Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

Status
Not open for further replies.
Hv wewe hivi hata unafuatilia upepo unaendaje katika nchi za East Africa...? Mseveni, Uhuru na Kagame wananizatiti kibiashara pamoja, na kama unajidanganya eti uhuru rais wako imekula kwako..TANZANIA SASA HIVI IMETEGWA SABABU YA HUYO MAGAMBA WENU MLOPOKAJI..Rwanda achana nao na km wangekuwa wanaitegemea sana tz, ndhn tungeizidi uchumi Rwanda..Eti tunajua siraha zao, mwenzako Kikwete kajua Moto aliouwasha ni wa petrol, ndo maana kaona anyamaze tu..

tanzania haiwezi kutegwa eac unajua kwanini pk lazima ajipendekeze kwa uhuru ni kwa woga tu anajua tz ikifunga mpaka hana pakupitishia mizigo,kenya inahitaji tz sana kama soko lake kubwa la bidhaa zake, kenya haihitaji rwanda kwa lolote hata hivyo watz wengi hatutaki hii eac kabisaa, fuatilia riport ya tume ya prof wagwe
 
No body insults my president. No, no, no, No!

Kabisa, nakubaliana nawe kwa asilimia 100% Urais ni zaidi ya mtu aliyeko madarakani, ni taasisi. Mtu ambaye kichwa chake kiko vizuri hawezi kufurahia Raisi wa nchi anatukanwa na mtu wa nje ya nchi halafu eti wengine mnaunga mkono. Upuuzi..
 
Balozi yupo Tz ulitaka asemeje-Tumestuka

Ok guys. Suit yourselves! Yaani rais wa nchi atishiwe na rais mwenzake halafu akae kimya!? Ashindwe hata kumtimua balozi wa Rwanda au kumwita balozi wake nchini Rwanda? Yaan Mkumbwa Ally aliyekuwa Daily News ndiye amiri jeshi mkuu wa Tanzania mpaka aipige mkwara Rwanda!?

Kagame ana maadui wengi sana, tunajuaje kama ni yeye aliyesema na sio maadui zake wanaotumia mwanya uliopo kusababisha msuguano? Kwanini habari kubwa kama hii imenukuliwa na chombo kimoja tu ha habari (a
froamerica)?
 
Mwalimu alisema Mtu akila nyama ya Mtu, lazima atatamani kula nyama hiyo siku zote. Kagame kwa kuwa ni mroho wa vita na kuua ovyo, anatamani angeweza kuanzisha vita dhidi ya Tanzania ataweza kuua watu wengi na kufurahia damu za watu. Ulimwengu tazama na muwe macho. Tunampenda Kkwete wetu na hakuna anayeweza kucheza na maisha ya Rais wetu. Kama yeye anajiona kuwa Kagame, maana yake Mbabe, basi ubabe wake huko huko Rwanda siyo ulimwengu wote. Hivi si alimuua Habyarimana? na je ataangamiza wangapi. Wanyarwanda mko wapi? akikosa huku atawamaliza nyinyi maana atakuwa hana hakika ya usalama wake. CHUNGA SANA
 
The loudest one in the room he is the weakest one"mwacheni apige kelele naona watutsi mnajifanya watz humu na kumponja jk na tz ili kuaminisha umma kua wapo watz wanaomsapoti kagame endeleeni na propaganda zenu ohh makomandoo wa rwanda wamejaa dar sijui nn hahaha kagame tulia maiti ulizoziua zinaamka
 
Tumsikilize Kagame na kupima ukweli wa ayasemayo kabla ya kulaumu. Anayoyasema, achana na yanayoongezewa chumvi na waandishi wa threads humu, ni sahihi na ndo ukweli!
 
Tuombe amani tu na misuguano iishe kwa amani......ukubwa wa eneo si hoja....waulize wamarekani vietnam iliwafanyaje.......
 
