Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kwa gorofa ngap zilizopo njombe je mngejenga Kama iringa tusingekunywa maji kumbuka makambako miaka ya nyuma ilizuiwa kujenga wengi walienda kujenga dar saiz wamerudi makambako kuamsha gorofa wameruhusu kuanzia 2016 ndo watu wameanza ndo maana Hadi saizi site za barabaran wanataka ujenge gorofa na watu wanajenga na zimeanza kupangana barabara ya songea road ko ilikuwa Ni muda tu kuwa mpole maana nyumba za chini hizo ndo hatuongei saizi tunaungana na ndugu zetu wa mtwango
Hiyo Iringa ilikuwa inafaidika na bidhaa za Njombe,hayo hayo mangapi yamepiga Kahama plus Makambako.

Hiyo Iringa yako nayo imesongamana kama vifaranga na dry Sana huo mji
 
Mwaka jana taifa limepata dola milioni 40+ kwenye avocado..
Unajua rice export sh. Ngapi inaingiza!? Dhahabu nyeupe... Wali ni universal ndg yangu.. kuanzia argentina , mpaka moscow, Wellington mpaka hawaii watu wanakula ubeche. Kaa mbali.

Unaongelea maparachichi kweli kabisa 🙂
Weka hiyo figure ya rice,kitu cha universal automatically kila sehemu kipo hakiwezi kufetch high price hiyo ni sawa na mahindi tuu

Afu uwe unafikiria basi kwamba zao la biashara nitofauti na zao la chakula ,,kilo ya avocado ni sh.7,000 wakati ya mchele ni less than 2,000 sijui unaongea nini hapa
 
Hiyo Iringa ilikuwa inafaidika na bidhaa za Njombe,hayo hayo mangapi yamepiga Kahama plus Makambako.

Hiyo Iringa yako nayo imesongamana kama vifaranga na dry Sana huo mji
Yan we jamaaa vigorofa sita ndo ulinganishe na iringa unaota ww
 
Fatilia ya miaka ya nyuma uone makambako Kama haiwabulizi nyinyi yani kwa makambako huna jipya na makazi Bora yapo makambako sio nyumba unaishia kuchora tofar badala ya kupaka rangi hela ya kukarabat mtihan njoo uone mijengo ya watoto wadogo wanao jua kutafuta pesa nyumba wanazo jenga sio unajenga sehemu za utelez hko njombe hata pikipik inashindwa kufika nyumban ukiteleza umedondokea kwenye paa la jiran jiongeze
Miaka ya nyuma ipi wewe Mr blaa blaa,hakuna kitu nyie wachuuzi mnaweza izidi Njombe labda mitumba tuu
 
Yeah, tunalima zinasafirishwa China, Vietnam na India kutaja nchi chache. Domestic za kuwauzia wachuuzi hata 1/1000 haziwezi kwisha, lazima ziende nje. Mfano wa mwaka Serikali iliponunua hata 1/1000 hazikuweza kuliwa, kwanza bei yake iko juu.
Sasa ni kichekesho kijiji cha Makambako kiwez kununua korosho.
Ukiondoa guest zilizotapaa za uzinzi na wapita njia wa TANZAM Highway, Makambako hakuna chochote, afadhali ya njombe. Sasa hao wachuuzi walioko stendi na soko la matunda hapo ndo waweze kununua korosho, unazichukulia poa eeeh. Kilo moja korosho ya Mtwara iliyoandaliwa ni Tsh 15,000 hadi 20,000. Ukiwa na kilo 10 tayari una 150,000. Achana na korosho, ni habari nyingine kabisa


BY THE WAY NAKUPA USHINDI WEWE KUWA MAKAMBAKO NI BORA KULIKO NJOMBE NA HIVYO SAWA NA KAHAMA(TOTAL JOKE)
mpuuzi huyo hajiulizi kwamba bln 4 plus za Njombe vs bln 2 za Makambako zinatoka wapi,huwezi linganisha viduka vya mitumba na ekari 1 tu ya parachichi
 
Weka hiyo figure ya rice,kitu cha universal automatically kila sehemu kipo hakiwezi kufetch high price hiyo ni sawa na mahindi tuu

Afu uwe unafikiria basi kwamba zao la biashara nitofauti na zao la chakula ,,kilo ya avocado ni sh.7,000 wakati ya mchele ni less than 2,000 sijui unaongea nini hapa
Kilo ya ovacado Ni 1500
 
mpuuzi huyo hajiulizi kwamba bln 4 plus za Njombe vs bln 2 za Makambako zinatoka wapi,huwezi linganisha viduka vya mitumba na ekari 1 tu ya parachichi
Usilo lijua nisawa na usiku wa giza watu wapo makambako wanna ekari za miti za kutosha na parachichi za kuzidi we kaa ujue et parachichi Ni za watu wa njombe
 
Ili kutokua na biasness, weka mitaa ya Makambako(isiwe TANZAM HIGHWAY, ambayo imejengwa na Benki ya dunia na imeenda hadi IGAWA na huko kote inavutia)! Weka mitaa ya Makambako siyo barabaraba pia ya kwenda Songea/ Njombe
Hata akiweka hiyo hakuna kitu pale ni Mji wa maghala ya mitumba na vyuma chakavu tuu
 
Kitoch changu kimegoma kufungua picha kaka. Lakini naamini ukiondoa TANZAM HIGHWAY na Songea Highway, hakuna mitaa ya maana.
Pale kwenye hotel mpya nafikiri ya Jah People kuna kibarabara cha lami chembamba(karibu na Marie Stopes ya zamani), pia kuba dedicated lane ya bajaj na pia kule soko la matunda kuna kibarabara chembamba cha lami kinatokea karibu na mizani. Mitaa ile karibu na Midtown, kuna kibarabara chembamba kinashuka chini. Sasa hizi zote ni barabara na mitaa midogo ambayo Njombe ipo kuizidi hii.

Nje ya mada mdau(kuna nyumba moja ilikua nzuri miaka ile ya 2005 ilikua inakodiwa sana na makampuni, sisi tuliwahi kukodi, je bado ipo? Ilikua nzuri lakini cha ajabu nyuki hawaishi. Huko kwenu kuna mambo.
 
Back
Top Bottom