So ndoa ilisimama kwa dhana ya family friend not love?Kwa sababu unakuta mume tayari alishakuwa family friend wa familia ya mke hata kabla ya ndoa na mke pia hivyo hivyo kwa kuachana ni kama kuharibu mahusiano ya familia mbili zilizokuwa zinajuana hata kabla ya ndoa.
Baaa wepo huna akili..Njoo ukae kwangu godoro sina
Wamekufanyaje kijana😆Ila watoto wa elf mbil bwaana they know everything.
Mwanetu Samsoni alipigwa bonge la tukio!Zamani na sasa mambo ni yale yale tu hamna jipya, suleiman alikua na mali nyingi alikula kila aina ya utelezi, queen of sheba hakuliwa na mkimbiza boda, Daudi alimnyandua mke wa General wake kwa sababu alikua na cheo na mali. Tangu zamani pesa, cheo, muonekano, umaarafu vilikua privileged sema kizazi cha sasa kinazingatia sana.
AiseeeMwaka wenyewe una range siku 365, hata angesema kila siku awe anamega mmoja mmoja bado kuna wengine ingewabidi kusubiri!
Labda alikua anaichapa per day kwa wanawake 2 nazaidiMaana kwa hesabu ya haraka haraka, kulala nao wote ingembidi kila siku achape wawili na ni kila siku mpaka mwaka unaisha na bado wangepelea tena!
Kumbuka alikua Nabii😅Hata kama una nguvu za ajabu, kila siku kuichapa ile kitu ni ngumu, utapwaya tu kuna siku!
Kweli kabisa aiseeKabisa maana mkiwa wapenzi hamuwezi ku meet basic needs zenu bila Pesa kuwepo siyo lazima muwe na pesa kama mo au Bakhressa, la hasha ni pesa tu ya kumudu mahitaji yenu bila kuomba misaada kwa wengine
Nilikua nasoma ndio nikakutana na mashairi ya huyo mwamba😅Naona umeamua kutumia Baibo.
Kumbe lol au turudi zamaniZamani hakukuwa na feminists. 😊
nitafute taratibu nikueleweshe,hata kesho we nikumbushe tu.Hapana, nadhani aliyekuwa akipendwa zaidi anaweza kuwa labda Sulamitha ambaye alikuwa tofauti na wengine wote.
Inasemekana jamaa alikuwa na nguvu za ajabu pia, lakini bado binafsi sikubaliani na suala la kuwaridhisha wanawake wote hao, Impossible!
Jamaa walimu overrate sana aisee, labda kama kwa kila mwanamke alikuwa anaweka kichwa tu hahah.Aiseee
Labda alikua anaichapa per day kwa wanawake 2 nazaidi
Kumbuka alikua Nabii😅
Unieleweshe kuhusu nini Mkuu?nitafute taratibu nikueleweshe,hata kesho we nikumbushe tu.
😅😅 poleeMapenzi ni useng na ubinafsi.
Bora hata Condoleezza Rice hakuwahi kujihusisha na mapenzi
Mambo hayo🔥Inawezekana mapenzi hayajaharibika… labda ni sisi tumeanza kuyapima kwa mizani isiyo sahihi💕View attachment 3611432
Nini tena hiki we mtoto😅🤣Baaa wepo huna akili..
Mwana yuno inta akili unavoona hapa naingelea mkwedo et 😂😂😂😂
Sitaki!😅😅 polee
Astaghafilullah🤣🤣Jamaa walimu overrate sana aisee, labda kama kwa kila mwanamke alikuwa anaweka kichwa tu hahah.
Hii ni kweli ila sina uhakika mieNa ujue nyie wanawake nunu zenu zina tofautiana sana energy, kuna mwingine ukishafanya naye tendo, mwili wako unakuwa kama umekutana na kipigo kikali sana, nguvu unakuwa hauna kabisa, mwingine ukikutana naye unakuwa kama umegain kitu cha tofauti hivi, unajisikia poa sana.
Nani kakuumiza hivi maskini😢Sitaki!
😅😅🤣🙌Mwanetu Samsoni alipigwa bonge la tukio!
Yusufu naye akachapiwa kidogo alete vurugu ikabidi atumwe malaika kumtuliza.
Yakobo alifanya kazi miaka 14 kumpata lahazizi wake Raheli.
Siamini kama zamani ilikuwa bora.
mfalme suleimani na wakeze 7000Unieleweshe kuhusu nini Mkuu?