Hahaha!!! Rocky
Mkuu si amesema na akili timamu
Napata konyagi kuondoa aibu naingia kanisani na natoa kiapo je hapo nitakuwa kweli na akili timamu au vipi
Hahaha!!! Rocky
Hivi kiapo si kinafanywa ukiwa na akili timamu?Daah mpaka hapo utakuwa huna sifa ya kujiapiza kujiunga na hiyo taasisi, maana akili yako itakuwa si timamu kwa muda!Nitatoka kuvuta bangi zangu na nitaingia na kiapo ambacho dunia nzima haijawahi kukisikiaBora tuu waendelee na kile kilichopo bana maana wengine siku hiyo ukiambiwa utengeneze kiapo sauti inaweza kugoma kutoka
Here i am and ready to confess halafu I am mad at you sasa ulikuwa umeenda wapi??A confession....would be a nice start!!
Hivi Mbu mume aki-cheat, Je hajamtii mkewe au hajamuheshimu???
Kwani Mbu nikitoka kupata konyagi na nikaingia kanisani na kuyatamka yale maneno nitakuwa siko kwenye akili timamu
Hivi kiapo si kinafanywa ukiwa na akili timamu?Daah mpaka hapo utakuwa huna sifa ya kujiapiza kujiunga na hiyo taasisi, maana akili yako itakuwa si timamu kwa muda!
Mume? ...atakuwa hajamheshimu mkewe, na ni ishara kwamba amepungukiwa na mapenzi kwa mkewe.
...kama kuendesha gari vile, hiyo itakuwa Void!...under influence maaazee,..khaaa?
yaani unaingia nyumba ya ibada 'ushapendeza?'...
Imagine hizo vows zitavyotamkwa! he hehe...
Mbu huyo bibie hicho kikombe alichoshika kuna kahawa humo?? Usije kukuta nae ni wale wale kumbe kikombe kina GIN na TONIC au kuna TEQUILA ndani lol
Mume? ...atakuwa hajamheshimu mkewe, na ni ishara kwamba amepungukiwa na mapenzi kwa mkewe.
...kama kuendesha gari vile, hiyo itakuwa Void!...under influence maaazee,..khaaa?
yaani unaingia nyumba ya ibada 'ushapendeza?'...
Imagine hizo vows zitavyotamkwa! he hehe...
Nitatoka kuvuta bangi zangu na nitaingia na kiapo ambacho dunia nzima haijawahi kukisikia
Bora tuu waendelee na kile kilichopo bana maana wengine siku hiyo ukiambiwa utengeneze kiapo sauti inaweza kugoma kutokaMkuu si amesema na akili timamu
Napata konyagi kuondoa aibu naingia kanisani na natoa kiapo je hapo nitakuwa kweli na akili timamu au vipi
Mbu jibu sasa....
Mbu pia angalia macho ya huyo bi harusi inaonekana pombe imeishamkolea ila bado ufahamu upo sio kama huyo mwenzake hapo lol
Mume? ...atakuwa hajamheshimu mkewe, na ni ishara kwamba amepungukiwa na mapenzi kwa mkewe.
...kama kuendesha gari vile, hiyo itakuwa Void!...under influence maaazee,..khaaa?
yaani unaingia nyumba ya ibada 'ushapendeza?'...
Imagine hizo vows zitavyotamkwa! he hehe...
...lol....utakuwa umeondoa aibu kwa hao ndugu, jamaa na marafiki...lakini kwa Bwana Mkubwa aliye Mbinguni ina maana kiapo chako hakijaswihi...!
Hivi Bwana Mkubwa si kakataza kuapa sasa kwa nini tunajitengenezea vyetu hapo
Itabidi tuanzishe mjadala wa kufuta viapo bana tuingie tuu kwenye mkataba kimya kimya tusome terms and conditions then tunasign cheti
Kweli sina mchango hapa... ila hata mdiscuss page mia.... iwepo post mkieleza concl....
Natanguliza Shukrani...
Kweli sina mchango hapa... ila hata mdiscuss page mia.... iwepo post mkieleza concl....
Natanguliza Shukrani...
Weee PA unakimbia kwenda wapi hebu lete conclusionKweli sina mchango hapa... ila hata mdiscuss page mia.... iwepo post mkieleza concl....
Natanguliza Shukrani...
Weee PA unakimbia kwenda wapi hebu lete conclusion
Ashadii bado comments zinaendelea tunataka tupate mawazo mbadala kabisa
Ila karibu nimekumiss mbaya toka asubuhi sijakutia (mhhhhh sijui ni tusi) machoni
Weee PA unakimbia kwenda wapi hebu lete conclusion
Endelea tu kupekua hiyo Biblia mpaka uichakaze na huo mstari usiuone....kwanza sijanukuu kama nimetoa huko, shauri yako!Nilijaribusana kutafuta hiyo sehemu kwenye Biblia lakini sijaipata
mwanzo.2:24 inasema, "kwahiyo mwanamume atamuacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja" ukiangalia (zaburi.45:10-11) anasema, "sikia binti utazame utege sikio lako, uwasahau watu wako na nyumba ya baba yako na mfalme atautamani uzuri wako, maana ndiye bwana wako naye umsujudie".
Watu wengi wanataka waingie kwenye ndoa waoe au waolewe lakini uhusiano wao na wazazi wao usibadilike, haiwezekani. Biblia imeweka wazi unataka kuoa, mwanaume lazima aachane kwanza na baba yake na mama yake, maana yake kuna mabadiliko. Kuna mabadiliko mahali pa kuishi, kuna mabadiliko juu ya mtazamo wako wa kwanza wa maisha yako. Mke wako hawezi kuwa mama yako na mume wako hawezi kuwa baba yako.
Na kabla haujafikia maamuzi ya namna hiyo, ukiingia kwenye ndoa, ndoa yako itakuwa ngumu maana inawezekana unaishi vizuri na wazazi wako, kiasi kwamba maamuzi yote unayoyafanya lazima ushirikiane nao, hiyo hatua nzuri lakini ukiishaingia kwenye ndoa mtu wa kwanza kushirikiana nae ni mume wako kama umeolewa na mke wako kama umeoa, na wazazi wengine wasingetaka kuona kwamba unakuwa mbali nao kwa jinsi hii, watataka waendeleze maamuzi yao na utawala wao waliokuwa nao juu yako mpaka kwenye ndoa yako haiwezekani.
Unapoamua kuolewa wa kwanza sio baba yako au mama yako, wa kwanza ni mume wako, ikiwa haujafikia uamuzi wa namna hii moyoni mwako basi basi bado haujafikia utayari wa kuolewa. Na ina madhara yake magumu, biblia inasema kabla haujawasahau watu wako na watu wa nyumba ya baba yako, mume wako hawezi kuutamani uzuri wako, ukitaka autamani uzuri wako lazima uwasahau kwanza watu wa nyumbani kwa wazazi wako.
nawatakia kila la heri wale wanaotarajia kuolewa na kuoa wikiendi hii mungu awabariki katika ndoa zenu.
tf.