compare and contrast.
umepanic
Nipanic nn ungesikiliza vikao vya bajeti za madiwani Ni halimashauri gani inangiza pesa nyingi kupitia stendi ungepata jibuumepanic
Kweli kabisa kahama inamabasi mengiView attachment 1701207
Mkuu mbna umepost mandhari ya slums tupu hatujakataa au Kwa vile nyani haoni kundule🤣🤣 hyo mandhari ya Kahama Safi Sana mkuu, we Baki na stendi yako ya vibasi viwili vitatu na coaster , wakat Kahama ndo wilaya pekee nje ya makao makuu ya mkoa yenye route za mabasi ya mikoani almost kila mkoa ,
Hicho kijiji labda kitaipiku buselesele hukounazingua mkuu sensa gani uliifanya ukajua kuwa katoro kuna watu elfu 50 acha ujinga katoro mji ambao unasifika Tanzania nzima yaan isipokuwa makini katoro itaipiku mda si mrefu mark my words
Wapi hakuna mabasi mengi? Njombe barabara zilikuwa changamoto lakini pia umbali na miji mingine ya mikoa ni changamoto ukilinganisha na Kahama.Kweli kabisa kahama inamabasi mengi
Acha porojo mkuu, Makambako ni kijiji tuu,ona mapato ya Njombe TC vs Makambako TC,, yaani Makambako mnaingia mara 2 na chenji inabakiJambo usilo lijua Ni jiografia ya mkoa wa njombe ikoje na wapi Kuna wakazi wengi na kunazidi kujaa ndo maana nilikwambia usipende kusimuliwa tembelea eneo husika huu mkoa wa njombe una Kanda mbili ya kasikazini na kusini ambapo kasikazini mji mkuu Ni makambako na huu ukanda unaanzia wangama ,igwachanya kidugugala ilembula ,wangingombe mtwango kitandililo nk na ndio ukanda wenye wakaz wengi na unakua kwa Kasi ili kudhibitisha Hilo hata crdb kwenye hafla ya kufungua mwaka wakiwa na mkuu wa mkoa waliongea pia wamefungua matawi 6 ya benki yao kwenye hii zone ambapo yapo igwachanya ,ilembula ,mtwango,wangingombe, kidugala ambapo baba lao Ni makambako hata ongezeko la daladala Ni kubwa zinazo kuja makambako kutoka sehemu hiz Ni tofauti na zone ya njombe ambayo barabara yenye kas ya ongezeko la watu Ni ya makete t zingine Ni mashambani na miti milima imetawala unatembea km nyingi Ni misitu tu ko biashara Ni watu na position ya mji ulipo

Tumehama weight/division.. tuko kwenye Mikanda ya Manispaa.. huko mijini mpambane wenyewe.. Hatupendi kuoneana.Watu wa Kahama wamekimbia jukwaa na kusanda huku wapambe wao Makambako wanaona aibu kwa yaliyowapata
Kahama ni bora kuliko huko uliko kutaja, ni manispaa inayo kua kwa kasi kuna mabenki ambayo hata baadhi ya mikoa haina. Jiji kubwa la kibiashara kwa kanda ya ziwa na afrika mashariki kwa miaka 20 ijayo.
Tumehama weight/division.. tuko kwenye Mikanda ya Manispaa.. huko mijini mpambane wenyewe.. Hatupendi kuoneana.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app




sawa mkuuKupata vichekesho kama hivi , subscribe huu uziKahama ni bora kuliko huko uliko kutaja, ni manispaa inayo kua kwa kasi kuna mabenki ambayo hata baadhi ya mikoa haina. Jiji kubwa la kibiashara kwa kanda ya ziwa na afrika mashariki kwa miaka 20 ijayo.
Mkuu turudi hapa kwenye Uzi wako , vip Kahama na njombeKupata vichekesho kama hivi , subscribe huu uzi
Saizi mmekua kimapato lakini kihuduma zingine badoMkuu turudi hapa kwenye Uzi wako , vip Kahama na njombe
![]()
Hii ndio orodha ya Miji na Wilaya za Tanzania zenye watu wenye kipato cha Uhakika
Ifuatayo ni orodha ya Miji na Halmashauri 41 pekee kati ya Halmashauri 165 Tanzania ambazo watu wake Wana kipato cha Uhakika na kuwa na purchasing power inayotoa fursa ya uhakika wa biashara kwa Tanzania. Orodha imehusisha Halmashauri zenye mapato yanayoanzia shilingi za Tanzania bilioni 3.5...www.jamiiforums.com

