Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Utopolo unaoongea fact zpi umetoa tumekwambia leta za 2021 na mafinga unayosema imeanza 2015 makambako 2012 mafinga Ina kata 9 na mitaa 30 wakat makambako kata 12 mitaa 54 nenda kwenye too but za halimashuri za mji husika sio umesema fact wakat Ni utopolo t
Rudi kwenye mada umeanza kuweweseka,tumalize Njombe vs Kahama& Makambako kwanza afu tutarudi kwa Mafinga,,haya leta facts za idadi ya watu Makambako,kata na mitaa uilinganishe na Njombe maana unaanza kutoa povu bila kuleta facts..

Kijiji cha Makambako bado saaana kwa Njombe na uwe na heshima kama wenzio wa Kahama wanajua Njombe ni Makao makuu ya Mkoa,kuna taasisi za serikali,dini na NGS na Mashirika sio kushindanisha na hivyo vijiji vya machinga na wachuuzi.
 
Kuna shida gani ukileta mazao gulioni na kuuza afu ukarudi kwenu kujenga? Unaelewa naposema Makambako ni gulio? At lasts maendeleo yanarudi mzigo ulikotoka nyie mnaambulia harufu tuu hapo,umeelewa hiyo sasa? Na hiyo ndio kazi ya miji ya kichuuzi inakuwa kama minada au magulio but nothing tangible development..Njombe ni kaka mkubwa no way mtaipita
Yan ndo maana tumekwambia ww development hujui inamaanisha Nini wewe hayo mazao unayo Lima kwanini upeleke kwenye hyo miji ndo ujue hai wamewapiga gap hata kwa pesa
 
Njo
Rudi kwenye mada umeanza kuweweseka,tumalize Njombe vs Kahama& Makambako kwanza afu tutarudi kwa Mafinga,,haya leta facts za idadi ya watu Makambako,kata na mitaa uilinganishe na Njombe maana unaanza kutoa povu bila kuleta facts..

Kijiji cha Makambako bado saaana kwa Njombe na uwe na heshima kama wenzio wa Kahama wanajua Njombe ni Makao makuu ya Mkoa,kuna taasisi za serikali,dini na NGS na Mashirika sio kushindanisha na hivyo vijiji vya machinga na wachuuzi.
Njombe Ina mitaa 28 wakati makambako 54
 
Yan ndo maana tumekwambia ww development hujui inamaanisha Nini wewe hayo mazao unayo Lima kwanini upeleke kwenye hyo miji ndo ujue hai wamewapiga gap hata kwa pesa
Hizo pesa mnajengea wapi mbona hatuoni,wenzio Kahama walishindwa kujibu hilo swali na wewe jibu basi unaeelewa development maana kwa aspects zote za kijamii hadi quality ya life mmepauka,wewe magorofa ya Njombe kwa nini hayakujengwa Makambako kama mna pesa? Tunapeleka bidhaa gulioni kwani bidhaa inauziwa wapi ndugu.
 
Njo

Njombe Ina mitaa 28 wakati makambako 54
Ko umeona mitaa ndio ya kuweka tuu,haya weka na kata na idadi ya watu nk nk

Wakati unafukunyua unatakiwa ujue kwamba top ten ya Halmashauri zilizofanya vizuri Kitaifa kwa matokea ya form iv 2020 Njombe Mji ni ya 4,ko kuwa na heshima
 

Attachments

  • thumb_356_800x420_0_0_auto.jpg
    thumb_356_800x420_0_0_auto.jpg
    32.1 KB · Views: 8
  • Njombe-sec.jpg
    Njombe-sec.jpg
    53.7 KB · Views: 10
Mimi nakupa facts with vivd examples kutoka takwimu za serikali sio blaa blaa na mapenzi yako binafsi, hizo shortcut za barabara za ng"ombe haziko kwenye mipango ya ujenzi mtaendelea kuendesha baiskeli maana hazina tija ndio maana serikali haihangaiki nazo bali inajenga barabara kuu za kuunganisha Makao makuu ya Mkoa na mikoa mingine.

