Huo mtaa wako wa ofisi za mkoa NI sawa na ramani hizi za shule kila mkoa wamejenga ramani moja ko ndo maana Hilo hatutaki kugusia Sana tunataka CBD Ina jipya gani 👇👇👇Rudi page za nyuma hapo, Makambako bado ni Kijiji kikubwa tu chenye kutu na vumbi