yutu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 1,778
- 1,222
Ni nyinyi waswahili tu mnapenda kuongea kiswahili mkiwa huko kama Wanyaki tunavyopenda kuongea kikwetu hata mahakamani.
na mkimsindikiza mgeni basi mtatoka ukoo mzima
ukawaponye bhosa
Ni nyinyi waswahili tu mnapenda kuongea kiswahili mkiwa huko kama Wanyaki tunavyopenda kuongea kikwetu hata mahakamani.
Ni utamaduni mzuri, ngoja nami niwape salute..........MWAKATA..........
Pole sana ndugu yangu...Habari zenu, ndugu zangu..napenda kuuliza au kujua kwanini hili kabila la wenzetu wanapenda kuzungumza kinyakyusa sana hata kwenye mikusanyiko ya watu kwa nini wasipende kuzoea kuzungumza KISWAHILI..kwa kweli wananichukiza sana kwa hilo!
hilo nalo neno wamezidi ,karibia makabila yote ya mbeya yanatabia hiyo iwe wanyiha,wasafwa,wandali n.k dawa yao kuwatoza fine 50,000 kama watu wanaotupa uchafu ovyo barabaraniHabari zenu, ndugu zangu..napenda kuuliza au kujua kwanini hili kabila la wenzetu wanapenda kuzungumza kinyakyusa sana hata kwenye mikusanyiko ya watu kwa nini wasipende kuzoea kuzungumza KISWAHILI..kwa kweli wananichukiza sana kwa hilo!
Ne gwa kulisu ipimba une kwa mpuna mweeeee!
Mughonile bhakamu bhangu..
Une ndi gwa kumisioni kwa mwakaleli.
Ulinkonyofu fijho gwe nnjanga ugwe!
Ungandisyaga khangi!! Luswango lwa nyoko mpapa ghuso. Sisi ni watu safi bwana,karibu mbeya.
Linga ulinyakyusa naloli amula:
1. Umwana uju apapigwe pafya jujwani?
2. Umwana uju abakongile ba mbasa?
Ni utamaduni mzuri, ngoja nami niwape salute..........MWAKATA..........