Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,997
- 7,551
Kabla ya zoezi la kuandaa katiba mpya halijaanza, nivema tupige kura kuamua hatima ya muungano huu ambao kwa maoni yangu sioni kama una tija.
Baada ya kupiga kura ikitokea wananchi wamekataa muungano basi Watanganyika tuendelee na zoezi la kuunda katiba yetu, na wazanzibari watajua wenyewe chakufanya maana wao wana katiba yao.
Suala hili ni la muhimu sana tusije fanya kosa la kuunda katiba mpya inayo tambua muungano huu wa hapa na pale.
Baada ya kupiga kura ikitokea wananchi wamekataa muungano basi Watanganyika tuendelee na zoezi la kuunda katiba yetu, na wazanzibari watajua wenyewe chakufanya maana wao wana katiba yao.
Suala hili ni la muhimu sana tusije fanya kosa la kuunda katiba mpya inayo tambua muungano huu wa hapa na pale.