Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 570
- 1,229
Habari wana JF,
Binafsi kabla sijafika Dar nilikuwa na picha ya tofauti kidogo kichwani hasa ubungo na wakati huo anayekusimulia ametoka Dar eti amesahau hadi kilugha si unajua wanyakyusa tena kwa mbwembwe ndizi alianza kuuliza eti zinaitwaje kilugha? na amekuja na mikate ile mikubwa huku anakusimulia habari za ubungo bus terminal wakati ule.
Sasa siku nmefika, tena siku hiyo nilikuta mvua imenyesha. Nilichokuwa nakiwaza kuhusu Dar na nilichokikuta ilikuwa vitu viwili tofauti, zaidi nilifika keko madawa alipokuwa akiishi rafiki yangu yaani nilichoka, nikagundua kumbe kinaigizwa Maisha ya uswazi kwa movie ni real vile vyoo vya kuoga humohumo unaoneka nusu, nusu umejificha.
Hakika nikagundua Dar ni chuo cha Maisha. Wewe ulikuwa na picha gani ( mental picture) kichwani kuhusu Dar?
Binafsi kabla sijafika Dar nilikuwa na picha ya tofauti kidogo kichwani hasa ubungo na wakati huo anayekusimulia ametoka Dar eti amesahau hadi kilugha si unajua wanyakyusa tena kwa mbwembwe ndizi alianza kuuliza eti zinaitwaje kilugha? na amekuja na mikate ile mikubwa huku anakusimulia habari za ubungo bus terminal wakati ule.
Sasa siku nmefika, tena siku hiyo nilikuta mvua imenyesha. Nilichokuwa nakiwaza kuhusu Dar na nilichokikuta ilikuwa vitu viwili tofauti, zaidi nilifika keko madawa alipokuwa akiishi rafiki yangu yaani nilichoka, nikagundua kumbe kinaigizwa Maisha ya uswazi kwa movie ni real vile vyoo vya kuoga humohumo unaoneka nusu, nusu umejificha.
Hakika nikagundua Dar ni chuo cha Maisha. Wewe ulikuwa na picha gani ( mental picture) kichwani kuhusu Dar?