Tuandamane
JF-Expert Member
- Feb 2, 2008
- 1,221
- 57
Kama ni kuogopa kuyumba why kuwashitaki wote in a first place?????... hii ni double standard... waachieni kina Jeetu Patel huru sasa maana haina maana tena kuwakamata wao...stupid *ss
The way i get it,
- Mawasiliano yapo chini ya vodacom (Rostam) na Tanil (Shivacom) = Kagoda na kadhalika kama ninavosikia.
- Earth Movers ni caspian kule kwenye karibia migodi yote = Rostam, Habib and CCM)(Wawekezaji) achilia mbali service providers e.g. nakadhalika
- Kampeni za CCM 2000,2005 uvumi ni kuwa pesa zilitoka BOT sasa nani atafunga mdomo wakipelekwa? yani leo Tanil leo akisema kuwa alichukua pesa ya Kagoda lakini alishindwa kurudisha kule BOT ila akaona kwa kuwa wadai ni walewale arudishe UVCCM. je, CCM na FMES watasema nini?
- Wakatokea Rostam, Tanil, Patels na NK wakasema kuwa walielekezwa na akina fulani akiwemo huyu mkulu wa kaya waandike TOI na wanoushahidi wa emails huenda na msg pia mkuu wa wapiganaji nae alikuwepo... hapo tu mnabisha kuwa nchi haijayumba?
My take
Hapa kama nilivyosema since then, nchi hii ipo pa zuri sana. kila kitu kwa wenye akili timamu na tufanye uchambuzi wa kina na kuchukua hatua binafsi. Ole wenu mnaofanya maamuzi simply kujaza fikra, njaa yako ya jana na leo na kesho kutwa wanao wataishia kuleeeeee. Tusmsimbue Mola mana yupe busy na Somalia, Iraq, kwenye mafuriko na vimbunga, mana hawakupenda ila yaliandaliwa miaka 20 iliopita.
asanteni
Ni kauli ambayo haikupaswa kutolewa hadharani na mtu kama Hosea. Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali ya Kikwete. Ni kuidhalilisha nchi na wananchi wote wa Tanzania! Huu ni unyonge na ulimbukeni ambao unatutia aibu Watanzania kila kona ya dunia. Inatia uchungu sana!
Siri mpya ya EPA yaiumbua Kagoda
Jamani tunaliwa na wenye meno !! Masikini Tanzania !! Je huyu ndiye Tenga wa Richmond AU ?
Kagoda ni ROSTAM ABDURASUL AZIZ.Why is no one putting the names of kagoda thiefs????????
Nafikiri watu wa kuwakamata wakaonyesha wamiliki wa kagoda Ltd wameonekana kwenye hizo document kwani sheria lazima waliocertify wawe wanawajua personally, maana kuna taharifa kuwa wamiliki hawajulikani na ofisi ya kipawa haipo.
Hawa BRELA ina maana hawakuconfirm location ya address kabla ya kuwaregister nafikiri walitakiwa kwenda na kuconfirm kuwa hiyo physical address ni valid.
Kagoda ni ROSTAM ABDURASUL AZIZ.
Hao wamiliki wa AFRITAINER (T) LTD yaani BAHRAM ABDURASUL CHAKAAR na GULAM ABDULASUR CHAKAAR ni ndugu wa damu wa Rostam, wakati TABU OMAR ni mwajiriwa ofisi za Caspian ya ROSTAM.
Sasa nini kinaleta kigugumizi kumkamata ROSTAM??????? kama ROSTAM hajakamatwa, issue yote ya EPA is FUCKEN!!! FUCKEN DPP!!! FUCKEN IGP,AG and HOSEA!!!! and FUCKEN........
JF kama kweli ni sauti ya Watanzania basi naombeni petition ya kuhakikisha the Govt inapata presha yakutosha kuhusu KAGODA... Tutumie nguvu zote zinazowezekana hawa jamaa wanaoogopwa waingie segerea hatakama serikali ya mungwana itabidi ianguke.. Magazeti, walio wabunge na walio kwenye civil society humu ndani naombeni jamani tufanye one concerted effort
WATANZANIA TUNATAKA MABOSI WAKAGODA WASHTAKIWE... Tuungane mikono
Tuanzie hapa,....maana ndio mhusika mkuu