Naona umemiss kuhekenywa, haya sema vizuri wanyaki tunakuchekesha na nini?? mwee mweee mweee
Kwani ndo mmefunguliwa uzi?? Mi najua hii tu: enguma ya nyakyusa is tamu.
kinyakyusa kinunu mwe,jwani akimenye tujobhepo panande.
mutwandie kangi? Mutuleke!
Kwani ndo mmefunguliwa uzi?? Mi najua hii tu: enguma ya nyakyusa is tamu.
Duuuuh!!
Habari zenu, ndugu zangu..napenda kuuliza au kujua kwanini hili kabila la wenzetu wanapenda kuzungumza kinyakyusa sana hata kwenye mikusanyiko ya watu kwa nini wasipende kuzoea kuzungumza KISWAHILI..kwa kweli wananichukiza sana kwa hilo!
Kweli eeeh, kuna haja ya kupata mmoja wa majaribiokila kabila linapenda kuzungumzia,ila wanyakyusa wanawake watamu balaa
Nkonyofu fijo unnjangha uju....
Bhatuleke twilekesye nikyakyumyitu, keta abhamasai bhatikubhajobha? Tutulile nongwa pakujobha ikinyakyusa?
Habari zenu, ndugu zangu..napenda kuuliza au kujua kwanini hili kabila la wenzetu wanapenda kuzungumza kinyakyusa sana hata kwenye mikusanyiko ya watu kwa nini wasipende kuzoea kuzungumza KISWAHILI..kwa kweli wananichukiza sana kwa hilo!
Kinyakyusa lugha ya taifa mkuu.
kinyakyusa kinunu mwe,jwani akimenye tujobhepo panande.
Ifijhanga fikonyofu fijo nkamuTwe bhanyafyale twe tulibhandu fijho uswe....mwe bhajanga amumyeke twe bhenekajha twisile