Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Hiyo njombe mitaa mingine alisahau kuposti ameposti gorofa tuView attachment 1699343
Mingine mitaa hyo unavoenda ramadhani
FB_IMG_16129719766839025.jpg
 
Hujafika Kahama wewe. Usilinganishe kimji kinyonge sijui mnakiita Kinjombe na Manspaa ya Kahama.
Kahama nimefika, napafaham mkuu. Siwez kupinga kuwa pamejitahidi, hilo najua hakuna mtu anaweza kupinga, ila pia huwez kuibeza Njombe
 
Hiyo njombe mitaa mingine alisahau kuposti ameposti gorofa tuView attachment 1699343
Ili kutokua na biasness, weka mitaa ya Makambako(isiwe TANZAM HIGHWAY, ambayo imejengwa na Benki ya dunia na imeenda hadi IGAWA na huko kote inavutia)! Weka mitaa ya Makambako siyo barabaraba pia ya kwenda Songea/ Njombe
 
Hizo ndo nyumba Bora za njombe na hapo Ni katikati ya mji
 

Attachments

  • FB_IMG_16129729546319302.jpg
    FB_IMG_16129729546319302.jpg
    20.8 KB · Views: 7
Ili kutokua na biasness, weka mitaa ya Makambako(isiwe TANZAM HIGHWAY, ambayo imejengwa na Benki ya dunia na imeenda hadi IGAWA na huko kote inavutia)! Weka mitaa ya Makambako siyo barabaraba pia ya kwenda Songea/ Njombe
Hyo hapo ya makambako nje ya mji
 

Attachments

  • FB_IMG_16129735194236549.jpg
    FB_IMG_16129735194236549.jpg
    11.5 KB · Views: 6
  • FB_IMG_16129734953971256.jpg
    FB_IMG_16129734953971256.jpg
    6.7 KB · Views: 6
  • FB_IMG_16129734821234383.jpg
    FB_IMG_16129734821234383.jpg
    9.6 KB · Views: 7
  • FB_IMG_16129734654712055.jpg
    FB_IMG_16129734654712055.jpg
    16.7 KB · Views: 8
  • FB_IMG_16129734530789440.jpg
    FB_IMG_16129734530789440.jpg
    16.5 KB · Views: 6
  • FB_IMG_16129734530789440.jpg
    FB_IMG_16129734530789440.jpg
    16.5 KB · Views: 8
Hyo hapo ya makambako nje ya mji
Kitoch changu kimegoma kufungua picha kaka. Lakini naamini ukiondoa TANZAM HIGHWAY na Songea Highway, hakuna mitaa ya maana.
Pale kwenye hotel mpya nafikiri ya Jah People kuna kibarabara cha lami chembamba(karibu na Marie Stopes ya zamani), pia kuba dedicated lane ya bajaj na pia kule soko la matunda kuna kibarabara chembamba cha lami kinatokea karibu na mizani. Mitaa ile karibu na Midtown, kuna kibarabara chembamba kinashuka chini. Sasa hizi zote ni barabara na mitaa midogo ambayo Njombe ipo kuizidi hii.

Nje ya mada mdau(kuna nyumba moja ilikua nzuri miaka ile ya 2005 ilikua inakodiwa sana na makampuni, sisi tuliwahi kukodi, je bado ipo? Ilikua nzuri lakini cha ajabu nyuki hawaishi. Huko kwenu kuna mambo.
 
Napafaham mkuu, ujenzi wa nyumba za makazi uko vizuri, sijawahi kupinga hilo. Lakini makazi mazuri siku hizi kila sehem iko vizuri. Hata Katoro, Ilula, Ipogolo, Ifunda kote huko nyumba za kuishi ni nzuri, hakuna anajenga nyumba mbovu kwa sasa. Ukipita pale Manyoni tu kuna nyumba za maana zinajengwa, kwa sasa hiyo siyo issue, miji hata midogo watu wanatoa vitu vya maana
 
Kitoch changu kimegoma kugungua picha kaka. Lakini naamini ukiondoa TANZAM HIGHWAY na Songea Highway, hakuna mitaa ya maana.
Pale kwenye hotel mpya nafikiri ya Jah People kuna kibarabara cha lami chembamba(karibu na Marie Stopes ya zamani), pia kuba dedicated lane ya bajaj na pia kule soko la matunda kuna kibarabara chembamba cha lami kinatokea karibu na mizani. Mitaa ile karibu na Midtown, kuna kibarabara chembamba kinashuka chini. Sasa hizi zote ni barabara na mitaa midogo ambayo Njombe ipo kuizidi hii.

