Nivihenge vya mahindi makambako watu wa njombe mtaleta hapa
Miji ya wilayani inadharaulika sana na watu wa Mikoani. Mimi ni wa Mwanza Ilemela ila nilibadili mtazamo wangu kuhusu miji ya wilayani. Naimani ni rahisi Makambako inaweza kuwa Manispaa kabla ya Njombe. Labda siasa ingie kama walivyofanya kwenye Mkoa.
