Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Jiji la mbeya ni moja ya Miji inakua kwa kasi bila kuwepo extractive, processing na manufacturing industry kubwa badala yake inategemea zaidi businesses,value chain ya kilimo na service industry kama vyuo vikuu.

By the way taja kiwanda hata kimoja kinachochukua raw materials kutoka Njombe kuja kuwa processed hapo village town ya Makambako au ndo unategemea wimbo wa tuta..tuta..
😃😃😃 Ngoja tukusaidie kiwanda cha parachichi ,vya unga mk hivyo hatuongei ,nguzo za umeme bdo vya rawmaterial kutoka ludewa dc kiwanda cha bati ,nondo,misumari na wire ,pia saiz hata plastic zilizo choka tunawasaidia kununua kwa ajili ya kiwanda cha vifaa vya plastic
 
Unaweza ukawa unasifia eneo husika kumbe hulijui kiundani umeme wenyewe njombe ni shida project ya ruhuji umeme wanaongezea nguvu grid ya.taifa makambako kwa nini wawekezaji wasiwekeze mji wa makambako wenye umeme kila Kona unaishia kutoa mawazo utopolo et viwanda havina faida yana ukizidiwa kubali tu sio mara kutenga eneo labda la mashamba Kama viwanja lunyanywi vya makaz vilitengwa zaidi ya miaka kumi bdo havijaisha kununuliwa ndo uje kutudanganya hapa. mkoa wa pwani umekuwa kimapato kutokana na uwekezaji wa viwanda .inatakiwa umsikilize hata mkuu wa mkoa wa njombe anasemaje kuhusu mji wa makambako na plan ya kuanzisha mji mpya pale idofi sio kila siku parachichi na vanila hayo ni mazao ambayo hata makambako tc kata za pembezoni wamelima ekari za kutosha mzee 😄😄😄😄
 
😃😃😃 Ngoja tukusaidie kiwanda cha parachichi ,vya unga mk hivyo hatuongei ,nguzo za umeme bdo vya rawmaterial kutoka ludewa dc kiwanda cha bati ,nondo,misumari na wire ,pia saiz hata plastic zilizo choka tunawasaidia kununua kwa ajili ya kiwanda cha vifaa vya plastic
Bahati nzuri viwanda vyote hivyo haviongezi thamani ya bidhaa za wananchi kama agro processing industries ndio maana licha ya uwepo wake TRA inakusanya pesa karibu robo tatu kutoka Wilaya ya Njombe.

Kana kwamba hiyo haitoshi mapato ya Mji wa Njombe ni makubwa mara tatu ya Kijiji cha Makambako,unaelewa sababu? Nimekwambia mapema kabisa ingekuwa viwanda vya dizaini hiyo ni dili basi Makambako ingeendelea kuliko Tunduma,vijiji vyenu vyote hivyo haviwezi sogeza pua kwa Njombe kwa chochote ndio maana tunaongelea kuwa Manispaa
 
Na habar za parachichi na vanilla wawekezaji wakubwa wanawekeza lupembe njombe dc ndo kwenye mashamba makubwa sio unasifia tu hata project zinazo endelea maeneo husika hata huelewi mfano makambako vimefunguliwa viwanda vya bati ,nondo, wire, misumari .raw material ni ludewa wanapeleka makambako pale ndo hub ya uchumi
Acha kulia lia mkuu kila mtu ashinde mechi zake
 
Kahama (GOLD) Municipal Council. Tumemaliza ofisi, sasa tukamilizie Hospital yetu, stand kuu na kisha tuanze barabara zote za mitaa
FB_IMG_1622722268577.jpg
 
Usilo lijua viwanda vingi vimeanza kazi mwaka huu tegemea ongezeko la mapato
Bahati nzuri viwanda vyote hivyo haviongezi thamani ya bidhaa za wananchi kama agro processing industries ndio maana licha ya uwepo wake TRA inakusanya pesa karibu robo tatu kutoka Wilaya ya Njombe.

