Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Shinyanga
images (14)_1.jpeg
 
🌟 Hatua Kubwa Zimepigwa Katika Ujenzi wa Ndoto Zako!

Mradi wa Mkwakwani Plaza, unaojengwa katika kiwanja Na. 55 A&B, Block KB II, Eckernford/Mkwakwani, Jiji la Tanga, unaendelea kwa kasi na kwa ubora wa hali ya juu. Eneo hili linalojulikana kwa jina la Mkwakwani, lililo katika Wilaya ya Korogwe, linazungukwa na maeneo yenye hadhi kama Gereza East, Kwanguda, Kwamzindawa, na Mnyusi, likiwa ni kitovu cha biashara na maendeleo.

✅ Tofali za Ground Floor zimewekwa kwa ubora wa kipekee, zikihakikisha uimara na maisha marefu ya jengo.
✅ Usafi na utunzaji wa mazingira ya mradi unaendelea kila siku, kutoa taswira ya ujenzi wa kisasa na unaoaminika.
✅ Kila tofali linawekwa kwa umakini mkubwa, likijenga msingi thabiti wa nyumba yenye hadhi na thamani.
✅ Ngazi kutoka Ground Floor hadi First Floor zinawekwa, ishara tosha kwamba jengo linaendelea kupaa juu kwa kasi, likikaribisha maisha bora na fursa za uwekezaji.

👉 Kila hatua tunayopiga ni uwekezaji wa kweli katika maisha yako ya kesho. Usibaki nyuma – jiunge nasi na uwe sehemu ya makazi ya kisasa yenye thamani, heshima, na ubora wa NHC!

#MakaziBora #UjenziWaNdoto #NHC #FutureLiving #MkwakwaniPlaza #Tanga
FB_IMG_17569505257003854.jpg
FB_IMG_17569504950294793.jpg
 
Na Njombe vipi 🤣🤭🤭
Huku wanajenga watu binafsi kudhihirisha pesa IPO mfano Hilo limejengwa na kampuni binafsi makambako CBD tuonyesheni hapo geita majengo ya biashara Kama haya CBD😂😂😂😂😂SIO KUKIMBILIA KWENYE OFISI ZA MKOA TUNATAKA VITU KAMA HIVI CBD SIO MAPAA👇👇👇
FB_IMG_17428112012396188~2.jpg
FB_IMG_17569511880842466.jpg
 
Geita bado mnakibarua asee hili ndo gorofa refund mkoa mzima wa geita mtu anakaa anashupaza shingo kubishana na njombe yenye magorofa Kama haya zaidi ya matano 😂😂😂😂I😂😂😂httpsw.instagram.com/p/DNDc3vqsUoa/?igsh=YzljYTk1ODg3Zg==
 
hq720(4).jpg
Yani makambako upafananishe na Geita? Hii sio sawa hata kama akili hata moja huna we mtu MFUPI mweusi tii
Sasa pana maajabu gan ambayo yanafanya pasilinganishwe ili hali tayari Kuna vitu panapitwa tulikwambia huko mmewazidi kuzaliana tu si miundombinu 😂😂😂😂😂😂
hq720(4).jpg
vlcsnap-2024-12-19-20h36m58s578.jpg
 
Sasa pana maajabu gan ambayo yanafanya pasilinganishwe ili hali tayari Kuna vitu panapitwa tulikwambia huko mmewazidi kuzaliana tu si miundombinu 😂😂😂😂😂😂View attachment 3464413View attachment 3464410
Kijana nimeishi kote Geita na Makambako.
Wewe geita hupajui hujawahi kufika mimi makambako nimekuwa mtu mkubwa sana villa park kwa kipindi kirefu

Kwa kifupi huwezi kulinganisha hata kahama na geita
 
Kijana nimeishi kote Geita na Makambako.
Wewe geita hupajui hujawahi kufika mimi makambako nimekuwa mtu mkubwa sana villa park kwa kipindi kirefu

Kwa kifupi huwezi kulinganisha hata kahama na geita
Acha. Mbwembwe kuifaham Villa Park SI kuishi makambako Nan ambaye haifahamu geita leta project hapa hatutaki maneno ya kwenye kanga hapa
 
Ujenzi wa kituo Cha mikutano na burudan makambako kazi zinaendelea
IMG_20250904_105808~2.jpg
 
Huku hawashindani KUNYANYUA mapaa NI mwendo wa hivi makambako
IMG_20250904_124831.jpg
IMG_20250904_111017~2.jpg
IMG_20250904_113651~2.jpg
IMG_20250904_113235~2.jpg
 
Back
Top Bottom