Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Tulisha kwambia Kama nyumba za kuishi tu makambako zinajengwa maana ww hukawii kukimbilia kufichamia kwenye Chaka la ofisi za mkoaView attachment 3458252View attachment 3458253
Katoro
IMG_20250828_155727_848.jpg
 
Wewe una matatizo na hicho Kijiji chako, ambacho hakiwezi kuishinda hata Katoro
Naona tayar umeanza kuweweseka dose bado katoro inakujaje tulisha itoa nje muda hicho bado Kijiji kikashindane na vijiji vyenzie
 
Naona tayar umeanza kuweweseka dose bado katoro inakujaje tulisha itoa nje muda hicho bado Kijiji kikashindane na vijiji vyenzie
Makambako haina soko la kisasa Katoro tayari ina soko la kisasa 😃🤭🤣🤣🤣
Maana yake kipi ni Kijiji hapo?
 
Rudi page za nyuma hapo, Makambako bado ni Kijiji kikubwa tu chenye kutu na vumbi

Rudi page za nyuma hapo, Makambako bado ni Kijiji kikubwa tu chenye kutu na vumbi
Page za nyuma ulipost vijengo vingap tu CBD ukaishia kupost ofisi za idara za mkoa tu ambazo kila mkoa mpya una mtaa wenye ofisi hizo sisi na WILAYA mpya zote wamefanya hivyo ko si Jambo geni kabisa Hilo ndo maana nilikwambia tembelea mikoa mipya yote ofisi zote wanajenga mtaa mmoja tunataka CBD hii ndo inaonyesha uwezo wa watu wa eneo husika
FB_IMG_17510099595961114.jpg
 
Rudi page za nyuma hapo, Makambako bado ni Kijiji kikubwa tu chenye kutu na vumbi

Rudi page za nyuma hapo, Makambako bado ni Kijiji kikubwa tu chenye kutu na vumbi
Page za nyuma ulipost vijengo vingap tu CBD ukaishia kupost ofisi za idara za mkoa tu ambazo kila mkoa mpya una mtaa wenye ofisi hizo sisi tunataka CBD hii ndo inaonyesha uwezo wa watu wa eneo husika
fb_img_17510099595961114-jpg.3463345
FB_IMG_17559651315192959.jpg
IMG_20250811_081700~3.jpg
FB_IMG_17480619331867642.jpg
FB_IMG_17480613084499752.jpg
FB_IMG_17480613180270079.jpg
sddefault(1)~2.jpg
 
Back
Top Bottom