Kagera/bukoba villages gallery

Bukoba aiport
tapatalk_1548361509733.jpeg
tapatalk_1548361511548.jpeg
tapatalk_1548361507998.jpeg
tapatalk_1548361504790.jpeg
tapatalk_1548361503128.jpeg
tapatalk_1548361499335.jpeg
tapatalk_1548361506395.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana.. Nilikuwa maeneo ya Itongo, Nshamba Dec iliyopita ni balaa tupu. REA imepita kila nyumba imevuta umeme, Jana naibu waziri analalamika pwani watu wamepelekewa umeme ila muitikio ni mdogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka mkoa wa Kagera watu wake si mchezo watu wanajenga nyumbani ,kila nyumba sasa hivi ni REA kuna muitikio mkubwa sana. Hivo vijiji ulivovitaja nimepiga sana misele katika kuchukua mazoezi ya ujana. Ahahahahha
 
Back
Top Bottom