Watutsi kwenye uongozi ni kama kupe. Lolote kuashiria kuondolewa kuhodhi madaraka wanareact ruthless utadhani vichaa. Mnakumbuka ilivyokua shida kuondoka madarakani utawala wa kikaburu wa watutsi kule burundi hadi vita na damu nyingi kumwagika. Kagame hana ujanja lazima kuongea na wapinzani kama anataka amani ya kweli rwanda. Hila zake za kuhamishia vita na wahutu congo akijidai hakuna shida rwanda ni kuahirisha tatizo.
Hawajali kupeleka shida na maafa kwa nchi jirani kama inawahakikishia watutsi utawala. Shida ya wakimbizi ukosefu wa amani tanzania anaona sio lolote na kumtolea rais wetu mamemo ya kifedhuli.[/QUOTE
Anatushangaza sana . Kapendeza kwenye suti yake lakini mineno ya ovyo! Mawani kama kobe.
 
Kabisa, nakubaliana nawe kwa asilimia 100% Urais ni zaidi ya mtu aliyeko madarakani, ni taasisi. Mtu ambaye kichwa chake kiko vizuri hawezi kufurahia Raisi wa nchi anatukanwa na mtu wa nje ya nchi halafu eti wengine mnaunga mkono. Upuuzi..

Basi mimi kichwa changu hakiko vizuri ..achaa tuu atukanwe
 
Katika moja ya sifa nzuri za JK ni kulipiza kisasi!Nasubiria atekeleze Sifa hii kwenye hili tamko la "mfamaji kagame"
 
Kagame si adui wa Mtanzania. Adui wa Mtanzania yupo hapa hapa Tanzania sote tunamjua.
 
Nimeamini why kagame anahasira na kikwete Kweli alikuwa mwizi drc sasa mrija unakata ana charuka wacha tuongeze makoloni yetu najua Rwanda soon litakuwa koloni letu wakiendeleza ujinga huu..
 
Dunia kuwa kama kijiji inahusiana vipi na uwezekano wa nchi kulazimisha watu kwenda jeshini? Nielimishe nielewe zaidi hapo tafadhali.

Draft ni utaratibu wa serikali kuwaingiza wananchi jeshini upende usipende, hasa wakati wa vita. Kwa hiyo haijalishi kama serikali inapendwa au haipendwi na wananchi, sio hiari. Mafanikio ya kuunda jeshi la kujitolea ndio yanaweza kutegemea serikali kupendwa au kutopendwa na wananchi. You got it backwards.
kama uko familiar na tawala za kiafrika,utajuwa kwamba hawana utashi wa kutawala kwa misingi ya kidemokrasia.

Na kwajinsi ambavyo tumegawanyika,si wote watakaoukubali kujiunga na jeshi kwenda vitani kuipigania serikali ambayo hawana imani nayo.

Kwahiyo itabidi walazimishe watu,na hapo ndo hoja ya dunia kama kijiji inapokuja,kwamba yote hayo yataonekana duniani kote.Huwezi kuwalazimisha watu bila kuvunja haki zao za kimsingi.
 
chukua greenguard
add redbrigade
add Mgambo
add JKT
add Prive Securities
add JWTZ
Equals=Jeshi Kubwa la Maangamizi.
 
I have no patience with this,watu wanaokunywa kreti moja ya bia kila wiki wananifundisha tabia njema. Hii ni Foreign policy ya Serengeti Larger ndiyo inatufikisha hapa;ya kufanya tupigane war on two fronts,Rwanda na Malawi. Kuhusu watu kunitukana ninapochangia Jamii Forums,mimi nimeshasema,mtu akinitukana,namsihi moderator anifute Jamii Forums. Hapa kuna maswala ya policy lazima yajadiliwe. Kama kwa mfano unasema Chadema wasiwe na militia,je siyo kweli,hata JWTZ watakuwa wa kwanza kusema,kwamba mgambo walisaidia sana katika vita dhidi ya Idi Amin. Sasa,why do you want to disarm the people? Ili tu polisi waweze kutukana watu for vain reasons. Kuhusu Ziwa Nyasa,Mwalimu Nyerere alimwambia Kamuzu Banda,''I will be brief. Ukitaka kulichukua Ziwa lote,we will go to war.'' Sasa,I_will_be_brief policy ya Mwalimu iko wapi. Kwa nini Kikwete hamwambii Joyce Banda,'I will be brief. '' Au Balance of Power imebadilika kati ya Tanzania na Malawi since that time?
 
