lizy chacha
Member
- Nov 5, 2014
- 29
- 2
Hujaona waha,,masai
Ulinkafu malafyale au khana Kyusa? Bhagonile kumisoni? Linga umenye Ikinyakyusa mma po tujobege itolo nu kwitufyanga inkisu iki!
Simbila Inkinyakyusa ikhalata: cskapala@gmail.com
Wanyaki wote hoyeee...sisi ni watu ungwee...warefu,vifua vya mapenz kwa wanaume tunavyo,wanawake wakarimu na wachapa kazi hoyeeee.....na zaidi tumeenda shule sio kama wazalamo
Habari zenu, ndugu zangu..napenda kuuliza au kujua kwanini hili kabila la wenzetu wanapenda kuzungumza kinyakyusa sana hata kwenye mikusanyiko ya watu kwa nini wasipende kuzoea kuzungumza KISWAHILI..kwa kweli wananichukiza sana kwa hilo!
kila kabila linapenda kuzungumzia,ila wanyakyusa wanawake watamu balaa[ utamu waonn? Kwani wanapikwa?
Linga ukalele mbombo syako,ikinyakyusa OYEE,kumyitu ku Mbeya.
Hahaaa wale jamaa huwa wananchekesha sana.....