Kafulila: Nimerejea CHADEMA rasmi leo

Kafulila: Nimerejea CHADEMA rasmi leo

Mimi sipati Logic, hivi NCCR si ipo UKAWA.? Kwa nini asingebaki NCCR akasaidia harakati akitokea NCCR kama UKAWA wana strong bond.? UKAWA si wana plan za kuungana hapo baadae.? Ama kuna kitu ndo sikielewi.?
 
Ni swali chokonozi juu ya mustakabali wa Ukawa na malengo yake.Inakuwaje member wa Nccr wanahamia Chadema?Ikiwa Ukawa wana nia na lengo moja iwenye chama kimoja ndani ya Ukawa kiendelee kuwanyonya wanachama wa vyama vingine ndani ya Umoja huu?
Bana eeeh usituchoshe. Ukawa mbona ilishakufa kitambo. hivi hata na macho huna yakuangalia.
 
Umerudi na mkia au umeuacha uko ulikopoelea miaka kadhaa.
 
Hongera Jemedari kwa uamuzi sahihi
OTH_6085.jpg
 
Mimi sipati Logic, hivi NCCR si ipo UKAWA.? Kwa nini asingebaki NCCR akasaidia harakati akitokea NCCR kama UKAWA wana strong bond.? UKAWA si wana plan za kuungana hapo baadae.? Ama kuna kitu ndo sikielewi.?
Tafuta kwanza logic ya rais kuteua wabunge sita wa kiume mpaka sasa huku katiba ikitaka nafasi tano au zaidi ziwe za wanawake
 
Naomba kujua, je amebadilika kutoka sisimizi au amekua siafu sasa
 
Hujui uulizacho. Nenda kasome
Mimi sipati Logic, hivi NCCR si ipo UKAWA.? Kwa nini asingebaki NCCR akasaidia harakati akitokea NCCR kama UKAWA wana strong bond.? UKAWA si wana plan za kuungana hapo baadae.? Ama kuna kitu ndo sikielewi.?
 
Ni swali chokonozi juu ya mustakabali wa Ukawa na malengo yake.Inakuwaje member wa Nccr wanahamia Chadema?Ikiwa Ukawa wana nia na lengo moja iwenye chama kimoja ndani ya Ukawa kiendelee kuwanyonya wanachama wa vyama vingine ndani ya Umoja huu?
ukawa ulishakufa kwa chadema kudhoofisha kwa lengo la kuviua vyama vingone. ukawa sasa imebaki kama jina jingine la chadema.
 
Hawa watu ni wanafiki sana, yaani daily kuhama hama leo huku kesho kule
 
Back
Top Bottom