Nje ya mada mdau(kuna nyumba moja ilikua nzuri miaka ile ya 2005 ilikua inakodiwa sana na makampuni, sisi tuliwahi kukodi, je bado ipo? Ilikua nzuri lakini cha ajabu nyuki hawaishi. Huko kwenu kuna mambo.
Baba hizo barabara unazoongea saiz zote zimepigwa lami na zingine zimewekwa taa hiyo Ni mitaa ya Hali ya chini hatuja kuletea mitaa ya wenye pesa zao Kama magorofan osterbay , Surprise beach ,range ,kigambon ,masaki nk
 
Hii ni TANZAM, sina haja nayo kwani ni barabara iliyojengwa kuanzia Mafinga na kwenye kila mji pameboreshwa, ukienda IGAWA pako vizuri
Njoo na mitaan uone maboresho barabara nyingi makambako saiz wamepiga lami
 
Napafaham mkuu, ujenzi wa nyumba za makazi uko vizuri, sijawahi kupinga hilo. Lakini makazi mazuri siku hizi kila sehem iko vizuri. Hata Katoro, Ilula, Ipogolo, Ifunda kote huko nyumba za kuishi ni nzuri, hakuna anajenga nyumba mbovu kwa sasa. Ukipita pale Manyoni tu kuna nyumba za maana zinajengwa, kwa sasa hiyo siyo issue, miji hata midogo watu wanatoa vitu vya maana
Wambie njombe walete za mtaan nje na barabara ya songea uone kutu za bati zilivotawala
 
Kitoch changu kimegoma kufungua picha kaka. Lakini naamini ukiondoa TANZAM HIGHWAY na Songea Highway, hakuna mitaa ya maana.
Pale kwenye hotel mpya nafikiri ya Jah People kuna kibarabara cha lami chembamba(karibu na Marie Stopes ya zamani), pia kuba dedicated lane ya bajaj na pia kule soko la matunda kuna kibarabara chembamba cha lami kinatokea karibu na mizani. Mitaa ile karibu na Midtown, kuna kibarabara chembamba kinashuka chini. Sasa hizi zote ni barabara na mitaa midogo ambayo Njombe ipo kuizidi hii.

Nje ya mada mdau(kuna nyumba moja ilikua nzuri miaka ile ya 2005 ilikua inakodiwa sana na makampuni, sisi tuliwahi kukodi, je bado ipo? Ilikua nzuri lakini cha ajabu nyuki hawaishi. Huko kwenu kuna mambo.
Road za mitaani makambako zingine hizo ambazo wamejenga mwaka Jana km Kama tatu.km 3 zingine zinaendelea
FB_IMG_16129753946457238.jpg
FB_IMG_16129752916359279.jpg
 
Baba hizo barabara unazoongea saiz zote zimepigwa lami na zingine zimewekwa taa hiyo Ni mitaa ya Hali ya chini hatuja kuletea mitaa ya wenye pesa zao Kama magorofan osterbay , Surprise beach ,range ,kigambon ,masaki nk
Kwani mimi sipafam baba? Nimepita hapo Miez 2 na nusu iliyopita na kulala hapo siku 4. Sasa mbona umekua na biasness ulipowacahguali Njombe mashambani huko ukidai eti ndiyo Njombe, unapofanya ulinganifu, punguza biasness(kuchukua sample bila mizania)
 
Tusubirie miradi ya Jaffo na TAMISEMI (TACTIC) kwenye miji 45 iliyochaguliwa. National census ya 2022 Urbanisation ipo kasi sana tutaona. Tutaona majiji mapya, Manispaa, Halmashauri za miji na wilaya mpya. Cha muhimu ni maenedeleo na kila eneo lina potentiality yake.
 
Back
Top Bottom