Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 754
- 3,097
Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi imeagiza Mkandarasi anayejenga Barabara ya Kanyinabushwa hadi Mbale A Wilayani Misenyi achukuliwe hatua baada ya kujenga Makaravati bila kuzingatia Viwnago
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amezitaka Bodi za Usajili ya Wahandisi (ERB) na Bodi ya Usajili ya Wakandarasi (CRB) kufika haraka kwenye mradi huo ikiwa ni baada ya kusambaa kwa Video inayoonesha malalamiko ya Wananchi kuhusu ujenzi
Bashungwa ametoa onyo kwa Wakandarasi na Wasimamizi wanaojenga na kusimamia ujenzi wa Miundombinu ya Barabara chini ya kiwango hali inayosababisha kuharibika mepema na kuhatarisha maisha ya watumiaji wa Barabara
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amezitaka Bodi za Usajili ya Wahandisi (ERB) na Bodi ya Usajili ya Wakandarasi (CRB) kufika haraka kwenye mradi huo ikiwa ni baada ya kusambaa kwa Video inayoonesha malalamiko ya Wananchi kuhusu ujenzi
Bashungwa ametoa onyo kwa Wakandarasi na Wasimamizi wanaojenga na kusimamia ujenzi wa Miundombinu ya Barabara chini ya kiwango hali inayosababisha kuharibika mepema na kuhatarisha maisha ya watumiaji wa Barabara