Kabla ya Pesa Kulikuwa na Upendo♥️

Kabla ya Pesa Kulikuwa na Upendo♥️

Hapana, nadhani aliyekuwa akipendwa zaidi anaweza kuwa labda Sulamitha ambaye alikuwa tofauti na wengine wote.
Ngoja nitarudi tena kusoma nione
Inasemekana jamaa alikuwa na nguvu za ajabu pia, lakini bado binafsi sikubaliani na suala la kuwaridhisha wanawake wote hao, Impossible!
Hata mimi na imagine no 1000 ni kubwa ikiwa mmoja kuna watu anawachachafya
 
Hapana. Hoja yako ninaipinga kama ifuatavyo.

Mwanzo kabisa kulikua na jamii za aina mbili, wawindaji na wasombaji, wanawake walichagua kua na mahusiano na wawindaji kwakua kwa muwindaji unajihakikishia chakula chenye ubora kuliko kwa msombaji.

Pia muwindaji anakua na mwili wenye nguvu kumzidi msombaji hivyo basi mwanamke alichagua muwindaji pia kwakua anakua amehakikishiwa usalama. Siyo tu wa chakula, bali mpaka wa kijamii.

Ambacho kimebadilika hizi nyakati zetu ni kwamba hatuna tena mikuki na mishale bali tuna pesa. Hii imechukua nafasi ya mkuki, pumzi, kifua kipana na mishale.

Kwahiyo siyo kweli kwamba uliwahi kuwepo upendo pekee, hapana na haijawahi tokea. Kulikua na kumhakikishia mwanamke usalama wake na uhakikisho ulikua huo.

Mi nimemaliza
 
Wakati mwingine najiuliza, mapenzi ya zamani yalikuwa na ladha tofauti au sisi ndiyo tumeharibu maana yake?

Angalia Suleiman na wimbo wake

Busu zake zinibusu...(Wimbo Ulio Bora 1:2)

Nimekupata yeye ambaye nafsi yangu yampenda (Wimbo Ulio Bora 3:4)

Mimi ni wa mpenzi wangu, na mpenzi wangu ni wangu (Wimbo Ulio Bora 6:3)

Ukisoma haya maneno unaona wazi kabisa, mapenzi yalikuwa ni hisia, si mashindano ya nani ana nini

Ila saivi ukileta maneno haya unakua kama unachekesha😅
Unaambiwa usilete maua leta sasampa lol 😆

Lakini leo kabla hata ya kuuliza mtu ana tabia gani, kwanza tunaangalia ana nini. Kabla ya kujua moyo wake ukoje, tunaangalia maisha yake yakoje

Mwanaume before huja m approach mwanamke anaangalia
Mbali na jigijigi nini kingine atapata kwake

Na kwa mwanamke ukitongozwa unaangalia kwanza utanufaika nini kwa huyo Mwanaume
Kuna msemo una sema bora kulia ukiwa kwenye dinga kuliko kulia huku unapuliza moto tena kuni mbichi😅😅 mafua tafrani

Lakini inaonekana zamani watu walipendana kwanza kisha mengine yakafata yenyewe

Hivi ni kweli 👇
Upendo una nguvu kama mauti... maji mengi hayawezi kuuzimisha upendo.(Wimbo Ulio Bora 8:6-7)

Pesa ni muhimu, hilo halipingiki, lakini zinapochukua nafasi ya hisia, upendo unapoteza ile ladha yake ya kweli

Inawezekana mapenzi hayajaharibika… labda ni sisi tumeanza kuyapima kwa mizani isiyo sahihi

Usiku mwema guys
ShesRise_1 🤚
Post huo wimbo kwa faida ya members woote.

Mimi naona inabidi tukubaliane na mabadiliko both culturally, socially na economical..

Hakuna namna tena, mimi nilipenda sana kupata real love, ila ni kaishia kuitwa soo senstive, na hopeless romantic.

