Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kuna chuma kingine kiko hapo kimetulia kama mambele tu ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ‘‡ unatuletea ghorofa zingine zenye mapembe hapa kama china hiyo ni failure kwenye ubunifu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Screenshot_20250627-132255~2.png
 
Ko ndo utambue NI maeneo muhimu USHAMBA unao wewe ulianza kutuletea km zilizo jengeka kahama ndo maana tukaamua tukutoe USHAMBA kuwa Hilo Jambo saiz NI la kawada miji mingi Ina hayo mambao
Ushamba utawatoka tu ningali nipo, kuna siku mmepiga kelele humu mji wa viwanda ๐Ÿค—๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜„ yaani kelele kibao bila kujua huo ni ushamba ulikuwa unawasumbua ๐Ÿ˜ข

Mimi najua kila halmashauri ina hizo plan za viwanda, Kahama tangu 2017 walishaanza kitambo tu na hakuna kelele kwa sababu viwanda sio kitu kigeni vilikuwepo Shinyanga kitambo sana
Sasa Kahama pia walitenga eneo kubwa tu, in short hamna kitu chochote cha kutambia mbele ya Kahama
Screenshot_20250627-204730.png

Kahama ina viwanda vinavyo milikiwa na KOM COMPANIES vya kuzalisha bidhaa za plastic, chuma,mabati na mabomba ya maji
Kuna kiwanda cha vipuli pia, viwanda vya pamba, plant za dhahabu etc
Screenshot_20250627-210239.png
 
Mi nahisi Njombe inazidiwa na Katoro. Tehe teh teh teh teh teh
1. Kuanzia ukubwa wa mji. Kahama ina majengo 87 920, Njombe ina majengo 51 555, sensa 2022
Kwa kifupi ili upate ukubwa wa mji wa Kahama inabidi uchukue Njombe+Makambako= 51 555+ 37 865=89 420
2. Kahama ni Manispaa wakati Njombe bado ni Mji. Hii pekee inatosha kukujuza ni nani mkubwa hapo
Na vingine vingi tu isipokuwa UKIMWI maana hapo automatically Njombe inaongoza ๐Ÿค—๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Hahahahahahahaa acha basi. Usije sema nimetomba moto
 
Nmefika Kahama na Njombe , Kahama pana mzunguko mzuri wa pesa huenda sw na Njombe ila Njombe ni mji unaokua kwa kasi sn hasa kwa kutegemea vyanzo vichache sana vya pesa ila Kahama wana kila kitu ila bado hawafikii kasi ya ukuaji wa Njombe

Ukitaka kula bata nenda Kahama ila ukitaka pesa inategemeana unafanya nin
Yaani Njombe pekee haiwezi pambana na Kahama mpaka usaidizi wa Makambako ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ nimeipenda hiyo
 
Nmefika Kahama na Njombe , Kahama pana mzunguko mzuri wa pesa huenda sw na Njombe ila Njombe ni mji unaokua kwa kasi sn hasa kwa kutegemea vyanzo vichache sana vya pesa ila Kahama wana kila kitu ila bado hawafikii kasi ya ukuaji wa Njombe

Ukitaka kula bata nenda Kahama ila ukitaka pesa inategemeana unafanya nin
Hapo kwenye Kasi ya ukuaji wa mji umefeli,๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Weka vigezo ulivyotumia ukaona Ukuaji wa Kahama ni mdogo ๐Ÿค”
 
Ushamba utawatoka tu ningali nipo, kuna siku mmepiga kelele humu mji wa viwanda ๐Ÿค—๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜„ yaani kelele kibao bila kujua huo ni ushamba ulikuwa unawasumbua ๐Ÿ˜ข

Mimi najua kila halmashauri ina hizo plan za viwanda, Kahama tangu 2017 walishaanza kitambo tu na hakuna kelele kwa sababu viwanda sio kitu kigeni vilikuwepo Shinyanga kitambo sana
Sasa Kahama pia walitenga eneo kubwa tu, in short hamna kitu chochote cha kutambia mbele ya Kahama View attachment 3386070
Kahama ina viwanda vinavyo milikiwa na KOM COMPANIES vya kuzalisha bidhaa za plastic, chuma,mabati na mabomba ya maji
Kuna kiwanda cha vipuli pia, viwanda vya pamba, plant za dhahabu etc
View attachment 3386077
Mji wa VIWANDA NJOMBE una zaidi ya zone tano za VIWANDA vya bidhaa mbalimbali ko hilo swala kaa kimya njombe rasilimali NI nyingi mno VIWANDA vitazidi kufurika
 
Raw material ndio zina support uwingi wa VIWANDA mkoa wa njombe wameteua zone ya makambako ambayo imezungukwa na WILAYA zenye uzalishaji mkubwa wa raw material Kama mbarali dc,mlimba na kilombero ,mufindi , nk pia WILAYA za njombe zenyewe Kama ludewa na makete zina madini ya chuma ,shaba ,dhahabu , makaa ya mawe nk ya kutosha ndo maana hii zone wawekezaji wanazidi kujaa
 
