😃😃😃 Ngoja tukusaidie kiwanda cha parachichi ,vya unga mk hivyo hatuongei ,nguzo za umeme bdo vya rawmaterial kutoka ludewa dc kiwanda cha bati ,nondo,misumari na wire ,pia saiz hata plastic zilizo choka tunawasaidia kununua kwa ajili ya kiwanda cha vifaa vya plasticJiji la mbeya ni moja ya Miji inakua kwa kasi bila kuwepo extractive, processing na manufacturing industry kubwa badala yake inategemea zaidi businesses,value chain ya kilimo na service industry kama vyuo vikuu.
By the way taja kiwanda hata kimoja kinachochukua raw materials kutoka Njombe kuja kuwa processed hapo village town ya Makambako au ndo unategemea wimbo wa tuta..tuta..![]()