Kwani wewe unavyoona Makambako na Mafinga wapi ni Mjini? Mafinga ni Halmashauri ya Mji kitambo kabla ya kijiji cha Makambako,sharubu zisikufanye ujitoe akili ,Kwa vigezo vyote Mafinga iko mbali saaaana kwa Makambako labda nyie Makambako mumeishinda Mafinga idadi ya machinga tuu.
Nitakuja na data hapa
 
Soma historia nenda njombe ukajifunze hyo population ilitokana na nn Kama sio baada ya kuchukua Jimbo zima
Acha kuruka ruka wewe kubali ,Makambako ni mtoto wa Njombe tumezaa Makambako town,Wanging"ombe na bado tunazidi kupeta ko kuwa na heshima kwa Njombe usiifananishe na vitu vya vijiji vya kichuuzi
 
Na ndio wanao ukuza mji Hadi umewa piga gap hao unao waita wachuuz ndo wanao Jenga had dar na majiji mengine baki na ukulima wako
Wa Dar ni watu wa Makete acha kujitoa ufaham. By the way, kilimo ndiyo mpango mzima na zao la Koroshi chukua mazao yote ya nchi hii combined, bado korosho inatisha. Hata watu wa Njombe wako wengi tu kule Mangaka wanalima Korosho, kwa sababu Korosho inalipa, huna uwezo hata chembe kufananisha korosho na mazao ya huko, na kama nchi haiwez kubeza kilimo, ndiyo uchumi wetu mkubwa kuliko huo uchuuzi. Mfano mdogo, kitongoji kidogo cha Ilula na Mtua pale Iringa kilikua kidogo sana.
Lakini kwa kilimo kidogo tu cha Nyanya, leo Ilula na Mtua ni mji mkubwa ukiwa umeungana.
Ukienda Tandahimba leo, ukapita Kitangari, Nannyanga, Kitama 1, Mahuta ilikua ni vimiji vidogo, lakini kwa kilimo tu cha zao la Korosho, jamaa wametoboa.
Ni upuuzi kudharau kilimo kisa unauza mitumba na spea za pikipiki.
 
Sio Hilo t hata matilio ya ujenzi wanategemea Makambako speak za magari gari za abiria mizigo mabosi wapo makambako hata gari bajaji wanaleta makambako ndo maana tunawambia makambako inawabeba sasa kule nyumba kujenga Ni shida Hadi uchimbe milima Hadi lini wakat makambako Ni flat lazima wapigwe bao t
Nasikia huwa wanakimbilia Makambako kutafuta maisha
 
Acha kuruka ruka wewe kubali ,Makambako ni mtoto wa Njombe tumezaa Makambako town,Wanging"ombe na bado tunazidi kupeta ko kuwa na heshima kwa Njombe usiifananishe na vitu vya vijiji vya kichuuzi
Njombe Kile Ni Kijiji mjigani hauna mishe2 kunautofauti gan na kijiji
 
Wa Dar ni watu wa Makete acha kujitoa ufaham. By the way, kilimo ndiyo mpango mzima na zao la Koroshi chukua mazao yote ya nchi hii combined, bado korosho inatisha. Hata watu wa Njombe wako wengi tu kule Mangaka wanalima Korosho, kwa sababu Korosho inalipa, huna uwezo hata chembe kufananisha korosho na mazao ya huko, na kama nchi haiwez kubeza kilimo, ndiyo uchumi wetu mkubwa kuliko huo uchuuzi. Mfano mdogo, kitongoji kidogo cha Ilula na Mtua pale Iringa kilikua kidogo sana.
Lakini kwa kilimo kidogo tu cha Nyanya, leo Ilula na Mtua ni mji mkubwa ukiwa umeungana.
Ukienda Tandahimba leo, ukapita Kitangari, Nannyanga, Kitama 1, Mahuta ilikua ni vimiji vidogo, lakini kwa kilimo tu cha zao la Korosho, jamaa wametoboa.
Ni upuuzi kudharau kilimo kisa unauza mitumba na spea za pikipiki.
We endelea kulima Bei tutakupangia ukileta kwenye miji ya kibiashara
 