Mkuu inabidi uwe delulu, dhana ya upendo wa Kweli ni wewe mwenyewe binadamu amegeuka kuwa mwiba, mwiba wa kukufanya ujione huna thamani na pia mwiba wa kuvizia downfall yako uone rangi zake halisi.

Karibuu single gang, na enjoy movie hapa:
The secrete life of Walter Mitty.
IMG_20260619_231742.jpg
 
Zamani pia ndoa zilikuwa zinapangwa na familia, watu wanatafutiwa mke au mume.
Hivi hii kuchaguliwa mchumba mbona ndoa zilidumu na ikiwa hawa kuchaguana wenyewe kama sasa ?
 
Hapana. Hoja yako ninaipinga kama ifuatavyo.

Mwanzo kabisa kulikua na jamii za aina mbili, wawindaji na wasombaji, wanawake walichagua kua na mahusiano na wawindaji kwakua kwa muwindaji unajihakikishia chakula chenye ubora kuliko kwa msombaji.

Pia muwindaji anakua na mwili wenye nguvu kumzidi msombaji hivyo basi mwanamke alichagua muwindaji pia kwakua anakua amehakikishiwa usalama. Siyo tu wa chakula, bali mpaka wa kijamii.

Ambacho kimebadilika hizi nyakati zetu ni kwamba hatuna tena mikuki na mishale bali tuna pesa. Hii imechukua nafasi ya mkuki, pumzi, kifua kipana na mishale.

Kwahiyo siyo kweli kwamba uliwahi kuwepo upendo pekee, hapana na haijawahi tokea. Kulikua na kumhakikishia mwanamke usalama wake na uhakikisho ulikua huo.

Mi nimemaliza
Hii nayo mpya kwangu 😆
Kwa hiyo ni mbinu zimebadilika heh🤔
 
Ngoja nitarudi tena kusoma nione

Hata mimi na imagine no 1000 ni kubwa ikiwa mmoja kuna watu anawachachafya
Mwaka wenyewe una range siku 365, hata angesema kila siku awe anamega mmoja mmoja bado kuna wengine ingewabidi kusubiri!

Maana kwa hesabu ya haraka haraka, kulala nao wote ingembidi kila siku achape wawili na ni kila siku mpaka mwaka unaisha na bado wangepelea tena!

Hata kama una nguvu za ajabu, kila siku kuichapa ile kitu ni ngumu, utapwaya tu kuna siku!
 
Hivi hii kuchaguliwa mchumba mbona ndoa zilidumu na ikiwa hawa kuchaguana wenyewe kama sasa ?
Kwa sababu unakuta mume tayari alishakuwa family friend wa familia ya mke hata kabla ya ndoa na mke pia hivyo hivyo kwa kuachana ni kama kuharibu mahusiano ya familia mbili zilizokuwa zinajuana hata kabla ya ndoa.
 
Post huo wimbo kwa faida ya members woote.
Ni mrefu saanaaaa kama una bible soma tu mkuu
Mimi naona inabidi tukubaliane na mabadiliko both culturally, socially na economical..

Hakuna namna tena, mimi nilipenda sana kupata real love, ila ni kaishia kuitwa soo senstive, na hopeless romantic.
Pole😢
Mkuu inabidi uwe delulu, dhana ya upendo wa Kweli ni wewe mwenyewe binadamu amegeuka kuwa mwiba, mwiba wa kukufanya ujione huna thamani na pia mwiba wa kuvizia downfall yako uone rangi zake halisi.

Karibuu single gang, na enjoy movie hapa:
The secrete life of Walter Mitty.
View attachment 3611437
Asante enjoy
 
Mbona unafanya comparison kwa kutumia maandiko yasiyothibitika a.k.a maandiko ya bibilia.

Kumbuka chochote kilichomo katika bibilia ni nadharia
Ni mfaano tu maana naongelea zamani na sasa kipindi cha kina Suleiman ilikua zamani
 
Back
Top Bottom