Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Watakuambia huko ni msituni na mashambani



.Njombe sio level zenu nyie watu wa KahamaWatakuambia huko ni msituni na mashambani



.Njombe sio level zenu nyie watu wa KahamaKilomita 40 kwa KAHAMA unakuwa umeivuka Isaka, unakaribia Makao makuu ya Ushetu, Unakuwa uko Segese na unakaribia Makao makuu ya Mbogwe DC.. imagine kwa umbali huo KAHAMA inatakiwa ishindane na Arusha kwa sasa maana hata mbeya haitaifikiaWatakuambia huko ni msituni na mashambani.Njombe sio level zenu nyie watu wa Kahama
Leta actual things sio render,Kahama mnaweweseka SanaView attachment 1700957View attachment 1700958View attachment 1700959View attachment 1700960View attachment 1700961View attachment 1700962
Mchoro stendi mpya Kahama....
![]()
Halmashauri ya Mji wa Kahama yakusudia kujenga kituo kipya cha Mabasi, jionee michoro na muonekano wake
Halmashauri ya Mji wa Kahama yakusudia kujenga kituo kipya cha Mabasi. Kituo hiko kinatarajiwa kujengwa maeneo ya Mbulu. Jionee michoro na muonekano wake.www.kahamatc.go.tz

Render as usual ,nchi ya kufikirikaView attachment 1700970View attachment 1700972View attachment 1700973
Upanuzi wa hospital ya manispaa ya Kahama
![]()
Mji Kahama yakusudia kufanya upanuzi wa Hospitali ya Wilaya, Pitia picha za Muonekano wa Majengo hayo
Halmashauri ya Mji Kahama ina mpango wa kufanya upanuzi wa Hospitali ya Wilaya, Ujenzi huo unatarajiwa kuanza mapema mwaka huu baada ya taratibu kukamilikawww.kahamatc.go.tz
8bn stand loading... Mbn htrLeta actual things sio render,Kahama mnaweweseka Sana
Njombe stand hii hapaView attachment 1700998View attachment 1700999View attachment 1701000
Hicho Kijiji chenu kinasikitisha kiukweliKilomita 40 kwa KAHAMA unakuwa umeivuka Isaka, unakaribia Makao makuu ya Ushetu, Unakuwa uko Segese na unakaribia Makao makuu ya Mbogwe DC.. imagine kwa umbali huo KAHAMA inatakiwa ishindane na Arusha kwa sasa maana hata mbeya haitaifikia
Vipicha vya hovyo kama hivyo



tumevikataaVipicha vya hovyo kama hivyotumevikataa
Mbeya haitafikia kwa vipi. Kutoka Uyole hadi Mbalizi ni kilometa 30, hapo sijasema Igawilo-Mbalizi. Acheni kujipa ujiko usiostahiliKilomita 40 kwa KAHAMA unakuwa umeivuka Isaka, unakaribia Makao makuu ya Ushetu, Unakuwa uko Segese na unakaribia Makao makuu ya Mbogwe DC.. imagine kwa umbali huo KAHAMA inatakiwa ishindane na Arusha kwa sasa maana hata mbeya haitaifikia
Mtu analeta Prototype hizo ziko nyingi kila mji na iko miradi mingi ya hivyo haijatekelezwa kwa couple of years now.Render as usual ,nchi ya kufikirika
Mbona unakuwa mkali.. kwa hiyo unataka kusema catchment ya jiji la mbeya ni kilomita 80!? Maana Hata Dar Haifiki hiyo!Mbeya haitafikia kwa vipi. Kutoka Uyole hadi Mbalizi ni kilometa 30, hapo sijasema Igawilo-Mbalizi. Acheni kujipa ujiko usiostahili
Ipo miji mingi miji ipi hyo? Jombe washajenga stend yao , Kahama inajengwa na eneo lishatengwa , Jiwe kasema ni manispaa now hatutegemei delay Kwa huo mradi, na eneo tayar lishatengwa cse Kahama recently haina stend kabisa , istoshe Kahama ina route nyingi za mabasi ya Mikoani kuliko jombe , ....Mtu analeta Prototype hizo ziko nyingi kila mji na iko miradi mingi ya hivyo haijatekelezwa kwa couple of years now.
unaleta mchoro wakati Njombe stendi Mpaya tayari inatumikaView attachment 1700957View attachment 1700958View attachment 1700959View attachment 1700960View attachment 1700961View attachment 1700962
Mchoro stendi mpya Kahama....
![]()
Halmashauri ya Mji wa Kahama yakusudia kujenga kituo kipya cha Mabasi, jionee michoro na muonekano wake
Halmashauri ya Mji wa Kahama yakusudia kujenga kituo kipya cha Mabasi. Kituo hiko kinatarajiwa kujengwa maeneo ya Mbulu. Jionee michoro na muonekano wake.www.kahamatc.go.tz
Kwa hyo ulitaka stendi itokee Tu angani 😂unaleta mchoro wakati Njombe stendi Mpaya tayari inatumika
hapa tunaongelea vilivyopo sio vitu kama ni hiyo michoro tu hata stendi mpya ya Njombe ilikua na mchoro lakini ujenzi wake umekua toafauti na mchoro wa awali mkuu.Nikukumbushe kua tulikua na Industrial drawings za mchuchuma na Liganga lakini hadi leo tunaendelea kutazama michoro toka 2013Kwa hyo ulitaka stendi itokee Tu angani 😂
Kipind cha kikwete michoro ilikuwa inabadrika hovyo hovyo ndo mana mlijenga stendi la hovyoo, la kupaki coaster , huo mchoro wa kahama ni wa 2018 na umefanyiwa marekebisho baada ya amri ya Jiwe kuwa Kahama iwe manispaa....hapa tunaongelea vilivyopo sio vitu kama ni hiyo michoro tu hata stendi mpya ya Njombe ilikua na mchoro lakini ujenzi wake umekua toafauti na mchoro wa awali mkuu.Nikukumbushe kua tulikua na Industrial drawings za mchuchuma na Liganga lakini hadi leo tunaendelea kutazama michoro toka 2013
Vijumba kamoja kamoja kama hv ndo mnajivunia 🤣View attachment 1701361
Josephine girls sec.school hall-Njombe town