Kana kwamba hiyo haitoshi mapato ya Mji wa Njombe ni makubwa mara tatu ya Kijiji cha Makambako,unaelewa sababu? Nimekwambia mapema kabisa ingekuwa viwanda vya dizaini hiyo ni dili basi Makambako ingeendelea kuliko Tunduma,vijiji vyenu vyote hivyo haviwezi sogeza pua kwa Njombe kwa chochote ndio maana tunaongelea kuwa Manispaa
 
Usilo lijua viwanda vingi vimeanza kazi mwaka huu tegemea ongezeko la mapato
Itawachukua miaka 10 kufikisha 3 bln..sie wenzenu wenye mapato ya kuanzia 5bln tumeruhusiwa na gvt kutumia 60% ya mapato yetu kwenye miradi ya maendeleo,nyie wengine mnatakiwa kutumia 40%

Sasa sijui mtaendeleaje kwa kutegemea ruzuku ya serikali kuu ambayo haina uhakika.Ila msikate tamaa ndo mnakua hivyo ipo siku mtalingana na kaka yenu.
 
Itawachukua miaka 10 kufikisha 3 bln..sie wenzenu wenye mapato ya kuanzia 5bln tumeruhusiwa na gvt kutumia 60% ya mapato yetu kwenye miradi ya maendeleo,nyie wengine mnatakiwa kutumia 40%

Sasa sijui mtaendeleaje kwa kutegemea ruzuku ya serikali kuu ambayo haina uhakika.Ila msikate tamaa ndo mnakua hivyo ipo siku mtalingana na kaka yenu.
Hyo miaka kumi ni ya mawazo yko ndani ya mwaka huu utabaki mdomo wazi
 
unajifariji sio? Soma hiyo View attachment 1809304
Hayo ni makadilio hata hivyo mk inajitahidi huon hata makadilio yameongezeka tofauti na mwaka Jana njombe yameganda na kumbuka soon utasikia wilaya mpya za tarafa ya lupembe makao makuu yanajengwa kidegembye baadhi ya kata zitamegwa kutoka njombe na wilaya ya tarafa ya makambako inayoanzia wangama mtwango maana kuna kata ziliazimishwa njombe dc ziwakuzie mapato Sasa zinarudi maana miundo mbinu imekalika yote hapo njombe miaka ijayo itegemee kupata jiji nje ya makao makuu ya mkoa
 
Itawachukua miaka 10 kufikisha 3 bln..sie wenzenu wenye mapato ya kuanzia 5bln tumeruhusiwa na gvt kutumia 60% ya mapato yetu kwenye miradi ya maendeleo,nyie wengine mnatakiwa kutumia 40%

Sasa sijui mtaendeleaje kwa kutegemea ruzuku ya serikali kuu ambayo haina uhakika.Ila msikate tamaa ndo mnakua hivyo ipo siku mtalingana na kaka yenu.
Yan kwa njombe hata ingekuwa asilimia 100 bado haiwasaidii maana asilimia 85 ya mji wa njombe ni vijiji barabara ni mbovu balaa ndio maana hata mbunge wenu juzi anasema tanesco wasichukulie uhalisia wa Jimbo kuitwa njombe mjini ni Jimbo lenye vijiji vingi havina umeme kitu ambacho kwa makambako wamesahau umeme kila Kona barabara zko poa na bado wanaendelea kupiga lami kutembelea eneo husika ndo kuna kupa picha sio mijadala ya ntandaon na kutafuta sehemu walipo jenga na kupiga picha huo sio uhalisia
 
