ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,748
- 42,182
- Thread starter
- #81
Ooh sawaHapana ninge jua hicho kitabu or part ya kitabu cha Bible. Hata hivyo nilisha skia stori zake
SijaitazamaWw ushaitazama? Jamaa Ana daydream sana
Ooh sawaHapana ninge jua hicho kitabu or part ya kitabu cha Bible. Hata hivyo nilisha skia stori zake
SijaitazamaWw ushaitazama? Jamaa Ana daydream sana
Sasa mbona tunatupiwa lawama wanawake wa sasa😁Nilichoambiwa na mtu mzima tangu zamani hakuna mwanamke aliyetaka kuwa na mwanaume asiye na kitu mali cheo, umaridadi na vingine vingi
Hata wadangaji walikuwepo ila uwaslishaji kdg ni tofauti na sasa
Hamna utandawazi, elimu, usasa na mabadiliko mengi yanafanya muonekane tofauti Ila binafsi sioni utofauti sanaSasa mbona tunatupiwa lawama wanawake wa sasa😁
Safiii umesema vizuri sana 🥰Hamna utandawazi, elimu, usasa na mabadiliko mengi yanafanya muonekane tofauti Ila binafsi sioni utofauti sana
Kuna wanawake walikuwa single parent kabla ya ndoa, wapo waliozikimbia ndoa, wapo walio saliti ndoa, wapo waliokuwa wajeuri wababe n.k hivyo wa sasa ni matokeo ya kale
Ahaa sawa