Hizi nyumba huwezi zikuta kwenye vijiji vya mkoa mwingine wowote ule ni mijini tu Napo Kwa dar kama mikocheno sio uzuri wala mbagalaHapa ndo nyumbani kwetu, kijijini Gwanseli, Muleba.
Kabisa mkuu, ila nenda Kagera unakutana na mijengo ya Haja huku imezungukwa na migomba pande zote.Hizi nyumba huwezi zikuta kwenye vijiji vya mkoa mwingine wowote ule ni mijini tu Napo Kwa dar kama mikocheno sio uzuri wala mbagala
Sent using Jamii Forums mobile app
Maneno maneno sio tabia ya wahaya, upload katerero kama umeshindwa semaUmejenga kijijini kwako kwanza.ndo uje uongee hapa wenzako wanafanya maajabu huko vijijini na nikikuletea kijiji hicho cha katerero utashangaa majumba yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Msalimie tajiri wa kijiji chenu josephat rweyemamu pia pole kwa kufiwa na mdogo wako wa kike.Hapa ndo nyumbani kwetu, kijijini Gwanseli, Muleba.
Safi sana.. Nilikuwa maeneo ya Itongo, Nshamba Dec iliyopita ni balaa tupu. REA imepita kila nyumba imevuta umeme, Jana naibu waziri analalamika pwani watu wamepelekewa umeme ila muitikio ni mdogo.Hapa ndo nyumbani kwetu, kijijini Gwanseli, Muleba.
Safi sana.. Nilikuwa maeneo ya Itongo, Nshamba Dec iliyopita ni balaa tupu. REA imepita kila nyumba imevuta umeme, Jana naibu waziri analalamika pwani watu wamepelekewa umeme ila muitikio ni mdogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka mkoa wa Kagera watu wake si mchezo watu wanajenga nyumbani ,kila nyumba sasa hivi ni REA kuna muitikio mkubwa sana. Hivo vijiji ulivovitaja nimepiga sana misele katika kuchukua mazoezi ya ujana. AhahahahhaSafi sana.. Nilikuwa maeneo ya Itongo, Nshamba Dec iliyopita ni balaa tupu. REA imepita kila nyumba imevuta umeme, Jana naibu waziri analalamika pwani watu wamepelekewa umeme ila muitikio ni mdogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahah, ahsante sana mkuu nishapoa, yote ni mipango ya mungu.Msalimie tajiri wa kijiji chenu josephat rweyemamu pia pole kwa kufiwa na mdogo wako wa kike.