I have no patience with this,watu wanaokunywa kreti moja ya bia kila wiki wananifundisha tabia njema. Hii ni Foreign policy ya Serengeti Larger ndiyo inatufikisha hapa;ya kufanya tupigane war on two fronts,Rwanda na Malawi. Kuhusu watu kunitukana ninapochangia Jamii Forums,mimi nimeshasema,mtu akinitukana,namsihi moderator anifute Jamii Forums. Hapa kuna maswala ya policy lazima yajadiliwe. Kama kwa mfano unasema Chadema wasiwe na militia,je siyo kweli,hata JWTZ watakuwa wa kwanza kusema,kwamba mgambo walisaidia sana katika vita dhidi ya Idi Amin. Sasa,why do you want to disarm the people? Ili tu polisi waweze kutukana watu for vain reasons. Kuhusu Ziwa Nyasa,Mwalimu Nyerere alimwambia Kamuzu Banda,''I will be brief. Ukitaka kulichukua Ziwa lote,we will go to war.'' Sasa,I_will_be_brief policy ya Mwalimu iko wapi. Kwa nini Kikwete hamwambii Joyce Banda,'I will be brief. '' Au Balance of Power imebadilika kati ya Tanzania na Malawi since that time?
Hata mimi huwa nakutukana tena sana..ila hapa hata sithubutu......ni kweli Tanzania chini ya CCM mamabo mengi hatuajawa na majibu ya kueleweka..sasa hivi hata Takukuru nao hawana tena hakika sana wanapomfuata mtoa rushwa km kweli ni rushwa,ni Takrima, ni haramu aua halali.

Tanzania hatujawa na watu miaka ya karibu ambao wana mikakatai ya kuhakikisha tunakuwa power house ktk region kiuchumi, kijeshi, kimichezo na hata kitamaduni...mataifa km US na wengine hukimbizana kuonyesha might ktk olypmic ili kuweka heshima ya superiority...

Tukirudi kwetu km majirani zetu wasipokuwa na clear picture ya uwezo na uwezo wetu waujue kuwa upo juu yao..ni wazi kwamba hatutapigana vita sana nao.Hawa jamaa kutothubutu hata kufikiria vita nasi wakati nasi tukiwatendea haki..tutaepusha hasara.Sasa JK kafanya uraisi uonekane raia kila mtu hata muuza nyanya anautamani, majirani wanajiona nao wanaweza kunja na sisi...hii ni hatari sana.Vita ni vita, pamojana hasara za mali na uhai, pia hubadili sana fikra za watu thidi ya mataifa husika.Hata UN wanaweza wasitufikiri tena kuwa viranja, tutakapokosa kuwa viranja basi ktk matukio ya kupigana tutaonekana kuwa nasi ni kati ya watoto watukutu watakaohukumiwa hata kabla ya kujieleza.

Unless CCM na wendawazimu wao waje na mpango kila vita wanayopigana basi igeuzwe mtaji na maabara y akujaribu silaha zetu za mzinga, wanahitajai kujiepusha sana na vita.Na si vita na wageni tuu hata huku kupandikiza chuki kuweka makambi sijui Ukerewe na kwingine za vijana wao kivita,zitafanya ndani ya nchi kusitawalike.Na kusipotawalika CCM wataifanya hii kujonyesh amapungufu sana km patatokea vita ya ndani.
 
all watutsi mliopo humu jamvini noted,
subiri tuwa-track hadi location point zenu nyinyi mb.wa,
tutaanza na nyinyi kabla ya kumfata bwana wenu KAGAME,

Tumsikilize Kagame na kupima ukweli wa ayasemayo kabla ya kulaumu. Anayoyasema, achana na yanayoongezewa chumvi na waandishi wa threads humu, ni sahihi na ndo ukweli!

