kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,931
- 7,829
Ni majigambo tu ya kitutsi hana lolote. Kiongozi gani ana majigambo roho mbaya na majibu ya kifedhuli kwa kupewa ushauri kupata amani nchini kwake. Eti atatu-hit kwa kua tumemwambia aongee na wahutu ili kukomesha udikteta wake. Nyau kweli haka kajamaa. eti kanajidai ni kaliberation fighter kama samora kwa kuweka serikali ya kikaburu rwanda.