Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,213
- 85,338
1. Ikiwa unapitia changamoto yeyote, usije ukaomba ushauri kwa Ex kwasababu huyu atakushauri kwa kusukumwa na wivu ama hisia.
2. Jitahidi kuto mshirikisha rafiki wako wa karibu changamoto za mahusiano yako kwasababu, huyu ni rahisi kukushauri kwa kutumia hisia kwasababu atayabeba maumivu yako.
3. Baba na mama yako sio vizuri kumshirikisha changamoto zako kwasababu ni rahisi kukushauri akuongozwa na hisia na sio kuongozwa na akili. Na pia dam ni nzito kuliko maji.
Ushauri wangu ni huu.....
Kwa yeyote anaetaka kudumu kwenye mahusiano ama ndoa, kwanza anatakiwa awe msiri wa mambo yake binafsi. Na panapo tokea changamoto yeyote, jifunze kumaliza matatizo yako wewe mwenyewe ama na mwenzako. Sio vyema kuwashirikisha watoto wako, ndugu ama wanao kuzunguka maumivu yako.
Ikiwa utashindwa kuzikabili changamoto zako then fanya maamuzi ambayo wewe binafsi unaona yanakufaa na yatauponya moyo wako.
Good morning sunshine....🙋♂️
2. Jitahidi kuto mshirikisha rafiki wako wa karibu changamoto za mahusiano yako kwasababu, huyu ni rahisi kukushauri kwa kutumia hisia kwasababu atayabeba maumivu yako.
3. Baba na mama yako sio vizuri kumshirikisha changamoto zako kwasababu ni rahisi kukushauri akuongozwa na hisia na sio kuongozwa na akili. Na pia dam ni nzito kuliko maji.
Ushauri wangu ni huu.....
Kwa yeyote anaetaka kudumu kwenye mahusiano ama ndoa, kwanza anatakiwa awe msiri wa mambo yake binafsi. Na panapo tokea changamoto yeyote, jifunze kumaliza matatizo yako wewe mwenyewe ama na mwenzako. Sio vyema kuwashirikisha watoto wako, ndugu ama wanao kuzunguka maumivu yako.
Ikiwa utashindwa kuzikabili changamoto zako then fanya maamuzi ambayo wewe binafsi unaona yanakufaa na yatauponya moyo wako.
Good morning sunshine....🙋♂️