Yan kwa njombe hata ingekuwa asilimia 100 bado haiwasaidii maana asilimia 85 ya mji wa njombe ni vijiji barabara ni mbovu balaa ndio maana hata mbunge wenu juzi anasema tanesco wasichukulie uhalisia wa Jimbo kuitwa njombe mjini ni Jimbo lenye vijiji vingi havina umeme kitu ambacho kwa makambako wamesahau umeme kila Kona barabara zko poa na bado wanaendelea kupiga lami kutembelea eneo husika ndo kuna kupa picha sio mijadala ya ntandaon na kutafuta sehemu walipo jenga na kupiga picha huo sio uhalisia
Kwa hiyo unalinganisha tarafa moja na tarafa tatu.Njombe mjini ni Jimbo liliunganishwa na tarafa tatu wakati makambako ni tarafa moja na usitake kutudanganya moja ya vijiji duni sana kwa wilaya ya Njombe ni vile vilivyo kaskazini na vingi vinaakua tarafa ya makambako na mkakati uliopo ni kuvitafutia shughuli mbadala wa uchumi
 
Yan kwa njombe hata ingekuwa asilimia 100 bado haiwasaidii maana asilimia 85 ya mji wa njombe ni vijiji barabara ni mbovu balaa ndio maana hata mbunge wenu juzi anasema tanesco wasichukulie uhalisia wa Jimbo kuitwa njombe mjini ni Jimbo lenye vijiji vingi havina umeme kitu ambacho kwa makambako wamesahau umeme kila Kona barabara zko poa na bado wanaendelea kupiga lami kutembelea eneo husika ndo kuna kupa picha sio mijadala ya ntandaon na kutafuta sehemu walipo jenga na kupiga picha huo sio uhalisia
Kwa nini isitusaidie? hizo pesa ndio zitatumika kuboresha miundombinu na huduma zingine kama unavyoona inafanyika,utasemaje haitusaidii mkuu.Kumbuka hizo ouskirts villages za Njombe ndio zinachangia sana mapato ya Mji.

Kila Manispaa pengine hata baadhi ya majiji yanakuwa na vijiji sio Njombe tuu ili kukidhi eneo la kiutawala linalotakiwa na pia wanaangalia hivyo vijiji viko karibu na mji upi kuweesha huduma kirahisi.
 
Hayo ni makadilio hata hivyo mk inajitahidi huon hata makadilio yameongezeka tofauti na mwaka Jana njombe yameganda na kumbuka soon utasikia wilaya mpya za tarafa ya lupembe makao makuu yanajengwa kidegembye baadhi ya kata zitamegwa kutoka njombe na wilaya ya tarafa ya makambako inayoanzia wangama mtwango maana kuna kata ziliazimishwa njombe dc ziwakuzie mapato Sasa zinarudi maana miundo mbinu imekalika yote hapo njombe miaka ijayo itegemee kupata jiji nje ya makao makuu ya mkoa
😛 😛 😛 😛 Mkuu acha kutapatapa,hayo mnayoita makadirio yameongezeka hamtakaa muyafikie maana kila mwaka mnakadiriwa vihela kiduchu lakini hamfikii wakati sisi Njombe TC huwa tunavuka malengo kila mwaka,mwaka huu unaoishia tunatakiwa kuvuka 6.7b wakati hicho kijiji chako kiko kwenye 2.8b ambapo hadi mwezi march 2021 kwa hiyo trend ya 60% hamtafikia Ilhali Njombe TC tutavuka malengo kama kawaida yetu na kuingia ligi za wakubwa.Makaisio ya mwaka ujao wa fedha yameongeeka kidogo but baada ya reconciliation automatic wataongeza kwa sababu watakuta tumefikia 7b.

Hii 7b tutakaa nayo kwa kipindi hadi hapo tutakapoongeza economic activities,hizo ni pesa nyingi sana kwa halmashauri maana kuna manispaa kibao hazina hayo mapato.

Ndi maana nilikuwa nawashushua hata Wachuuzi wenzenu wa Kahama kwamba Njombe kungekuwa hakuna pesa hakuna mtu angejenga mahoteli kule.Sasa mkuu badala ya kupinga unatakiwa kutoa kongole kubwa sana kwa kaka yako Njombe kwanza kakulea pamoja na kelele unazopiga.

