Fika mtaa wa lunyanwi njombe uone mtaa wa ofis za serikali Hilo Chaka limefyekwa acha kufichamia huko leta project za geita CBD sio ofisi za serikaliUnachekesha vitu vya Manispaa huwezi vikuta kwenye vijiji vyenu hivyo chakavu
View attachment 3463463View attachment 3463474
Unatoa wapi ujasiri wa kutaka kulinganisha vijiji vyako hivyo na Manispaa?
CBD kuna vyuma vinane vinaanza kunyanyuliwa na TBA andaeni pa kujifichia 😅