Kabila la wanyakyusa

Kabila la wanyakyusa

Mweeee kaangi nsyukilwe kukaaja. Pakyaka ngunyonywa pakuubhuka ntukuju ngamoghe ikyaka na bhakamu bhaangu. Atukujobha siku ikinyakyusa. Katika vitu ambavyo ninajivunia kimojawapo ni kuwa mnyakyusa....!
 
Mweeee kaangi nsyukilwe kukaaja. Pakyaka ngunyonywa pakuubhuka ntukuju ngamoghe ikyaka na bhakamu bhaangu. Atukujobha siku ikinyakyusa. Katika vitu ambavyo ninajivunia kimojawapo ni kuwa mnyakyusa....!

Naloli jhama...ikyitu kinyafu nukujhobha
 
kwa taarifa yako umeufanya Uzi huu utawaliwe na wanyakyusa, MWe bhakukaja isaga tujobhege ikyakukaja mungampilikaga unkonyofu uju, seee! ne gwa nkilasilo kwa kyela ngukinda apa

Ngukinda ne gwa kwitongo kyela kantumba kumbale kwa sumbe mwe kumyetu kununu
 
Ukabila, undugunaizesheni na kupigiana mapande ndo zao.

Huku malawi wamekufanya kama kwao, yaani kinyaki kimekuwa ndo lugha yao ya mawasiliano badala ya kiswahili
 
Nimekumbuka wimbo mmoja niliusikia siku nyingi...
"Isaga isaga
Isaga isaga bhanyakyusya tulipo gwe isaga"


Mgumenye?
 
Ukabila, undugunaizesheni na kupigiana mapande ndo zao.

Huku malawi wamekufanya kama kwao, yaani kinyaki kimekuwa ndo lugha yao ya mawasiliano badala ya kiswahili

Hivi Malawi lugha ya mawasiliano ni kiswahili?
 
Hapana asee,kuna wapare hao ni balaa...na wanapenda kuunga undugu hao hata kama hawajuan,mradi wanatoka hapo upareni wote basi watakianzisha hapo hadi inakuwa kero....wanafuata wasukuma na wahaya....
wasukuma wanapenda kweli kuunga undugu lakini wao hawauendekezi ukabila,mi nawakubali saana wasukuma
 
Kwani ndo mmefunguliwa uzi?? Mi najua hii tu: enguma ya nyakyusa is tamu.
 
Back
Top Bottom