Sasa hiyo wilaya ikianzishwa itaiathiri nini Njombe hasa maana watakaoathirika na hilo ni Njombe DC na sio Njombe TC.Kwani tulivyowazaa nyie Makambako na Wanging"ombe DC tumeathirika nini? Mkuu unatakiwa ujue kwamba unavyozungumzia mapato ya Mkoa wa Njombe technically unazungumzia Njombe DC na Njombe TC nyie wengine mnajazilizia paliposalia
 
Mna jengo la kisasa, mmejenga kwa mapato ya ndani?
Kwa nini tujenge jengo la Halmashauri kwa pesa zetu wakati serikali imetoa hizo pesa na za kujengea hospital? Pia kwa miaka iliyopita tulikuwa na mapato chini ya 5b sasa sioa sawa kuwekeza kwenye maofisi badala ya miradi ya wananchi.

Ila kwa sasa tumeongeza kiwango cha makusanyo ya ndani tunapata zaidi ya 5b kwa hiyo tutakuwa na nguvu kubwa ya kutekeleza miradi hasa ya maendeleo na barabara,as for now tunajenga zahanati kila kijiji,vituo vya afya vya kata,madarasa,mabweni ya watoto,shughuli za uchumi za wananchi hususani kwenye sekta za kilimo na ufugaji wa kisasa wa ng"ombe na samaki na miradi mingine mingi kwa pesa za ndani
 
Wewe umefika Kahama au unasema tu ?
Njombe ni nzuri kuliko kahama tofauti iko kwenye labda wingi wa watu maana kahama ni sukuma land na usukumani kuona kijiji kina watu 10000 kawaida,kaya moja unakuta ina watu 20 hivyo tu labda.Lakini in terms of miundo mbinu,modern structure, cleanliness ,na mipango miji kahama haiwezi ifikia Njombe.Zingatia kahama ilitangazwa kuwa Manispaa kwa kuwa mkurugenzi alimfurahisha Rais wa wakati huo.
 
😛 😛 😛 😛 Mkuu acha kutapatapa,hayo mnayoita makadirio yameongezeka hamtakaa muyafikie maana kila mwaka mnakadiriwa vihela kiduchu lakini hamfikii wakati sisi Njombe TC huwa tunavuka malengo kila mwaka,mwaka huu unaoishia tunatakiwa kuvuka 6.7b wakati hicho kijiji chako kiko kwenye 2.8b ambapo hadi mwezi march 2021 kwa hiyo trend ya 60% hamtafikia Ilhali Njombe TC tutavuka malengo kama kawaida yetu na kuingia ligi za wakubwa.Makaisio ya mwaka ujao wa fedha yameongeeka kidogo but baada ya reconciliation automatic wataongeza kwa sababu watakuta tumefikia 7b.

Hii 7b tutakaa nayo kwa kipindi hadi hapo tutakapoongeza economic activities,hizo ni pesa nyingi sana kwa halmashauri maana kuna manispaa kibao hazina hayo mapato.

Ndi maana nilikuwa nawashushua hata Wachuuzi wenzenu wa Kahama kwamba Njombe kungekuwa hakuna pesa hakuna mtu angejenga mahoteli kule.Sasa mkuu badala ya kupinga unatakiwa kutoa kongole kubwa sana kwa kaka yako Njombe kwanza kakulea pamoja na kelele unazopiga.

Sasa hiyo wilaya ikianzishwa itaiathiri nini Njombe hasa maana watakaoathirika na hilo ni Njombe DC na sio Njombe TC.Kwani tulivyowazaa nyie Makambako na Wanging"ombe DC tumeathirika nini? Mkuu unatakiwa ujue kwamba unavyozungumzia mapato ya Mkoa wa Njombe technically unazungumzia Njombe DC na Njombe TC nyie wengine mnajazilizia paliposalia
Komaeni na vijiji vyenu
 
Back
Top Bottom