Kabila la wanyakyusa

Kabila la wanyakyusa

Habari zenu, ndugu zangu..napenda kuuliza au kujua kwanini hili kabila la wenzetu wanapenda kuzungumza kinyakyusa sana hata kwenye mikusanyiko ya watu kwa nini wasipende kuzoea kuzungumza KISWAHILI..kwa kweli wananichukiza sana kwa hilo!

Majasili huwa hayaachi asili.
 
Hapana asee,kuna wapare hao ni balaa...na wanapenda kuunga undugu hao hata kama hawajuan,mradi wanatoka hapo upareni wote basi watakianzisha hapo hadi inakuwa kero....wanafuata wasukuma na wahaya....

mpaka msg wanaandika kwa kipare. Elli79
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu, ndugu zangu..napenda kuuliza au kujua kwanini hili kabila la wenzetu wanapenda kuzungumza kinyakyusa sana hata kwenye mikusanyiko ya watu kwa nini wasipende kuzoea kuzungumza KISWAHILI..kwa kweli wananichukiza sana kwa hilo!
Ingamu jhako mbiibhi fijho! "Mwimila fyala"?
 
Sasa tatizo nini!

Si lugha yao, sasa kwanini wasijiachie kwa raha zao.

Kila mmoja ana uhuru wa kufanya kile atakacko, akipendacho, muhimu hawajakujeruhi wala kukuvunjia heshima waache wajiachie.

Tupo kwenye ulimwengu huru
 
Baleke abhakanya mmoto abho; bho bha kuntu kumu!
 
Habari zenu, ndugu zangu..napenda kuuliza au kujua kwanini hili kabila la wenzetu wanapenda kuzungumza kinyakyusa sana hata kwenye mikusanyiko ya watu kwa nini wasipende kuzoea kuzungumza KISWAHILI..kwa kweli wananichukiza sana kwa hilo!

kwa taarifa yako umeufanya Uzi huu utawaliwe na wanyakyusa, MWe bhakukaja isaga tujobhege ikyakukaja mungampilikaga unkonyofu uju, seee! ne gwa nkilasilo kwa kyela ngukinda apa
 
Wachagga Ndo Hupenda Kuzungumza Lugha Kwenye Mikusanyiko Lakini Siye Wanyakyusa Tunazungumza Tukikutana Wenyewe Kwa Wenyewe Lakini Tukichanganyika Kiswahili Mwanzo Mwisho
 
Back
Top Bottom