Kagame ndani ya Congo, sisi kiherehere cha nini?

Join Date : 14th May 2014
Posts : 40
Rep Power : 311
Likes Received19
Likes Given0

Karibu janvini kijakazi wa Kagame naona una speed.
 

Mbona usemi tulivyomkata yule handler wa huyo "jasusi" wa rwanda jwtz na tukamfanya "aimbe" siri zote?

Au mlidhani kuweka mdada mrembo kampala university hatutojua?

You tutsis are pathetic
 
Kwani Ni Kipi Kipimo cha Kuwa Mtanzania Halisi?

Mojawapo ya Kipimo cha mtanzania halisi ni kuitetea na kuipigania nchi yako. Kagame alimtukana rais , kitu ambacho ni sawa na kututukana watanzania wote, sasa kitendo cha nyinyi kumtetea eti kisa tz kuna mafisadi n.k huo si utanzania.

Nimemwambia mwenzako hapo juu kwamba mtu akikutukana ukamchekea siku nyingine atakushika m@tak0

Je Ni Kuwa Mzalendo na Kutetea Uzembe Wa Serikali Yako Huku Wachache Wakitajirika Na Masikini Kama Wewe Mkizidi Kuongezeka Kila Kukicha Nchini Tanzania?

Tafadhali mkuu hunijui sikujui, naomba usiniite masikini,

Turudi kwenye mada, nakubali tanzania tuna mapungufu meengi sana kiuchumi, kielimu n.k. pamoja na yote hayo bado sisi ni watanzania lazima tujivunie utanzania, huwezi kubali kutukanwa eti kisa una mapungufu fulani fulani ambayo yapo tuu na yataendelea kuwepo,

Ndo maana nakwambia wewe huna uzalendo na nchi yako, linapokuja suala la utaifa lazima tuweke tofauti zetu mbali na tuwe wamoja.

Nina Mashaka Na IQ Yako.

Narudia tena, hunijui sikujui, huwezi kuwa na mashaka na kitu ambacho hukujui.

Halafu wewe unayejiona mwenye IQ isiyo na shaka unakubali kutukanwa na kudharauliwa nchi yako, hapo sidhan kama IQ yako iko sawa.
 

Wewe si mtanzania, kubali tu yaishe
 
nyie watusi mnahaha sana toka tukate mirija yenu ya mauaji na wizi huko kongo m.a.k.a.l.i.o yenu
inaonekana wewe ni sehemu ya walewale interahamwe, umejaa ubaguzi na chuki sana za kikabila! Kama umeanza kuwabagua watanzania wenzako kisa wanatofautiana nawe kimawazo!
 
Muone kigwangala anadawa za akili akusaidiee upone kwanza.
 
Kama Kagame alishindwa mikikimikiki ya JWTZ kule Congo ataweza hapa nyumbani?

Mkuu Buchanan,

Ni lini Job Descriptions za JWTZ zimegeuka na kuwa ni kwa ajili ya kuilinda CCM badala ya wa Tanzania.?
 
Last edited by a moderator:
inaonekana wewe ni sehemu ya walewale interahamwe, umejaa ubaguzi na chuki sana za kikabila! Kama umeanza kuwabagua watanzania wenzako kisa wanatofautiana nawe kimawazo!

hakuna mtanzania anayemuunga mkono kagame nyie ni mamluki wa kagame wote mnafanya ujasusi wa kizamani...mtanzania anayemuunga mkono kagame ni mtanzania jina si halisi na wengi ni wale mamluki wa kagame waliojpenyeza Tanzania kwa paspot za Uganda ambao ata vyuon wameshashtukiwa
 

Angalau mkuu umeandika vya maana
 

Daah sijakuelewa kabisa mkuu
 
mwambien na mfadhili wenu kagame akrud tu tunampa kpgo....tunampongeza kabila junior kwa kukataa mikataba ya mstuni ya kuiuza congo drc waliyosaini watangulizi wake na kna kagame. ..ata baba yake alkataa hyo mikataba na kuwaambia kna kagame hiyo ilkua mikataba ya mstuni...hatuwezi kuuza kongo kwa mikataba ya mstuni
 
Tumeshampiga na kumtoa Congo, na akileta choko choko tunampiga mpaka Kigari unasemaje sasa???
Mpuuzi wanawake wanabakwa, wanaume wanauawa,watoto wadogo hawasomi wanaingizwa jeshi la waasi na ili wawe na ujasiri wanafundishwa na kufutishwa bhangi kisha wanaambiwa wawaue wazazi wao ili wasiwe nahuruma wewe unaona sawa? Idiot!
 

Nakukubal sana mkuu ila kwahil hapana......watanzania tuna mengi ya kufanya kwanza huku kwetu.sio kukurupikia ya wenzio tunasindwa kupambana na mafisadi tunakimbilia vita isiyotuhusu,kuna kitu hapa mkuu...think big
 
Watz wivu tu na Kagame kasemwa juzi Bungeni hana mda wa kujibu yeye Kaz Tu.


Sent from my Philips.
 
Sina hakika kama wewe ni mzima kichwani, ungekuwa una uwezo japo kidogo wa kujua barabara inavukwaje, ningekuelezea maana ya uhusiano wa kimataifa.

Unapoteza muda wako kubisha na waliolala!
 

Kwa hiyo wewe huna huruma na Wacongo wanaoteseka hasa kina mama na watoto?
 
Nakukubal sana mkuu ila kwahil hapana......watanzania tuna mengi ya kufanya kwanza huku kwetu.sio kukurupikia ya wenzio tunasindwa kupambana na mafisadi tunakimbilia vita isiyotuhusu,kuna kitu hapa mkuu...think big

nyie majasusi wa kagame sisi ni mafia kuwazd kwanza wote jeshi tumewafundsha na mjue hatukuwapa mbnu zote....mnataka tucheze ngoma mnayoitaka kwa kuprempty ajenda za kijnga kuptia mitandao ya kijamii taarfa zenu tunazo na mlkua mksubri bajeti ya foreign affairs mkiamni hii ajenda itakuwepo na ndio eneo la kuanzia sasa msmamo wetu ni kumchapa kagame popote atakapoleta upuuuzi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…