Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Rudi kwenye mada umeanza kuweweseka,tumalize Njombe vs Kahama& Makambako kwanza afu tutarudi kwa Mafinga,,haya leta facts za idadi ya watu Makambako,kata na mitaa uilinganishe na Njombe maana unaanza kutoa povu bila kuleta facts..Utopolo unaoongea fact zpi umetoa tumekwambia leta za 2021 na mafinga unayosema imeanza 2015 makambako 2012 mafinga Ina kata 9 na mitaa 30 wakat makambako kata 12 mitaa 54 nenda kwenye too but za halimashuri za mji husika sio umesema fact wakat Ni utopolo t
Kijiji cha Makambako bado saaana kwa Njombe na uwe na heshima kama wenzio wa Kahama wanajua Njombe ni Makao makuu ya Mkoa,kuna taasisi za serikali,dini na NGS na Mashirika sio kushindanisha na hivyo vijiji vya machinga na wachuuzi.
