ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,102
- 84,989
- Thread starter
- #20,921
Halafu huwa mnatania wasukuma hawapendi miti lakini naona miji yenu kama jangwani yaani 😂😂😂Cha kuzingatia ni kwamba Njombe ndio Ina magorofa mengi kushinda Kahama.
Hapo Bado magorofa ya serikali hayajawekwa
Kuhusu view ya mji nani wapi ni kituko 😂🤗Mbeya sio tuu Ina magorofa mengi kuliko Irina Bali Iko kwenye miji 6 yenye majengo au magorofa marefu mengi hapa Tanzania Kwa matokeo ya Sensa.
Iringa unayoisema haipo hata kwenye hiyo List 😁😁
Muda utaongea halafu ilikuwa difference ya ghorofa 8 😂😂😂Cha kuzingatia ni kwamba Njombe ndio Ina magorofa mengi kushinda Kahama.
Hapo Bado magorofa ya serikali hayajawekwa
Kwenye hizo gorofa 8 ,bila hata kuongezea za watu binafsi Serikali imeongeza zifuatazoMuda utaongea halafu ilikuwa difference ya ghorofa 8 😂😂😂
Time wili tell 😄, sio muda hicho kichaka kinafyekwa na usikute Kahama tayari ishakifyekelea mbali
View attachment 3385738View attachment 3385739View attachment 3385740View attachment 3385741
Watu wa nyanda za juu kusini especially Njombe na Mbeya ebu jaribuni kujifunza jinsi ya kuplan miji yenu muache kuendelea kuijenga kama vijiji vikubwaMbeya sio tuu Ina magorofa mengi kuliko Irina Bali Iko kwenye miji 6 yenye majengo au magorofa marefu mengi hapa Tanzania Kwa matokeo ya Sensa.
Iringa unayoisema haipo hata kwenye hiyo List 😁😁
Kwa macho tuu hiyo Hotel ni expensive kuliko hako kajngo kalikowekewa cladding za vioo kukuzuzua.View attachment 3385691
Sasa hiki🖕 kighorofa kinafika thamani ya dude hili 👇😂
View attachment 3385658
Kwa hiyo Kahama haijengi sio 😂? Manispaa imeendesha ujenzi wa maghorofa mengi sana ya halmashauri na hospital, na ujenzi wa maghorofa Kahama uneshika kasi zaidi kuanzia hiyo 2022 mpaka sasaKwenye hizo gorofa 8 ,bila hata kuongezea za watu binafsi Serikali imeongeza zifuatazo
1.UDOM Campus majengo 4
2.Kituo Jumushi Cha Sheria
3.Shule za msingi za ghorofa 2
4.TanRoads Regional Office
Tayari hapo Gap ya 8 imekuwa extended zaidi 😂😂
Hii Fimbo huwezi ikuta sehemu yeyote isipokuwa Mbeya.Watu wa nyanda za juu kusini especially Njombe na Mbeya ebu jaribuni kujifunza jinsi ya kuplan miji yenu muache kuendelea kuijenga kama vijiji vikubwa
Moja ni tall but very thin building, itafikia vipi hiyo huge and full glas building 😂😂😂Kwa macho tuu hiyo Hotel ni expensive kuliko hako kajngo kalikowekewa cladding za vioo kukuzuzua.
Dwarf building
Kahama majengo ya serikali ya hadhi ya Mkoa mtoe wapi? 😁😁😁😁Kwa hiyo Kahama haijengi sio 😂?
Umeona vizuri kweli wewe? Look here 👇👇Moja ni tall but very thin building, itafikia vipi hiyo huge and full glas building 😂😂😂
Kwani wewe hujaliona vizuri hili dude 😎 😎 👇Umeona vizuri kweli wewe? Look here 👇👇View attachment 3385766View attachment 3385767View attachment 3385768
Majengo marefu ni nyumbani Kwa Njombe ukiacha uzuri.
Njombe bado iko level ya vijiji vikubwa vyenye fujo ya pesa tu 😂 😂 😂Umeona vizuri kweli wewe? Look here 👇👇View attachment 3385766View attachment 3385767View attachment 3385768
Majengo marefu ni nyumbani Kwa Njombe ukiacha uzuri.
Hapa ndio umeandika pumba gani?Njombe bado iko level ya vijiji vikubwa vyenye fujo ya pesa tu 😂 😂 😂
Kanda ya ziwa kuna miji kama Shinyanga hiyo Kahama bado hawezi kuizidi na ni kama roll model wake, lakini kwa miji kama Njombe hapana kwa kweli
Hamna kitu upuuzi tuu.Kwani wewe hujaliona vizuri hili dude 😎 😎 👇
View attachment 3385774
Miji ya hivi ndio Mimi napenda kuishi.Huko kwenye magulio kama Kahama,Tunduma,Makambako,Katoro nk hapanaThe sleeping Second giant of lake zone Shinyanga 💥💥 watu wa Njombe mjifunze jinsi ya kujenga Miji yenu.
View attachment 3385784View attachment 3385789View attachment 3385790View attachment 3385791View attachment 3385785View attachment 3385786View attachment 3385787View attachment 3385792View attachment 3385793
Mji hauna fujo kabisa yaani very cool, Kama huwa unatafuta mji mtulivu wa kuishi na kula maisha kwa lake zone huwa naona Shinyanga ni chaguo sahihi
Hakuna lolote, Kahama itaendelea kuwa mbele 😂 😂Hapa ndio umeandika pumba gani?
Njombe haijaizidi Shinyanga ila sio gulio la Kahama 😁😁👇👇View attachment 3385814View attachment 3385815View attachment 3385816View attachment 3385817View attachment 3385818View attachment 3385819View attachment 3385820View attachment 3385821View attachment 3385822View attachment 3385823