Atkinson
JF-Expert Member
- Jan 17, 2018
- 560
- 1,444
mkuu, panaitwa kwa mtongole nafikiriYou real know your Kwa mtogole residence right?
mkuu, panaitwa kwa mtongole nafikiriYou real know your Kwa mtogole residence right?
CuntKwanza kwa mtogole ndo wapi?....besides nimekuquote wewe au kihemswede?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba Kanyigo ndo kuna 'mighetto',Kilimanjaro kuna nyumba nzr Sawa .kagera pamoja na kuwa na vijiji vizr lakini kuna ambavyo vinatisha Sana Kwa migheto kama kanyigo
Sent using Jamii Forums mobile app

Hahahaaaa daaa wahaya bhna!!! Hongera zenuInawezeka nilipita ila sipajui halafu nilikua kwenye private car angalau ningekua kwenye public transport ningesikia majina ya vijiji.. mimi ni born here here (Dar) huko naendaga kusalimia wazee tu. Vipi wewe ni wahuko nini? tutambuane
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani thread inasemaje? Umesoma thread vizuri.halafu Una akili za ngono Tu kichwani.wenzio wanajenga vijiji huku nyie Kaeni na makaterero yenumbona picha za stend na soko kuu la bk hazipo,pia na mji pendwa wa katerelo na mto ngono weka picha hapa
We hujawaona ant Haya mkuuKwa nini tuchukie? Lazima kufurahi maana ni sehemu ya nchi yetu.
Ulichoongea mleta Uzi n ukweli mtupu mm nimeishi huko bukoba miaka kama5 hivi hayo nikiyaonaHizi nyumba huwezi zikuta kwenye vijiji vya mkoa mwingine wowote ule ni mijini tu Napo Kwa dar kama mikocheno sio uzuri wala mbagala
Sent using Jamii Forums mobile app