Ushamba utawatoka tu ningali nipo, kuna siku mmepiga kelele humu mji wa viwanda ๐Ÿค—๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜„ yaani kelele kibao bila kujua huo ni ushamba ulikuwa unawasumbua ๐Ÿ˜ข

Mimi najua kila halmashauri ina hizo plan za viwanda, Kahama tangu 2017 walishaanza kitambo tu na hakuna kelele kwa sababu viwanda sio kitu kigeni vilikuwepo Shinyanga kitambo sana
Sasa Kahama pia walitenga eneo kubwa tu, in short hamna kitu chochote cha kutambia mbele ya Kahama View attachment 3386070
Kahama ina viwanda vinavyo milikiwa na KOM COMPANIES vya kuzalisha bidhaa za plastic, chuma,mabati na mabomba ya maji
Kuna kiwanda cha vipuli pia, viwanda vya pamba, plant za dhahabu etc
View attachment 3386077
Msikilize waziri wa VIWANDA anaongelea Nini kuhusiana na mji wa VIWANDA na biashara makambakohttps://www.instagram.com/reel/DGSuKaCNIOE/?igsh=YzljYTk1ODg3Zg==
 
Ushamba utawatoka tu ningali nipo, kuna siku mmepiga kelele humu mji wa viwanda ๐Ÿค—๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜„ yaani kelele kibao bila kujua huo ni ushamba ulikuwa unawasumbua ๐Ÿ˜ข

Mimi najua kila halmashauri ina hizo plan za viwanda, Kahama tangu 2017 walishaanza kitambo tu na hakuna kelele kwa sababu viwanda sio kitu kigeni vilikuwepo Shinyanga kitambo sana
Sasa Kahama pia walitenga eneo kubwa tu, in short hamna kitu chochote cha kutambia mbele ya Kahama View attachment 3386070
Kahama ina viwanda vinavyo milikiwa na KOM COMPANIES vya kuzalisha bidhaa za plastic, chuma,mabati na mabomba ya maji
Kuna kiwanda cha vipuli pia, viwanda vya pamba, plant za dhahabu etc
View attachment 3386077

View: https://www.instagram.com/reel/DGSuKaCNIOE/?igsh=YzljYTk1ODg3Zg==
 
Raw material ndio zina support uwingi wa VIWANDA mkoa wa njombe wameteua zone ya makambako ambayo imezungukwa na WILAYA zenye uzalishaji mkubwa wa raw material Kama mbarali dc,mlimba na kilombero ,mufindi , nk pia WILAYA za njombe zenyewe Kama ludewa na makete zina madini ya chuma ,shaba ,dhahabu , makaa ya mawe nk ya kutosha ndo maana hii zone wawekezaji wanazidi kujaa
Vipo kwenye process tu ya kujengwa but makelele mengi ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ wenzenu Kahama tayari wanavyovingi tu na vinafanya kazi na hatusikii kelele ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ns viwanda vipo Makambako na sio Njombe mji kwa maana hiyo Njombe ishakula kibano
 
Mji wa VIWANDA NJOMBE una zaidi ya zone tano za VIWANDA vya bidhaa mbalimbali ko hilo swala kaa kimya njombe rasilimali NI nyingi mno VIWANDA vitazidi kufurika
Kuna viwanda vingapi vinafanya kazi hapo Njombe mji kwa sasa?๐Ÿค”๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
 
Ushamba utawatoka tu ningali nipo, kuna siku mmepiga kelele humu mji wa viwanda ๐Ÿค—๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜„ yaani kelele kibao bila kujua huo ni ushamba ulikuwa unawasumbua ๐Ÿ˜ข

Mimi najua kila halmashauri ina hizo plan za viwanda, Kahama tangu 2017 walishaanza kitambo tu na hakuna kelele kwa sababu viwanda sio kitu kigeni vilikuwepo Shinyanga kitambo sana
Sasa Kahama pia walitenga eneo kubwa tu, in short hamna kitu chochote cha kutambia mbele ya Kahama View attachment 3386070
Kahama ina viwanda vinavyo milikiwa na KOM COMPANIES vya kuzalisha bidhaa za plastic, chuma,mabati na mabomba ya maji
Kuna kiwanda cha vipuli pia, viwanda vya pamba, plant za dhahabu etc
View attachment 3386077
Zone ya makambako zinajengwa kongani za VIWANDA soon tunakulete VIWANDA vya karatasi hii NI MSD industrial Park idofi
FB_IMG_17510803119523273.jpg
 
Zone ya makambako zinajengwa kongani za VIWANDA soon tunakulete VIWANDA vya karatasi hii NI MSD industrial Park idofiView attachment 3386328
Ndio maana mwanzo nilikuambia Njombe mji alone haiwezi kushindana na Kahama hadi ushirikishe na Msaidizi makambako ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚

Ko unaruhusu Na Kahama ilete Msaidizi wake Shinyanga kwa upande wa viwanda tuone kama mtatoboa ๐Ÿค—๐Ÿค”
Maana hapo Kahama inapambana na mkoa sio na Njombe Mji yena ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
 
Back
Top Bottom