Tukusaidie kwa data zaidi sio lazima ufike Kahama. Manispaa ya Kahama ina cover 817.64km² . Huo ndio ukubwa wa mji wa Kahama
Kwa maana nyingine Kahama Manispaa ukiizidisha mara mbili unapata ukubwa wa Jiji la Dar es salaam ambayo ina 16 000+km²
View attachment 3384807
Au unazani kuingia top ten ya Miji mikubwa Tanzania ni kirahisi rahisi tu 😂🤗🤔
Saa jumlisha ukubwa wa mji wa Njombe na Makambako pamoja na vijiji vilivyoungana humo njiani ulete data hapa tujue ukubwa wa eneo uache kulazimisha watu kuamini unachokiwaza wewe tu bila data za kueleweka