Hizo pesa mnajengea wapi mbona hatuoni,wenzio Kahama walishindwa kujibu hilo swali na wewe jibu basi unaeelewa development maana kwa aspects zote za kijamii hadi quality ya life mmepauka,wewe magorofa ya Njombe kwa nini hayakujengwa Makambako kama mna pesa? Tunapeleka bidhaa gulioni kwani bidhaa inauziwa wapi ndugu.
Kwa gorofa ngap zilizopo njombe je mngejenga Kama iringa tusingekunywa maji kumbuka makambako miaka ya nyuma ilizuiwa kujenga wengi walienda kujenga dar saiz wamerudi makambako kuamsha gorofa wameruhusu kuanzia 2016 ndo watu wameanza ndo maana Hadi saizi site za barabaran wanataka ujenge gorofa na watu wanajenga na zimeanza kupangana barabara ya songea road ko ilikuwa Ni muda tu kuwa mpole maana nyumba za chini hizo ndo hatuongei saizi tunaungana na ndugu zetu wa mtwango
 
Parachichi zinaenda ulaya huna pesa ya kununu kilo 7000 ya parachichi ila unaweza kulipa kilo ya buku ya mchele,TAHA na wakulima wa Njombe wako busy for exports ya maparachichi na Maua kama ya arusha nyie huko endeleeni na uchuuzi wenu
Mwaka jana taifa limepata dola milioni 40+ kwenye avocado..
Unajua rice export sh. Ngapi inaingiza!? Dhahabu nyeupe... Wali ni universal ndg yangu.. kuanzia argentina , mpaka moscow, Wellington mpaka hawaii watu wanakula ubeche. Kaa mbali.

Unaongelea maparachichi kweli kabisa 🙂
 
Ukiona sisimizi wengi Sehemu.. ujue kuna mtu au watu wana sukari nyingi.

Ukiona machinga wengi.. ujue matajiri wenye vingi ni wengi pia.
 
Ko umeona mitaa ndio ya kuweka tuu,haya weka na kata na idadi ya watu nk nk

Wakati unafukunyua unatakiwa ujue kwamba top ten ya Halmashauri zilizofanya vizuri Kitaifa kwa matokea ya form iv 2020 Njombe Mji ni ya 4,ko kuwa na heshima
Fatilia ya miaka ya nyuma uone makambako Kama haiwabulizi nyinyi yani kwa makambako huna jipya na makazi Bora yapo makambako sio nyumba unaishia kuchora tofar badala ya kupaka rangi hela ya kukarabat mtihan njoo uone mijengo ya watoto wadogo wanao jua kutafuta pesa nyumba wanazo jenga sio unajenga sehemu za utelez hko njombe hata pikipik inashindwa kufika nyumban ukiteleza umedondokea kwenye paa la jiran jiongeze
 
We endelea kulima Bei tutakupangia ukileta kwenye miji ya kibiashara
Yeah, tunalima zinasafirishwa China, Vietnam na India kutaja nchi chache. Domestic za kuwauzia wachuuzi hata 1/1000 haziwezi kwisha, lazima ziende nje. Mfano wa mwaka Serikali iliponunua hata 1/1000 hazikuweza kuliwa, kwanza bei yake iko juu.
Sasa ni kichekesho kijiji cha Makambako kiwez kununua korosho.
Ukiondoa guest zilizotapaa za uzinzi na wapita njia wa TANZAM Highway, Makambako hakuna chochote, afadhali ya njombe. Sasa hao wachuuzi walioko stendi na soko la matunda hapo ndo waweze kununua korosho, unazichukulia poa eeeh. Kilo moja korosho ya Mtwara iliyoandaliwa ni Tsh 15,000 hadi 20,000. Ukiwa na kilo 10 tayari una 150,000. Achana na korosho, ni habari nyingine kabisa


BY THE WAY NAKUPA USHINDI WEWE KUWA MAKAMBAKO NI BORA KULIKO NJOMBE NA HIVYO SAWA NA KAHAMA(TOTAL JOKE)
 
Mmh, kwa majengo makali makubwa, Kahama bado kwa Njombe ingawa kwa ukubwa wa mji na idadi ya watu, uwingi wa nyumba nzuri za makazi tu(za mapaa mareeeefu) Kahama inaweza kuongoza. Hata hivyo hadi sasa Njombe iko juu ya kwa majengo makubwa makali.
Ukiondoa ile mall ambayo hutumiwa na wageni na wazungu, Kahama bado sana kwa Njombe
Hujafika Kahama wewe. Usilinganishe kimji kinyonge sijui mnakiita Kinjombe na Manspaa ya Kahama.
 
Back
Top Bottom