Kabila la wanyakyusa

msimamia kucha

JF-Expert Member
Dec 1, 2013
617
488
Habari zenu, ndugu zangu..napenda kuuliza au kujua kwanini hili kabila la wenzetu wanapenda kuzungumza kinyakyusa sana hata kwenye mikusanyiko ya watu kwa nini wasipende kuzoea kuzungumza KISWAHILI..kwa kweli wananichukiza sana kwa hilo!
 
Habari zenu, ndugu zangu..napenda kuuliza au kujua kwanini hili kabila la wenzetu wanapenda kuzungumza kinyakyusa sana hata kwenye mikusanyiko ya watu kwa nini wasipende kuzoea kuzungumza KISWAHILI..kwa kweli wananichukiza sana kwa hilo!

Kama wanakitwanga wao kwa wao sioni tatizo, na mimi naona ni vizuri nikachapa story kwa lugha ya kwetu kama niko na poti. Kuna utamu ktk lugha yako ya asili wewe. Kuna Padri moja kule Ikonda Hospital alikuwa anachapa Kikinga hadi raha, na ikasababisha Wagonjwa kumpenda sababu walikuwa wanaweza kumpa maelezo ya kuumwa kwao kwa lugha yao ya asili.

Ipende lugha yako mkuu, mbona akina pua ndefu wanapotema yai barabarani huku kwetu mbona hulalamiki?
 
Tena wanaongea kwa kujidai sana' tulisoma na dem mmoja chotara' mama yake Mzungu baba yake nyakyusa' jamani dada alikua akipiga story za Kinyakyusa na wenzie hadi raha
 
Hapana asee,kuna wapare hao ni balaa...na wanapenda kuunga undugu hao hata kama hawajuan,mradi wanatoka hapo upareni wote basi watakianzisha hapo hadi inakuwa kero....wanafuata wasukuma na wahaya....
 
Habari zenu, ndugu zangu..napenda kuuliza au kujua kwanini hili kabila la wenzetu wanapenda kuzungumza kinyakyusa sana hata kwenye mikusanyiko ya watu kwa nini wasipende kuzoea kuzungumza KISWAHILI..kwa kweli wananichukiza sana kwa hilo!
Sasa wewe una matatizo ya akili.
unaenda unyakyusani halafu wafikiri lugha nyingine itaenziwa?
 
Habari zenu, ndugu zangu..napenda kuuliza au kujua kwanini hili kabila la wenzetu wanapenda kuzungumza kinyakyusa sana hata kwenye mikusanyiko ya watu kwa nini wasipende kuzoea kuzungumza KISWAHILI..kwa kweli wananichukiza sana kwa hilo!

Kwani wewe kabila gani? Na pia nilidhani Wachaga ndio wanaongoza kwa hilo
 
Habari zenu, ndugu zangu..napenda kuuliza au kujua kwanini hili kabila la wenzetu wanapenda kuzungumza kinyakyusa sana hata kwenye mikusanyiko ya watu kwa nini wasipende kuzoea kuzungumza KISWAHILI..kwa kweli wananichukiza sana kwa hilo!

Watalaam wa lugha wanasema kuna lugha zitapotea kabisa ktk uso wa dunia miaka michache ijayo kwa sababu ya mwingiliano wa mataifa, sasa ukiona lugha yenu bado inadunda shukuru Mungu. Bahati mbaya lugha yetu inaishia milimani kule kule,haivuki mipaka, sana sana nikikutana na homeboy ndio nakumbushia kwa sana.
 
Habari zenu, ndugu zangu..napenda kuuliza au kujua kwanini hili kabila la wenzetu wanapenda kuzungumza kinyakyusa sana hata kwenye mikusanyiko ya watu kwa nini wasipende kuzoea kuzungumza KISWAHILI..kwa kweli wananichukiza sana kwa hilo!

Labda hawajui kiswahili...
 
Back
Top Bottom