sio Sanaa. nasema ivyoo kwasababu hazijachangamka Sana nimetembelea branch zake za apaa dsm zimepoa sanaa
 
Hivi wewe akili yako iko sawa kweli ? Unalinganisha mji wa Kahama ni hicho kijiji cha Njombe ? Hauko serious
 
Huku ndio kutojiamini yaani hadi vituo vya mafuta ni maendeleo
We ndo huelewi kitu Sasa hivyo vihotel uchwara vinautofauti gani na uwekezaji wa visima vya mafuta na kumbuka huu uwekezaji wa visima vya mafuta na gorofa pia unasidia kubadilishana madhari ya mji
 
Kaka utamua maana njocoba tu ilisha kufa
 
Hebu aangalie mradi unaofadhiliwa na India kati ya njombe na makambako wapi wamepewa Pesa nyingi makambako tc billion 41 njombe bl 28 Sasa wapi kutasambazwa zaidi anaongea nn huyo
 
Na hii ndo list ya miji ambayo tayari utekelezaji umeanza
 
We ndo huelewi kitu Sasa hivyo vihotel uchwara vinautofauti gani na uwekezaji wa visima vya mafuta na kumbuka huu uwekezaji wa visima vya mafuta na gorofa pia unasidia kubadilishana madhari ya mji
Hajaelewa maana ya maendeleo ya mjii m nakwambia tunaangalia na mazingira au muonekano wa mjii na sheli, magorofa vyote ivyoo vinaleta manzari nzuri ya mjii ye anafikili mapato tuu ndo yanatabili maendeleo ya mji Kati hata dodoma imeizidi mwanza kimapato lakini huwezi ukailinganisha na mwanza. Mwanza bado ipo mbali
 
Huyo si haelewi kitu anjiongeleaga tu anajiua makambako ndo ya miaka ile
 
Na makambako Kuna benk mpya ambayo njombe haipo ni letshego bank
Atamuuwa kweli amwache apambane na makambako alietuzidi benki moja tuuuu mkombozi Bank nayoo wameijenga kwasababu ni jimboni s benki ya kanisa iyooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…