Kabla ya Katiba Mpya tupige kura kuhusu hatima ya Muungano

Boss la DP World

JF-Expert Member
Dec 12, 2021
1,997
7,551
Kabla ya zoezi la kuandaa katiba mpya halijaanza, nivema tupige kura kuamua hatima ya muungano huu ambao kwa maoni yangu sioni kama una tija.

Baada ya kupiga kura ikitokea wananchi wamekataa muungano basi Watanganyika tuendelee na zoezi la kuunda katiba yetu, na wazanzibari watajua wenyewe chakufanya maana wao wana katiba yao.

Suala hili ni la muhimu sana tusije fanya kosa la kuunda katiba mpya inayo tambua muungano huu wa hapa na pale.
 
Kabla ya zoezi la kuandaa katiba mpya halijaanza, nivema tupige kura kuamua hatima ya muungano huu ambao kwa maoni yangu sioni kama una tija.

Baada ya kupiga kura ikitokea wananchi wamekataa muungano basi Watanganyika tuendelee na zoezi la kuunda katiba yetu, na wazanzibari watajua wenyewe chakufanya maana wao wana katiba yao.

Suala hili ni la muhimu sana tusije fanya kosa la kuunda katiba mpya inayo tambua muungano huu wa hapa na pale.
Mungano uliopo utadumu zaidi na kuimarika zaidi na Tanzania itaendelea kua ni ya muungano daima...

hayo mengine ni porojo na mahistoria ya kupoteza muda tu..
 
Muungano hauwezi kuvunjika, wapo watu wanao ulinda muungano kwa gharama zozote zile..

Mleta mada achana na hizi story utapotea kama yule member mwingine aliyekuwa akiupiga muungano
 
Kabla ya zoezi la kuandaa katiba mpya halijaanza, nivema tupige kura kuamua hatima ya muungano huu ambao kwa maoni yangu sioni kama una tija.

Baada ya kupiga kura ikitokea wananchi wamekataa muungano basi Watanganyika tuendelee na zoezi la kuunda katiba yetu, na wazanzibari watajua wenyewe chakufanya maana wao wana katiba yao.

Suala hili ni la muhimu sana tusije fanya kosa la kuunda katiba mpya inayo tambua muungano huu wa hapa na pale.
Hawa watawala hawawezi kukubali kura ya maoni khsu muungano wanajua wananchi wengi wataukataa muungano,subir Mungu akikupa umri sku watawala hawa watakapotolewa madarakani hayo unayopendekeza yatafanyika
 
Back
Top Bottom