Manofu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2018
- 1,317
- 2,023
Kagera maambukizi ni 6.5% ukitaka ujuwe kwamba ngoma hipo nenda njombe 11.4% iringa 11.3% mbeya 9.3% mwanza 7.5%.Pazuri tatizo ngoma inogile tu.
Kagera maambukizi ni 6.5% ukitaka ujuwe kwamba ngoma hipo nenda njombe 11.4% iringa 11.3% mbeya 9.3% mwanza 7.5%.Pazuri tatizo ngoma inogile tu.
Niliwai kusema kama matatizo aliyopitia kagera yangepitiwa na mikoa mingine cjui ingekuwaje tuanze na vita ya kagera njoo kwenye kuzama kwa meli, tetemeko, kampeini ya uujumu uchumi, mlipuko wa ugonjwa wa ukimwi na kupandishiwa alama za ufahulu kwa wanafunzi wanaotokea kagera. Yani ilifika atua ili uendelee na shule ukiwa wa kagera upate maksi kuanzia 81 wakati mikoa mingine walikuwa wanachukua ata wa 61.Kwakweli huku kuzuri sana mbali na hujuma zinazofanyiwa huu mkoa lakini ukweli utabaki pale pale
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu mkoa umefanyiwa hujuma sana na bado unaendelea kuhujumiwa kwa sababu mbalimbali ambazo hata hazifai kuanikwa hapa, lakini ukweli ni kwamba wakaazi wa maeneo haya kwakweli wanajitahidi sana sana tena sana. Ukitaka kujua vizuri zama vijijini ndani, usiishie mjini , hapana nenda ndani ndani ndo utajua hawa ni watu wa namna gani wamejenga Nyumba nzuri, wamelima nk tofauti na mikoa mingi hapa TZ. Lengo si kupambanisha na watani wa jadi kwenye maendeleo(wachaga) ila hata hujuma ziendelee kufanywa hawa watu wateendelea kujiinua tuNiliwai kusema kama matatizo aliyopitia kagera yangepitiwa na mikoa mingine cjui ingekuwaje tuanze na vita ya kagera njoo kwenye kuzama kwa meli, tetemeko, kampeini ya uujumu uchumi, mlipuko wa ugonjwa wa ukimwi na kupandishiwa alama za ufahulu kwa wanafunzi wanaotokea kagera. Yani ilifika atua ili uendelee na shule ukiwa wa kagera upate maksi kuanzia 81 wakati mikoa mingine walikuwa wanachukua ata wa 61.
You real know your Kwa mtogole residence right?I real don't know over there in such.....mi mara ya kwanza kwenda BK ni last year December.....Bibi yuko hapo itongo, nshamba,so nikapata na wasaa wa kuzurura vijiji vya karibu...nikafika hapo iyangiro kuna bar inaitwa mnazareth something like that....dooohkumepooza mbaya mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatukatai mkuu! Kitendo cha uwanja wa fisi kuwa na nyumba mbovu hakutufanyi tuseme Dar haina nyumba kali kuliko mikoa yote. Mchawi mpe sifa yake!Ukiwa nankwende ndani kule, utaambiwa dar kuzuri sana, majumba makubwa kabisa yako dar, ila haimaanishi kuwa dar nzima kuna majumba mazuri, hapana, hata nyumba za hovyo zipo, tena hovyo.
Kwahiyo hata hizo picha si kweli kuwa huko kagera nyumba zote ni tamu.
Kagera inazidiwa na Kigoma.
Lakini mkuu huu ni uzi wa picha/gallary. Sasa tukikaribusha maneno tutakuwa tunaharibu maana ya uzi. Kila mtu atase.a inazidiwa na mkoa wowote atakaojisikia. By the way nakumbusha n picha za vijijini tu na discussion za vijijini kama uzi unavyosema.Ukiwa nankwende ndani kule, utaambiwa dar kuzuri sana, majumba makubwa kabisa yako dar, ila haimaanishi kuwa dar nzima kuna majumba mazuri, hapana, hata nyumba za hovyo zipo, tena hovyo.
Kwahiyo hata hizo picha si kweli kuwa huko kagera nyumba zote ni tamu.
Kagera inazidiwa na Kigoma.
Labda Arusha mjini. Sio vijijiniMtu ambae ameishi mda mrefu Arusha halafu siku moja ukampeleka Bukoba akaishi huko, hatachukua siku mbili hajaungua ugonjwa usiokuwa na tiba
Blaza ukikuwa bk mjini. Hizi ni za bushMbona wakat wa tetemeko picha za bukoba hazikuwa hivi...mimi nilikuwa huko wiki 2 zilizopita sikupata muda wa kutembea sn...ila mazingira ya shule ya Kaizirege ni mazuri sn
muleba moja hiyoMaeneo mbalimbali ya huko bukobaView attachment 1008843View attachment 1008845View attachment 1008846View attachment 1008848View attachment 1008854
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza kwa mtogole ndo wapi?....besides nimekuquote wewe au kihemswede?You real know your Kwa mtogole residence right?
Kwa kina MalinziMimi natoka Misenyi na picha ya kijijini kwetu ndio hiyo yenye kiwanja cha golf!!!