Wenyewe kwa wenyewe tumeshindwa kuelewana, wacha Kagame afanye kazi labda heshima ya kujali wananchi itakuja

Jeshi letu limebakia kuchezesha vitambi kama wajawazito

Nitafurahi sana siku ambayo Kagame atamu-hit huyu omba omba...

ACHA KAGAME ATUTOLEE HUYU J.K MAANA MIE NAONA NI DIKTETA ZAIDI ZAIDI NA MTU WA VISASI NA UPENDELEO KWA WATU WA DINI YAKE SANA.:embarrassed1:

Mwambien uyo Dhaifu ajaribu kutia pua Rwanda aone,atakula mateke ya mbavu

"Ukitaka kula lazima uliwe",rwanda hapaliki ila bongo shamba la bibi kama congo,rais mzururaji hakuna mfano wake,kwa style hiyo hata akiingia chumbani kwa Obama hawatamzuia coz wanakula,viva Kagame usiliogope Koti ni dhaifu mbaya..

Kagame Rais wa magogoni mweupe asikutishe,songa mbele akijipendekeza mpe za mbavu...
 
I have no patience with this,watu wanaokunywa kreti moja ya bia kila wiki wananifundisha tabia njema. Hii ni Foreign policy ya Serengeti Larger ndiyo inatufikisha hapa;ya kufanya tupigane war on two fronts,Rwanda na Malawi. Kuhusu watu kunitukana ninapochangia Jamii Forums,mimi nimeshasema,mtu akinitukana,namsihi moderator anifute Jamii Forums. Hapa kuna maswala ya policy lazima yajadiliwe. Kama kwa mfano unasema Chadema wasiwe na militia,je siyo kweli,hata JWTZ watakuwa wa kwanza kusema,kwamba mgambo walisaidia sana katika vita dhidi ya Idi Amin. Sasa,why do you want to disarm the people? Ili tu polisi waweze kutukana watu for vain reasons. Kuhusu Ziwa Nyasa,Mwalimu Nyerere alimwambia Kamuzu Banda,''I will be brief. Ukitaka kulichukua Ziwa lote,we will go to war.'' Sasa,I_will_be_brief policy ya Mwalimu iko wapi. Kwa nini Kikwete hamwambii Joyce Banda,'I will be brief. '' Au Balance of Power imebadilika kati ya Tanzania na Malawi since that time?

Majirani zetu wanajua na ndiyo ukweli kwamba tuna uongozi dhaifu kabisa kupita kipindi chote ktk Tanzania huru.

Angalia mtafaruku huu wa sasa na Rwanda,bado watawala wetu hawajagundua makosa ndani ya hotuba ambayo JK alitoa ushauri kwa Rwanda.

Obama akiwa hapa alisisitiza umuhimu wa mazungumzo ya amani,ambao ni msimamo wa nchi yetu. Lakini akasisitiza kwamba Wahalifu wote wa Makosa ya Kivita wanaojificha Mashariki ya Congo lazima wakamatwe na kufikishwa ktk vyombo vya sheria!

Watawala wetu hawazungumzii kuhusu wahalifu wa kivita kukamatwa na kupelekwa ktk vyombo vya sheria. Wanashauri Wanyarwanda kufanya mazingumzo ya amani bila kusisitiza kipengele muhimu kama hiki ambacho Obama amesisitiza.

Sasa hili ni udhaifu wa wazi wa Kikwete na wasaidizi wake,mfano wa kazi zetu za fasta fasta bila kupima ubora. Kwa ufupi tunao watu wengi ngazi za juu ambao wana weledi wa chini kulingana na majuku wamekabidhiwa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom