Kagera/bukoba villages gallery

Kagera/bukoba villages gallery

Hope umeinjoy menu ya white rose japo bei sio rafiki?
Ni sehemu nimezoea kula hapo kila ikitokea napita pande hizi ingawa bei zao ni juu ila chakula chao cha uhakika ukilinganisha na sehemu nyingine nilizowahi kula kwa hapa Muleba
 
Ni sehemu nimezoea kula hapo kila ikitokea napita pande hizi ingawa bei zao ni juu ila chakula chao cha uhakika ukilinganisha na sehemu nyingine nilizowahi kula kwa hapa Muleba
Nikutakie safari njema do not drive when u are drunk.
 
Ulichoongea mleta Uzi n ukweli mtupu mm nimeishi huko bukoba miaka kama5 hivi hayo nikiyaona
Nyumba nzuri sana sana zimejengwa vijijini nadan ndan huko kwny migomba yan ukiingia vijjni huko huwezi amini. Yan umenikumbusha mbali mno watu tulikuwa tunashangaa why wanajenga sana vijijini.
Hayo ndo maajabu ya bukoba

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu, watu wamejichimbia migombani
 
Nilikuwa kijijini ikabidi nipige picha baadhi kama ifatavyo
 

Attachments

  • IMG_20190218_124453_0.jpg
    IMG_20190218_124453_0.jpg
    262.7 KB · Views: 47
Nyingine hyo
 

Attachments

  • IMG_20190218_151455_0.jpg
    IMG_20190218_151455_0.jpg
    258.3 KB · Views: 49
Back
Top Bottom