Mwalo Chibya
JF-Expert Member
- Dec 18, 2019
- 1,350
- 1,005
Weka tuvioneNjombe nako Kuna VIWANDA usijue kutenga mji wa VIWANDA makambako ndo njombe hakuna VIWANDA vipo Tena vikubwa tu
Weka tuvioneNjombe nako Kuna VIWANDA usijue kutenga mji wa VIWANDA makambako ndo njombe hakuna VIWANDA vipo Tena vikubwa tu
Viwanda vingi makambako kwa Sasa vinafanya kazi ambavyo vipo kwenye hatua za ujenz NI makambako steel industrial park na vya karatasi ila Kama vya plastic ,nondo ,mabati ,misumari vilishaanza kazi mfano product za MSD industrial Park idofiKuna viwanda vingapi vinafanya kazi hapo Njombe mji kwa sasa?🤔😄😄
Viwanda vingi makambako kwa Sasa vinafanya kazi ambavyo vipo kwenye hatua za ujenz NI makambako steel industrial park na vya karatasi ila Kama vya plastic ,nondo ,mabati ,misumari vilishaanza kazi mfano product za MSD industrial Park idofiView attachment 3386329View attachment 3386330
We jamaa hivyo vya steel vya kahama NI sawa na VIWANDA vya rosper makambako hivi unaifahamu steel industrial Park tunayokwambia inajengwa Ina zaidi ya VIWANDA 50 kwa uchache Kuna Cha unga wa chuma ,magari ,spea za magar,cement nk pana ekari kwa Sasa zinakaribia 700 usituletee viproject vya kitoto hapa hiki NI kiwanda mama Cha chuma TANZANIA sio vya skrepaKahama tayari steel industry inafanya kazi zaidi ya miaka kumi sasa kama sikosei kwenu ni MASHIKOLO MAGENI
MakambakoIdofi iko makambako au Njombe?
Hivyo NI baadhi vipo vya maji viwili,na vipo vya kusindika parachichi vitatu hapo kuna Cha chai na Cha product za miti tanwatWeka tuvione
Hivyo vya kahama NI sawa na vya kampuni hii makambako 👇👇👇Kahama tayari steel industry inafanya kazi zaidi ya miaka kumi sasa kama sikosei kwenu ni MASHIKOLO MAGENI
Haya angalia hivyo navyo vya chuma vinapiga kazi usilinganishe na project ya chuma makambako steel industrial ParkKahama tayari steel industry inafanya kazi zaidi ya miaka kumi sasa kama sikosei kwenu ni MASHIKOLO MAGENI
Mambo ya vinywaji kazi zinaendelea makambakoKahama tayari steel industry inafanya kazi zaidi ya miaka kumi sasa kama sikosei kwenu ni MASHIKOLO MAGENI
Ushamba utawatoka tu ningali nipo, kuna siku mmepiga kelele humu mji wa viwanda 🤗😂😄 yaani kelele kibao bila kujua huo ni ushamba ulikuwa unawasumbua 😢
Mimi najua kila halmashauri ina hizo plan za viwanda, Kahama tangu 2017 walishaanza kitambo tu na hakuna kelele kwa sababu viwanda sio kitu kigeni vilikuwepo Shinyanga kitambo sana
Sasa Kahama pia walitenga eneo kubwa tu, in short hamna kitu chochote cha kutambia mbele ya Kahama View attachment 3386070
Kahama ina viwanda vinavyo milikiwa na KOM COMPANIES vya kuzalisha bidhaa za plastic, chuma,mabati na mabomba ya maji
Kuna kiwanda cha vipuli pia, viwanda vya pamba, plant za dhahabu etc
View attachment 3386077
Unaota.Kama hujui kusoma takwimu huna hata macho hayaoni picha?Mi nahisi Njombe inazidiwa na Katoro. Tehe teh teh teh teh teh
Hahahahahahahaa acha basi. Usije sema nimetomba moto
Kahama tayari steel industry inafanya kazi zaidi ya miaka kumi sasa kama sikosei kwenu ni MASHIKOLO MAGENI
HAYA TUNAVO KWAMBIA MJI WA VIWANDA UWE UNAELEWA BAADA YA FIDIA PROJECT INAANZA EKARI 200 VINATAZAMANA NA MAKAMBAKO STEEL INDUSTRIAL PARK 👇👇👇Kahama tayari steel industry inafanya kazi zaidi ya miaka kumi sasa kama sikosei kwenu ni MASHIKOLO MAGENI
Mashine za kukoboa mpunga ndio viwanda? 😁😁😁😁
Renda 😂😂 hii ko subiri ikamilike ndio upige keleleWe jamaa hivyo vya steel vya kahama NI sawa na VIWANDA vya rosper makambako hivi unaifahamu steel industrial Park tunayokwambia inajengwa Ina zaidi ya VIWANDA 50 kwa uchache Kuna Cha unga wa chuma ,magari ,spea za magar,cement nk pana ekari kwa Sasa zinakaribia 700 usituletee viproject vya kitoto hapa hiki NI kiwanda mama Cha chuma TANZANIA sio vya skrepaView attachment 3386339View attachment 3386340
HAYA TUNAVO KWAMBIA MJI WA VIWANDA UWE UNAELEWA BAADA YA FIDIA PROJECT INAANZA EKARI 200 VINATAZAMANA NA MAKAMBAKO STEEL INDUSTRIAL PARK 👇👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/DLWnx-pNrYb/?igsh=YzljYTk1ODg3Zg==
Maparachichi na viwanda vya mbao kawaida kabisa huko Njombe maana raw materials mnazo za hayo mambo, Kahama pia vipo vingi vya dhahabu( plant) na pamba sababu raw material ni ya kutosha kwa hivyo vitu
Sasa nyie viwanda vya kupakia tu maparachichi hivyo ni viwanda kwani 😂 🤗 au vinatengeneza maparachichi artificial? Kuna kipi cha maana kinafanyika kwenye viwanda vya parachichi 😂😂😂😂😂😂 si bora hata hiyo kukoboa mpunga au na parachichi zinakobolewa? Halafu vya mpunga ni vingi sana na serikali inavitambua ndio maana hata umeme vinafungiwa wa viwandaMashine za kukoboa mpunga ndio viwanda? 😁😁😁😁
Kuna Kahama Fresh labda ndio Cha maana.
Pia Ile Buzwagi industrial Complex ikija kuanza Kujengwa ndio kutakuwa na viwanda Kwa sababu nafahamu Kuna Mpango wa kujenga kiwanda Cha betri ,kusafisha nickel etc but so far ni matarajio.
Hivyo vya kahama NI sawa na vya kampuni hii makambako 👇👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DBBjEgPI06c/?igsh=YzljYTk1ODg3Zg==
Naendelea kuwafungua macho soma hiyo 👇👇 utaelewa kwa nini nasema Njombe mji haiwezi kuipita Manispaa ya Kahama kizembe kama ulizani Kahama hakuna viwanda vingine vya maana vinavyojengwa tambua kuanzia sasaMashine za kukoboa mpunga ndio viwanda? 😁😁😁😁
Kuna Kahama Fresh labda ndio Cha maana.
Pia Ile Buzwagi industrial Complex ikija kuanza Kujengwa ndio kutakuwa na viwanda Kwa sababu nafahamu Kuna Mpango wa kujenga kiwanda Cha betri ,kusafisha nickel etc but so far ni matarajio.