Kabla ya Pesa Kulikuwa na Upendo♥️

Kabla ya Pesa Kulikuwa na Upendo♥️

Zamani mbususu zilikua hazipatikani hovyo bila ndoa,ndio maana muowaji na muolewaji waligandana,

Sasa hivi mbususu mtaani bwerere,
Zipo za kumwagaa 😢🙌🙌
Zamani kabla ya kuoa au kuolewa,zilichunguzwa familia za wahusika ili kujua mzizi wa familia ya anayeolewa na anaye oa,siku hizi watu wanakutana KFC au Fesibuku kisha wana oana,
Tatizo hili
Zamani mke alimuheshimu mumewe na kumuona ni kiongozi wake,siku hizi wanawake wanshindana na waume zao na kutaka usawa,
Ni kweli 50/50
Tatizo sio hela bali ni tabia za watu,na huu utandawazi ndio umekuja kuharibu hata pale kulipokua kuna nafuu.
Utandawazi 📌
 
Ni mrefu saanaaaa kama una bible soma tu mkuu

Pole😢

Asante enjoy
Kumbe ni Bible, sikujua kabisa Nilijua msanii tena wa zamani😎

Ila na wewe kwa kunitakia pole😓

Movie yenyewe hata si kumaliza usingizi ulinichukua
 
Jamaa walimu overrate sana aisee, labda kama kwa kila mwanamke alikuwa anaweka kichwa tu hahah.

Na ujue nyie wanawake nunu zenu zina tofautiana sana energy, kuna mwingine ukishafanya naye tendo, mwili wako unakuwa kama umekutana na kipigo kikali sana, nguvu unakuwa hauna kabisa, mwingine ukikutana naye unakuwa kama umegain kitu cha tofauti hivi, unajisikia poa sana.
Kwamba Emb rudia hapo..
Kuna energy vampires na energy givers sio?

It's all about energy
 
Lol😃

Polee again

Sio mbaya malizia sasa
Basi kumbe sikuwa makini Sunday schoool

We msichana Emb uache tu, hizo pole.

Aah hata mzuka umekata kbs, story yake imekuwa normal sio kama kwenye reviews nilizo soma mtandaoni
 
Huyo suleiman mwenyewe alikuwa ana UMATE MATE...
mwanadamu kiasili tu kaumbwa kupenda vitu vizuri..
Kila mmoja wetu anapenda maisha mazuri ni vile tu tunaweza kusema na nafsi zetu, kulinda utu wetu, uanaume wetu etc
Labda ishu kubwa tu sasa hivi kuna wanaojiuza UNOFFICIAL, hawa wanajiuza kama hawajiuzi, lengo lao ni lile lile pesa tu..
Hata wewe leo uambiwe unichukue mimi PANGU PAKAVU na BAKHRESA utakimbilia kwa bakhresa, ukijipa moyo kuna dildo, ama ukihitaji utanitafuta kinyamsisi, nikushughulike...
Kuna demu humu alikuwa anasema bora kulia kwenye range, kuliko kucheka kwenye nini nini sijui.
 
Huyo suleiman mwenyewe alikuwa ana UMATE MATE...
mwanadamu kiasili tu kaumbwa kupenda vitu vizuri..
Kila mmoja wetu anapenda maisha mazuri ni vile tu tunaweza kusema na nafsi zetu, kulinda utu wetu, uanaume wetu etc
Labda ishu kubwa tu sasa hivi kuna wanaojiuza UNOFFICIAL, hawa wanajiuza kama hawajiuzi, lengo lao ni lile lile pesa tu..
Hata wewe leo uambiwe unichukue mimi PANGU PAKAVU na BAKHRESA utakimbilia kwa bakhresa, ukijipa moyo kuna dildo, ama ukihitaji utanitafuta kinyamsisi, nikushughulike...
Kuna demu humu alikuwa anasema bora kulia kwenye range, kuliko kucheka kwenye nini nini sijui.
Mzee wa kuchezesha kwenye moja na mbili umeeleweka mzee
 
Back
Top Bottom