Huko mashambani kuona hivi vyuma zaidi ya Mia mtasubiri Sana Ni ndotoKifo cha hako kakijiji ka wachuuzi ka Makambako ni kukamilika kwa hizi road hapa View attachment 1702020
Huko mashambani kuona hivi vyuma zaidi ya Mia mtasubiri Sana Ni ndotoKifo cha hako kakijiji ka wachuuzi ka Makambako ni kukamilika kwa hizi road hapa View attachment 1702020
Yani jiulize kwa wenzio makanisa mazuri yamejengwa wap sio unatuletea ya enzi za ukoloni
Yani jiulize kwa wenzio makanisa mazuri yamejengwa wap sio unatuletea ya enzi za ukoloniView attachment 1702090View attachment 1702092View attachment 1702093View attachment 1702093
Wewe jamaa bwana sometimes unakuwa kama hazikutoshi,ko mkuu unasikia Raha Sana ukiona hizo gari zikipita hapo Makambako?Huko mashambani kuona hivi vyuma zaidi ya Mia mtasubiri Sana Ni ndotoView attachment 1702077View attachment 1702078View attachment 1702080View attachment 1702081
Hizo picha unatupia mbili mbili ni godown au kanisa? Usikute architect wa huko ni wewe ndio unaleta michoro ya magodown ya kuhifadhia mitumba kuwa makanisa
Hayo ni maghala ya mitumba,makanisa yanakuwa hiviYani jiulize kwa wenzio makanisa mazuri yamejengwa wap sio unatuletea ya enzi za ukoloniView attachment 1702090View attachment 1702092View attachment 1702093View attachment 1702093


Hayo makanisa ya mkoloni na njia za popo, mabati Tu yamechakaa hata Yesu lazima azingue kuingia humo, hebu njoo Kahama uone makanisa wewe
Hiyo tunakupa habar ili yale mawazo yako mfu et ikifunguliwa barabara ya lupembe makambako itateteleka Hilo Jambo sahau katika maisha yko mji ndo utazidi kuwa fire hatali ndo maana tulikwambia uwekezaji unao endelea makambako Ni wamaono ya mbali sanaWewe jamaa bwana sometimes unakuwa kama hazikutoshi,ko mkuu unasikia Raha Sana ukiona hizo gari zikipita hapo Makambako?
Mbona nyingi tuu zinaanzia Njombe na Songea kwenda mikoa mingine? Tofauti hapo ni majina ila magari ni yaleyale.
Tembelea uone we umejua Kama majumba ya makumbusho ya hko mashambaniHizo picha unatupia mbili mbili ni godown au kanisa? Usikute architect wa huko ni wewe ndio unaleta michoro ya magodown ya kuhifadhia mitumba kuwa makanisa
Hili si godawn kabisa hahaha mnaifazia viazi kifanya
Soma hiyooMtani ameenda wapi tuendeleze mchezo , hope ameenda kutafta picha nzuri za njombe , tumuombee


umeanza kupoteza mwelekeo hadi mabasi ya youtong nayo unayaleta hapa kisa yanapita makambako.Huko mashambani kuona hivi vyuma zaidi ya Mia mtasubiri Sana Ni ndo
Picha ya Kwanza ni aibu boss , picha ya pili huo ni mchoro 🤪 , na we mwenyewe umesema hatuhutaj michoro ....Kula Kwanza makazi Bora kahama maeneo ya nyasubi
Hivi Makambako kuna basi liendalo miji ifuatayo:Ja
Hili si godawn kabisa hahaha mnaifazia viazi kifanya
mmeanza kukosa nidhamu na hekima makanisa hayawezi kua maghala ya kuhifadhia viazi.Toafuti ya usanifu na mandhari ndio inayofanya tuyalete hapa lakini swala la matumizi yatabaki kua ni nyumba za ibada,Ja
Hili si godawn kabisa hahaha mnaifazia viazi kifanya
Sasa utawekaje route hizo kunagari zinapita hapo kwa muda mwafakaka nyie kutoka njombe Kama unaenda mwanza lazima uje makambako ss hatuna shidaHivi Makambako kuna basi liendalo miji ifuatayo:
1. DSM
2. Dodoma
3. Morogoro
4. Mtwara/ Masasi
5. Sumbawanga
6. Mwanza
7. Tanga
Kama hayapo, hapo tayari kinakua ni kijiji, maana kwa Kahama wana mabasi kutoka maeneo tofauti tofauti, hapo ni kuonesha bado hicho kimji hakijitoshelezi! Gari nyingi zinaanzia Njombe, Songea, Mbeya na Tunduma!
Hata wa miliki wa gari za abiria njombe inasubiri kwa makambakoSasa utawekaje route hizo kunagari zinapita hapo kwa muda mwafakaka nyie kutoka njombe Kama unaenda mwanza lazima uje makambako ss hatuna shida
we jamaa umeishiwa kabisa tulianza kuzungumzia miji we unaleta story magari yaani unataka tuanze kutafuta wamiliki wa magari. That will be ridiculousHata wa miliki wa gari za abiria njombe inasubiri kwa makambako